Dkt. Slaa arudishwa kituo cha Polisi Oysterbay kutoka Mbeya. Wakili wake aambiwa akashughulikie dhamana

Usilolijua ni kama usiku wa giza😂😂

Huyo Gwajima ni mkatoliki pia
 
Du....uhaini una dhamana?
 
Next ni IGP, RPC wilaya ya kipolisi Dar, RPC Mbeya, RC Mbeya, Mkurugenzi Tishi, waziri wa katiba na sheria, waziri wa mambo ya ndani, waziri wa habari wanakwenda na maji, mama huwa hatanii
 
Hawezi hana hicho kifua angekuwa Bwana Yule wa kwanza ndio alikuwa anaweza
Next ni IGP, RPC wilaya ya kipolisi Dar, RPC Mbeya, RC Mbeya, Mkurugenzi Tishi, waziri wa katiba na sheria, waziri wa mambo ya ndani, waziri wa habari wanakwenda na maji, mama huwa hatanii
 
Next ni IGP, RPC wilaya ya kipolisi Dar, RPC Mbeya, RC Mbeya, Mkurugenzi Tishi, waziri wa katiba na sheria, waziri wa mambo ya ndani, waziri wa habari wanakwenda na maji, mama huwa hatanii
Waliolikoroga watalinywa, lakini acheni uchawa, mnampotosha mama!
 
Kumbe wahaini hupata dhamana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…