Oxpower
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 2,166
- 3,077
Wanapotafuna kina mbowe ,lema na Lisu nao si hao wamekaa kimya,full mapambio ya kumsifu mamaWakati anatafuna mbona alikaa kimya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapotafuna kina mbowe ,lema na Lisu nao si hao wamekaa kimya,full mapambio ya kumsifu mamaWakati anatafuna mbona alikaa kimya
Kwani hujui kuwa asali ni tamu?😂Changamoto yako wewe ni kila muda unawaza ulambaji wa asali...
Utaja wekewa sumu ufe huku umeshikilia "flaiz"!Kufia utamuni.Kwani hujui kuwa asali ni tamu?
Kufia asalini hakuna taabu😂Utaja wekewa sumu ufe huku umeshikilia "flaiz"!Kufia utamuni.
Mumbaff sana.😂😂😂😂Kufia asalini hakuna taabu😂
Kwa hiyo unapendekeza aliwe kichwa? Linazungumzika,ni suala la kujipanga tu hakuna linaloshindikana chini ya juaBila JK kukata moto maza hatutamuweza mkuu.
Jambo la hatari ya maisha unaufyata ili uendelee kuishi. Wao waliogopa risasi wakakimbia na leo wako hai.Nani hakuufyata? Mashujaa wetu si walikimbia nchi kabisa [emoji1787]
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mzee asikilizwe.Kwani huwa hatukosei?Jambo jema lisikilizwe na kifanyiwa kazi.
Amuombe Mbowe msamaha apewe kazi ingine.
Dr. Slaa ambaye aliteuliwa na Dr. Magufuli kuwa Balozi na ambaye sasa amestaafu, amejitokeza hadharani kuipinga kamati ya haki Jinai huku akiitupia lawama serikali kwamba inawacheza shere wananchi .
Amedai kwamba kuleta Tume ya Haki Jinai katikati ya Mjadala wa Katiba mpya ni mbinu ya kupoteza muda, kwa sababu yote yanayojadiliwa kwenye Tume ya Haki Jinai ni lazima yawemo kwenye Katiba Mpya , sasa badala ya kujaza Matume yote haya kwanini jambo hili lisingeingizwa tu kwenye Katiba mpya?
Mnafiki sana huyuNdio kakumbuka haya sasa hivi. Alipokuwa Canada aliufyata kimya.
Chanzo cha yote ni Mbowe kumpokea LowassMnafiki sana huyu
Guys tujenge nchi, ukisikia ushoga Waislamu hawaulizi kama ni Mkristo na Mkristo haulizi kama Muislamu! Pale focus ni ushoga. Jifunzeni ku focus kwenye hoja badala ya mtoa hoja.Jambo la hatari ya maisha unaufyata ili uendelee kuishi. Wao waliogopa risasi wakakimbia na leo wako hai.
Hata ugonjwa ukiingia unaufyata kwa kuukimbia au kuvaa barakoa kama ni wa hewa.
Yule baba yenu akajifanya mbabe hawezi kuufyata na kuukimbia ugonjwa wa Corona ona ukamfyeka sasa hivi amepukutika, lakini waliokimbia risasi zake leo wako majukwaani kwa raha zao.
KUUFYATA NI UJANJA PIA