Na Wana ushirikiano kama siafu.Wachina unaowafikiria kuwa unaweza kufanya nao biashara, waliwekewa mbinyo kidogo tu na Marekani kwenye biashara, ukuaji wao uludondoka ghafla mpaka 2%, na hautegemewi kupanda tena kwa kipindi kisichopungua miaka 10.
Ukiwejewa vikwazo na hayo mataifa makubwa, kila mmoja anaogopa kuwa karibu nawe. Unakuwa haramu, na haramu haiguswi.
Mimi nafurahia vikwazo tena sana tu kwani hayo majeshi yanayotumiwa kuuwa raia ili kuwaweka madarakani kikundi cha wezi na majambazi labda wakipunguziwa mshahara watapata akili hawatokubali kutumiwaWewe kama wewe, unafurahia vikwazo ?
Kuamini na tuliwaona wakiuwa watu na kujeruhi , salaam tunaziona kweli kwani mnapigana kuwaweka wabunge wa chadema wanawake si mngaliwavisha sketi akina Lugola na Nabii Tito mkawaapisha ya nini kuvunja katiba mchana kweupe?Endelea kuamini. Lakini wapiga kura wa Tanzania wameishawashtukia. Salam waliwapa Oktoba, 2020. Msipobadili strategia mtapotea kabisa 2025! Tunza hii komenti.
Dr Slaa alikuwa wa zamani, si huyu wa kusifu na kuabudu. Hivi alitaka tukaieleze nini bunge la Ulaya ?!. Kwamba hatuna u dictator ? Au kwamba wapinzani hawanyanyaswi ?!.
Nami nimemsikiliza hana lolote huyu. Alishafika bei
Nchi nyingi za Asia uchumi wao ni mdogo sana.bara la ulaya na america ndio mababa wa dunia hii kaa utambue ilowewe unayesema safi sana,kuna nini unachotumia au kukimiliki kutoka ulaya?
unafurahia ujinga,tanzania haiwezi kuathirika kwa lolote..sisi washirika wetu wanatoka bara Asia zaidi..
KihaKilugha chenu gani?
Mie sio Muha na kwetu lina tafsiri nzuri tuKiha
Nimegundua hujui maana ya kuwekewa vikwazo, kwa kukusaidia, bei ya petrol/diesel itapanda na itapelekea vitu kama mfano:-sukari ikipanda hadi 10,000 tsh, cement 50,000, unga 5000/kg, watakao umia ni sisi wa chini au ni viongozi waliopo madarakani, napima IQ yako ili nijue unachoshabikia vikwazo unaelewa athari zake ama la. MTU YEYOTE MWENYE AKILI TIMAMU HAWEZI SHABIKIA VIKWAZOMimi nafurahia vikwazo tena sana tu kwani hayo majeshi yanayotumiwa kuuwa raia ili kuwaweka madarakani kikundi cha wezi na majambazi labda wakipunguziwa mshahara watapata akili hawatokubali kutumiwa
Alichozungumza ni nchi za ulaya wazungu huwa wana roho mbaya sana
Kungekuwa na hoja ningekujibu.Kuamini na tuliwaona wakiuwa watu na kujeruhi , salaam tunaziona kweli kwani mnapigana kuwaweka wabunge wa chadema wanawake si mngaliwavisha sketi akina Lugola na Nabii Tito mkawaapisha ya nini kuvunja katiba mchana kweupe?
wewe sema hiyo simu unayotumia imetoka chato?wewe unayesema safi sana,kuna nini unachotumia au kukimiliki kutoka ulaya?
unafurahia ujinga,tanzania haiwezi kuathirika kwa lolote..sisi washirika wetu wanatoka bara Asia zaidi..
Tukishaumia kwa vikwazo tutawalazimisha wasiibe Tena kura,mbona rahisi Sana.sisi wNimegundua hujui maana ya kuwekewa vikwazo, kwa kukusaidia, bei ya petrol/diesel itapanda na itapelekea vitu kama mfano:-sukari ikipanda hadi 10,000 tsh, cement 50,000, unga 5000/kg, watakao umia ni sisi wa chini au ni viongozi waliopo madarakani, napima IQ yako ili nijue unachoshabikia vikwazo unaelewa athari zake ama la. MTU YEYOTE MWENYE AKILI TIMAMU HAWEZI SHABIKIA VIKWAZO
Mkuu maparachichi unayoona yanalimwa kwa wingi kule Njombe,green beans unayoona zikilimwa kule iringa na Arusha,ile miti ya mitiki unayoiona kule kilombero,ile kahawa unayoiona Arusha ,kilimanjaro,kigoma,kagera etc,soko lake kubwa ni ulayaSi tunaweza kufanya biashara na nchi za Asia na China?? Au nako pia haitowezekana??
Naomba kuuliza, kwani so far tunapeleka bidhaa gani huko Ulaya???
Hiyo clip inayotrend ni ya last year, siyo ya sasa, iko youtube pia.
Japo maudhui yake yako relevant mpaka sasa
Hasira zao zinawapelekea kuzira kama demu siyo?
Kwamba wanazuia watalii kuja na kutofanya biashara kuja kwetu, Kwani Dunia ina nchi ngapi na ulaya ina nchi ngapi?
Raisi wa ulaya na spika wao ni washamba Sana aisee!!
Hiyo ni adhabu Sawa na mke azire kumpikia Mume na badala yake mume awe anajipikia Wakati naye ni mtaalamu wa kupika
Tutajipikia
Ninyi ndio mnakiangamiza chama chenyevbila kujijua. Mnang'ang'ania vitu ambavyo havipo badala ya kujenga vyama vyenu. Ikifika uchaguzi, mnakuwa hamjajipanga. Mkishindwa mnadai mmeibiwa kura. Wajinga kabisa ninyi!!!
Urakapoanza kukosa vidonge vya ARV ndo utajua hii safi sana ilivyo sanaSafi sana