Dkt. Slaa: CHADEMA walimteka mtu wao, wakamtesa, wakamtupa, mimi nikajua watekaji ni Usalama wa Taifa

Aliyeisumbua ccm ni Lowassa hadi wabunge waliongezeka.
Slaa aliahidi kumfunga jpm lakini badae akannuliwa akawa mtetezi wake!!
 
Hajasema hivyo! Amesema ile rasimu ya Warioba ilichakachuliwa zaidi na ndio mbovu kuliko hata hii ya sasa! Facts hata kama humpendi,

Hapa unaongelea attachments
Swala la kukiuka taratibu za ununuzi,kampuni kupata hasara ni hoja ambazo hazihitaji hiyo kamati
Majibu unamalizana na auditor hapo hapo
 
Kauli inafikirisha sana hii.
 
Hapa unaongelea attachments
Swala la kukiuka taratibu za ununuzi,kampuni kupata hasara ni hoja ambazo hazihitaji hiyo kamati
Majibu unamalizana na auditor hapo hapo
Sio attachments tu, unaweza kupata Audit findings hata 50 pages zenye figures za kutisha lakini hadi hoja inafungwa zimebaki page 2 tu. Yanayoendelea ni purely politics!
 
Kuna watu wananiuliza kuhusu Tundu Lissu kupigwa risasi, kuwa sipendi kulizungumzia hilo kwa kuwa sita taarifa zake za uhakika.

Angeishia hapo ingekuwa amefanya Busara sana...
 
Chadema punguzeni kujipa matarajio na matumaini hewa, fanyeni kwanza chama/chadema assessment kwa wananchi mpate maoni kamili kuliko kutegemea mitandao tu ambayo penetrations yake ni kidogo, mwaka 2010-2015 hamasa ya mageuzi ilikuwa kubwa sana kutoka na jitihada kubwa zilizofanywa na upinzani wakati huo Dk slaa, Lissu, Zitto, Mkumbo, Prof safari, Lipumba, Maalim seif , mwamuko ulikuwa mkubwa na agenda kubwa ilikuwa ni rushwa na kuwatetea wananchi walio chini, kuja kwa Lowasa pamoja na hamasa iliyokuwepo iliongeza hamasa hivyo kupata wabunge wengi mwaka 2015 lakini bado CCM ilishinda, siasa zilibadilika ghafla kuanzia mwaka 2015 baada ya agenda karibu zote tulizokuwa tuna pigania kuanza kufanyiwa kazi, CCM ikakubalika tena, ndugu zangu mimi sijawahi penda ccm maisha yangu yote ila speed ya mwaka 2015 hadi 2020 chini ya msukuma yule ( Magufuli) haikuwa ya kawaida, upinzani agenda ikafa tukabakiwa na matukio na matusi mitandaoni, kwa ufupi tukapoteana, tukaja na conclusions kuwa tuliibiwa kura mwaka 2020, lakini ukweli halisi tulishindwa vibaya sana mwaka 2020 , wananchi walio wengi waliamini tena ccm, watu wanasomeshewa watoto wao bure ulitegemea wata mpigia kura nani?

Mimi nimeshiriki mikutano mingi ya Tundu Lissu Dar na mikoani, walikuwa wana msikiliza tu lakini baada ya hapo majority wengi walidai kura za uraisi ni Magufuli, sijui Magufuli aliwafanyia nini, sasa chadema kama chama kikubwa cha upinzania kifanye assessment kwanza na kipate report ya matukioa yote kuanzia mwaka 2015 hadi leo, kitapata picha halisi na kuja na sera mbadala, maana dunia inabadilika hivyo sera pia zina badilika kulingana na mabadiliko ya dunia na uongozi wa sasa.
 
Nampenda Dr. Slaa. Yeye husema ukweli. Anatufaa sana kuwa Rais wetu.
Pengine Rais wa MATAGA, lakini siyo Rais wa nchi hii. Aliharibikiwa akili baada ya kununuliwa na mwendazake. Mshumbusi akamalizia hata ile akili kidogo aliyokuwa anasimamia ubalozi. Sasa hivi ni kopo tupu.
 
Dr. Slaa asaidie polis kumbe anajua maovu mengi Sana kwa nini anyamaze visa vya utekaji?mwanasheria gani ananyamazia uvunjaji wa Sheria?
 
Sasa mbona hawachukuliwi hatua na vyombo husika? Slaa tushamzarau yeye zito lipumba afadhali lungwe anajua kusimamia anachokiamini.
Hamchukuliwi hatua kwa sababu tu mnavumiliwa kisiasa ili kubalance mambo
 
This is a voice of a destitute. It is a struggle for survival. He is in the cold.
 
Dr. Slaa asaidie polis kumbe anajua maovu mengi Sana kwa nini anyamaze visa vya utekaji?mwanasheria gani ananyamazia uvunjaji wa Sheria?
Huyu mzee amshukuru sana Mbowe kmuwekea bondi ili kulinda image yake demu wake (mama junior) angekuwa magereza kwa kufoji sahihi ya huyo mzee kukwapua milioni 200 za umma
 
Sio attachments tu, unaweza kupata Audit findings hata 50 pages zenye figures za kutisha lakini hadi hoja inafungwa zimebaki page 2 tu. Yanayoendelea ni purely politics!
Nakubali kwenye attachments lakini hasara ya kampuni ni kitu kipo wazi kwenye financisl statements.
Ukiukwaji wa procurement process hakuhitaji kamati ya bunge..
Kufoji viza uhamiaji hakuhitaji kamati ya bunge..
Kukiuka mkataba na wakandarasi wa bwawa la nyerere na kusababisha mradi kuchelewa hakuhitaji kamati ya bunge.
So on and so forth..
Kumbuka pia audit ni rule based na principle based
Rules ni siasa lakini principles ni standard za ukaguzi ambazo ni universal.
 
Na alitamani afe siku Ile alipopigwa risasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…