Badala ya kujikita kwenye hoja za Mh. Halima, still bado unaombea vikwazo. I told your fried, Erythrocyte kuwa, Halima is very very smart mp, ameretariate very smartly. FYI, kuna possiblity mwamba alitoaga baraka, irrespective of what he said some couple of days back then, utacheck kweny rufaa ya Mdee.Naona kuna mchezo unachezwa hapa kwani hii press ya kina Mdee imetoka leo huku clip ya Dr.Slaa ikionekana kuwa posted mtandaoni masas 14 yaliyopita...