Dkt. Slaa: CHADEMA walimteka mtu wao, wakamtesa, wakamtupa, mimi nikajua watekaji ni Usalama wa Taifa

Binafsi nilijua kadiri umri unavyosonga ndivyo busara inakua kubwa, Lakini kwa huyu Dokta Mihogo hakika anazidi kuwa hayawani.!

This is too bad.
Wewe na busara zako ndo zimekufundisha kumuita mtu fisadi Zaid ya miaka8 na Kisha kuja kumnadi kwenye kampeni kama mgombea wako!!
 
Njaa mbaya sana, mzee anafukuzia kauteuzi laki anakosea step, kuegemea Sukumagang kunamkosesha teuzi
We unafikiri KWA heshima ya Dr.slaa enzi na enzi angeamua kuuza utu wake KWA pesa angekua wapi?Mmezoea wanasiasa malaya malaya ndo Tatzo,leo mnamuita Fisadi kesho ndo apeperushe bendera ya chama
 
Tunakushukuru sana Mungu kwa kutuondolea huyu Mamluki Chadema
Shame on you,Unaijua Chadema na kutukana humu KWA sababu take yeye kukuhubiria na kujenga imani ya hicho chama mpaka Sasa unalipwa kushinda humu kuandika habari za porojo porojo,Slaa anapeperusha bendera ya chama 1995 we ulikua wapi!!
 
We unafikiri KWA heshima ya Dr.slaa enzi na enzi angeamua kuuza utu wake KWA pesa angekua wapi?Mmezoea wanasiasa malaya malaya ndo Tatzo,leo mnamuita Fisadi kesho ndo apeperushe bendera ya chama

..umesahau majina ambayo Ccm walikuwa wanamuita Dr.Slaa, halafu leo ndio wanamkumbatia?

..Na Lowassa alivyokuwa akitukanwa alipohamia Cdm, halafu aliporudi Ccm waliokuwa wakimtukana walisemaje?
 
Heko mzee Slaa,siku zote simamia ukweli daima na ndo legacy itayoeza ishi daima,Hawa CDM na wenzao Kijani ni watu walokosa morality ya kukemea ufisadi.

Nchi hii kuna wapuuzi wanajidai wafia chama,siku zote ni bendera fata upepo na ndo wamejaa humu kutusi na kubwabwaja KWA kuangalia upepo wa mabwana zao
 
Kuna siku alijibu na kicheko cha kejeli kuwa “cha ajabu Lissu kupigwa risasi ni kipi? Marekani watu wanapigwa risasi kila siku na maisha yanaendelea”! Nilishangaa sana; nikajua huyu mzee keshapinda kweli kweli.

Anyway, Dr. Slaa’s moment of fame ended at Serena Hotel in 2015. Wanaompa nafasi ya mahojiano siku hizi wajue pale hakuna thamani tena: no value for money. He’s already gone overboard.
 
..umesahau majina ambayo Ccm walikuwa wanamuita Dr.Slaa, halafu leo ndio wanamkumbatia?

..Na Lowassa alivyokuwa akitukanwa alipohamia Cdm, halafu aliporudi Ccm waliokuwa wakimtukana walisemaje?
Hakuna ccm fisadi anayeweza mkumbatia Dr.slaa,ila wale smart na wasio wafia vyama ndo wanaelewa Dr.Slaa siku zote anasimamia misimamo.CHADEMA HAWATOKUJA KUJISAFISHA KWA KUPOKEA MAFISADI.
Hilo linatosha kabisa Bila kuanza kuingia ndani,Drama zao na CCM sisi tunaona waigizaji tu na ndugu zao kina mzito kabwe
 
1. Mtu anayeamini katika transparency atasemaje kuwa ripoti ya CAG iwe siri na wananchi wapewe taarifa tuu itakayopitishwa na Bunge la Ndugai na Tulia?
2.Chadema watamshtaki nani wakati wao hawana ushahidi wowote wa kabrasha zilizotumiwa na Ndugai kufikia uamuzi wake. Wao wanasema hawakuandika barua yoyote kwa taasisi yeyote kuwapendekeza wakina Halima. Onus ilikuwa kwa Spika/ Mahere kutoa uthibitisho kuwa Chadema waliandika barua hiyo. Hapo ndipo Chadema wangeweza kwenda Mahakamani kushtaki kuwa sahihi zao zimekuwa forged.
3. Hilo la Lissu halistahili jibu. Lakini si ajabu. Kama mtu anasema kuwa alinyamaza pale jaribio la kumuua Joseph asingeweza kusema kitu kwenye tukio la Lissu halafu a jeopardise ugali wake. He is a coward.
4. Huyu alisema Human Rights sio kipaumbele cha watanzania. Ata support vipi Katiba.
Ametoa mfano wa Marekani na jaribio la Trump kubatilisha matokeo ya uchaguzi mkuu. Asichosema ni kuwa waliomzuia kufanya hivyo ni viongozi waliokataa kukiuka Katiba. Secretary of State wa Georgia alimkatalia ingawa nae ni Republican. Pence pia alimkatalia. Hapa kwetu wakina Mahere na maDED wanakiuka Katiba with abandon kwa sababu wanajua hamna consequences kwa kufanya hivyo. Pence alijua angemkubalia Trump angeishia lupango. Katiba bora ni muhimu. Na Katiba ni kitu hai ambacho kinaboreshwa kila inapobidi.

