Dkt. Slaa aomba Watanzania Tuamke, Tusichezewe, aitilia mashaka Tume ya Haki Jinai

Dkt. Slaa aomba Watanzania Tuamke, Tusichezewe, aitilia mashaka Tume ya Haki Jinai

Huyu mzee atulie tu anajiaibisha

Tunapaswa kumuhukumu mtu kwa alichokisema au hoja yake kwani hata mlevi anaweza kukushauri jambo linaloweza kukusaidia maishani.
Alichokisema kina maana sana ni muhimu kumchukia mtu isiwe sababu ya kuchukia hadi hoja zake.
 

Dr. Slaa ambaye aliteuliwa na Dr. Magufuli kuwa Balozi na ambaye sasa amestaafu, amejitokeza hadharani kuipinga kamati ya haki Jinai huku akiitupia lawama serikali kwamba inawacheza shere wananchi .

Amedai kwamba kuleta Tume ya Haki Jinai katikati ya Mjadala wa Katiba mpya ni mbinu ya kupoteza muda, kwa sababu yote yanayojadiliwa kwenye Tume ya Haki Jinai ni lazima yawemo kwenye Katiba Mpya , sasa badala ya kujaza Matume yote haya kwanini jambo hili lisingeingizwa tu kwenye Katiba mpya?
Slaa ni mdini sana kkenge huyo
 
Dr Slaa katoa hoja ya Msingi, ila watu wamekazana kumjadili yeye.hivi nchi ina watu gani hii
Wangekuwa samaki tungewaita bungulusi Ila ujue wapo watu humu kazi yao ni hiyo ikija hoja ya maana wanaleta ujinga mwingi,ili tu ionekane Haina maana,wao wanalipwa Chao, hiyo ndio kula yao usiwalaumu sana
 
Wakati wa yule bwana wake amempa ubalozi alitulia sasa bwana amekufa anaanza kelele, mizee kama hii ilokosa akili inakuwaga mijinga sana.
Kwani sasa hivi Chadema wanapiga kelele kuhusu uongozi wa Mama?
 

Dr. Slaa ambaye aliteuliwa na Dr. Magufuli kuwa Balozi na ambaye sasa amestaafu, amejitokeza hadharani kuipinga kamati ya haki Jinai huku akiitupia lawama serikali kwamba inawacheza shere wananchi .

Amedai kwamba kuleta Tume ya Haki Jinai katikati ya Mjadala wa Katiba mpya ni mbinu ya kupoteza muda, kwa sababu yote yanayojadiliwa kwenye Tume ya Haki Jinai ni lazima yawemo kwenye Katiba Mpya , sasa badala ya kujaza Matume yote haya kwanini jambo hili lisingeingizwa tu kwenye Katiba mpya?
duh kwakuwa kakosa ubalozi? hivi yule mkewe dogodogo alirudi nae?
 
Nani hakuufyata? Mashujaa wetu si walikimbia nchi kabisa [emoji1787]

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
😂

Kuna Shujaa mmoja kasema ana shida na pesa kalamba za michango na 20% kaenda ila akirudi amaliziwe 24%

Kuna mmoja leta baga men! Yaani kasahau dona ndio limemlea
 
Back
Top Bottom