Dkt. Slaa: Bunge la Ulaya limetuhukumu Tanzania bila kusikilizwa (2019 Video)

Dkt. Slaa: Bunge la Ulaya limetuhukumu Tanzania bila kusikilizwa (2019 Video)

Wachina unaowafikiria kuwa unaweza kufanya nao biashara, waliwekewa mbinyo kidogo tu na Marekani kwenye biashara, ukuaji wao uludondoka ghafla mpaka 2%, na hautegemewi kupanda tena kwa kipindi kisichopungua miaka 10.

Ukiwejewa vikwazo na hayo mataifa makubwa, kila mmoja anaogopa kuwa karibu nawe. Unakuwa haramu, na haramu haiguswi.
Na Wana ushirikiano kama siafu.
 
Tumeipenda wenyewe
Hatunywi sumu
Hatujinyongi
Hstutoroki duniani
Acha tuisome namba eh
 
Wewe kama wewe, unafurahia vikwazo ?
Mimi nafurahia vikwazo tena sana tu kwani hayo majeshi yanayotumiwa kuuwa raia ili kuwaweka madarakani kikundi cha wezi na majambazi labda wakipunguziwa mshahara watapata akili hawatokubali kutumiwa
 
Endelea kuamini. Lakini wapiga kura wa Tanzania wameishawashtukia. Salam waliwapa Oktoba, 2020. Msipobadili strategia mtapotea kabisa 2025! Tunza hii komenti.
Kuamini na tuliwaona wakiuwa watu na kujeruhi , salaam tunaziona kweli kwani mnapigana kuwaweka wabunge wa chadema wanawake si mngaliwavisha sketi akina Lugola na Nabii Tito mkawaapisha ya nini kuvunja katiba mchana kweupe?
 
Dr Slaa alikuwa wa zamani, si huyu wa kusifu na kuabudu. Hivi alitaka tukaieleze nini bunge la Ulaya ?!. Kwamba hatuna u dictator ? Au kwamba wapinzani hawanyanyaswi ?!.

Nami nimemsikiliza hana lolote huyu. Alishafika bei

Alisahau yale majeshi yao na ya kukodi ya Burundi yalipouwa hayakuwaita watu kujitetea
 
wewe unayesema safi sana,kuna nini unachotumia au kukimiliki kutoka ulaya?
unafurahia ujinga,tanzania haiwezi kuathirika kwa lolote..sisi washirika wetu wanatoka bara Asia zaidi..
Nchi nyingi za Asia uchumi wao ni mdogo sana.bara la ulaya na america ndio mababa wa dunia hii kaa utambue ilo
 
Mimi nafurahia vikwazo tena sana tu kwani hayo majeshi yanayotumiwa kuuwa raia ili kuwaweka madarakani kikundi cha wezi na majambazi labda wakipunguziwa mshahara watapata akili hawatokubali kutumiwa
Nimegundua hujui maana ya kuwekewa vikwazo, kwa kukusaidia, bei ya petrol/diesel itapanda na itapelekea vitu kama mfano:-sukari ikipanda hadi 10,000 tsh, cement 50,000, unga 5000/kg, watakao umia ni sisi wa chini au ni viongozi waliopo madarakani, napima IQ yako ili nijue unachoshabikia vikwazo unaelewa athari zake ama la. MTU YEYOTE MWENYE AKILI TIMAMU HAWEZI SHABIKIA VIKWAZO
 
Kuamini na tuliwaona wakiuwa watu na kujeruhi , salaam tunaziona kweli kwani mnapigana kuwaweka wabunge wa chadema wanawake si mngaliwavisha sketi akina Lugola na Nabii Tito mkawaapisha ya nini kuvunja katiba mchana kweupe?
Kungekuwa na hoja ningekujibu.
 
wewe unayesema safi sana,kuna nini unachotumia au kukimiliki kutoka ulaya?
unafurahia ujinga,tanzania haiwezi kuathirika kwa lolote..sisi washirika wetu wanatoka bara Asia zaidi..
wewe sema hiyo simu unayotumia imetoka chato?
 
Nimegundua hujui maana ya kuwekewa vikwazo, kwa kukusaidia, bei ya petrol/diesel itapanda na itapelekea vitu kama mfano:-sukari ikipanda hadi 10,000 tsh, cement 50,000, unga 5000/kg, watakao umia ni sisi wa chini au ni viongozi waliopo madarakani, napima IQ yako ili nijue unachoshabikia vikwazo unaelewa athari zake ama la. MTU YEYOTE MWENYE AKILI TIMAMU HAWEZI SHABIKIA VIKWAZO
Tukishaumia kwa vikwazo tutawalazimisha wasiibe Tena kura,mbona rahisi Sana.sisi w
 
Si tunaweza kufanya biashara na nchi za Asia na China?? Au nako pia haitowezekana??

Naomba kuuliza, kwani so far tunapeleka bidhaa gani huko Ulaya???
Mkuu maparachichi unayoona yanalimwa kwa wingi kule Njombe,green beans unayoona zikilimwa kule iringa na Arusha,ile miti ya mitiki unayoiona kule kilombero,ile kahawa unayoiona Arusha ,kilimanjaro,kigoma,kagera etc,soko lake kubwa ni ulaya
 
Kwahiyo watanzania ni wataalam wa kutalii nchi nyingine ivyo haitasumbua kwan tutatalii wenyewe??, ivi majitu mengine huwa yanaandika yakiwa yamekatwa vichwa au nn??
Kichwa panzi wee
Hasira zao zinawapelekea kuzira kama demu siyo?

Kwamba wanazuia watalii kuja na kutofanya biashara kuja kwetu, Kwani Dunia ina nchi ngapi na ulaya ina nchi ngapi?

Raisi wa ulaya na spika wao ni washamba Sana aisee!!

Hiyo ni adhabu Sawa na mke azire kumpikia Mume na badala yake mume awe anajipikia Wakati naye ni mtaalamu wa kupika
Tutajipikia
 
Ambia mamako
Ninyi ndio mnakiangamiza chama chenyevbila kujijua. Mnang'ang'ania vitu ambavyo havipo badala ya kujenga vyama vyenu. Ikifika uchaguzi, mnakuwa hamjajipanga. Mkishindwa mnadai mmeibiwa kura. Wajinga kabisa ninyi!!!
 
Back
Top Bottom