Amandla...
 
Ila wewe wenye thamani kwako ni Wale wanakwambia zungusha mikono ndo mabadiliko!!Nyi jamaa akili kisoda sana
 
Lini ameunga mkono juhudi? Cheap politics
Dr Slaa aliingia Chadema baada ya kutoswa kugombea ubunge kupitia ccm , na sasa amerejea alikotoka kwa rushwa ya ubalozi .

Ukileta ubishi utadhalilika vibaya sana !
 

..tatizo ni Dr.Slaa kuikumbatia Ccm baada ya kuondoka Cdm.

..ni afadhali angetafuta chama kingine cha upinzani halafu akaendeleza harakati zake.

..huwezi kushambulia Ccm ya mafisadi, halafu ukakumbatia Ccm ya watekaji na wauwaji, halafu ukatarajia watu wakuheshimu.

cc MTAZAMO, Nguruvi3
 
CDM mnatokwa povu humu mpaka Basi mtafikiri Dr.slaa kawasingizia,nyinyi ni CCM-B kwa matendo na hata kauli zenu,Nyinyi ni waroho wa madaraka,wachumia tumbo,bendera fata upepo tu
 
Kwamba Lisu alitekwa na CHADEMA tumuogope Mungu maana kulikuwa na haja gani tena Mbowe kuhangaika kumpeleka Nairobi si angemwacha afe ili litimie walilopanga kama Chama.
 
Slaa always Yuko free na wala haikumbatii hao mafisadi wenzenu wa fisiemu,Nyinyi ndo mnalazimisha kuwa hivyo na hata yeye kawa muwazi tu na kusema ufisadi umeanza kurudi,KAZI kwenu wafia vyama mlonyang'anywa fikra huru KWA mgongo wa vyama
 
Mdini sana huyu Mzee.
Kila akitokea Kiongozi Muislam Dr. Slaa anapanua mdomo Kama Chai Jaba.

Hivi haoni kuwa uhuru wa kisiasa ndio unampa fursa ya kuzungumza na kutetea Chama chake Cha UP.!!
Hatapata wanachama ndio atajua kuwa yeye SI chochote si lolote ndani ya CCM Wala Chadema.

Hawezi kupata wanachama hata laki Moja.
Kama anabisha 2025 achukue fomu agombee aone kuwa Watanzania sio wajinga.

Yani mpumbavu sana huyu Slaha mihogo ,amesahau watu walivyopoteza maisha Kwa maandamano aliyokua anayaratibu akiwa Katibu mkuu wa Chadema.? Amesahau kuwa Kuna watu walikua wanafungwa Kwa sababu ya kutaka haki hasa wakati wa uchaguzi ?

Hivi huyo Slaa haoni kuwa Afrika hakuna mtu anayetegemea serikali kula? Hata kabla ya hizi takataka za kikoloni zinazoitwa serikali na maendeleo kuja Afrika waafrika walikua wanatafuta chakula Chao wenyewe. Sasa kusema kuwa Katiba haimpi mtu chakula mezani ni kuwadharau watanzania. Yeye ndiye anayepewa chakula mezani lakini wanyonge wanajitafutia wenyewe hawahitaji serikali iwape chakula. Hata somalia pasipo na serikali watu wanaishi. Watu wanataka haki tuu. Watu wanataka wapate haki sawa mbele ya vyombo vya dola lakini haki ya kupanda na kufikia ndoto zao za kisiasa bila kuzuia na Dola Kwa sababu ya kulinda CCM pekee. Watu wanataka CCM iwekwe madarakani kihalali na waonyesha hayo waliyofanya sio Kwa kubebwa na Polisi na Tume.

Kama Dr. Slaa hajui ugumu wa kuendesha shughuli za kisiasa chini ya Katiba iliyopo basi Hana tofauti na mtoto wa kishetani anayemtoa baba yake kafara ili apate Mali.
Afrika Ina laana mbaya sana kuwa na wanasiasa wanafiki wanaojali matumbo yao.

Waafrika wanapigania mtu badala ya falsafa.
Kwa nchi yetu na Katiba iliyopo ni Bora TU Dr. Slaa akae kimya ale alichopewa na serikali ya CCM mana kama ana ndoto za Urais basi anajidanganya. Haiwezekani hii nchi akabidhiwe padri muasi. Mtu aliyemuasi Mungu hawezi kuwa mwaminifu Kwa wanadamu ndio maana hazungumzii haki. Kazi ya serikali ni kutenda haki.
Maendeleo ni Kodi za Wananchi wenyewe sio hisani. Haki ndiyo itakayowafanya Watanzania wapate mrejesho wa Kodi yao.

Leo Slaa amesahau kuwa wabunge na kamati zao wamekua wakihongwa ili watetee wezi ? Amesahau Sakata la Jairo. Leo anamfunga mdomo Zito wakati Kuna utata. Alikufa ni Magufuli Sasa Kuna dhambi Gani kuwajibishwa wasaidizi wake walioiba wakati wapo.? Hofu yao Nini kama sio kweli wezi wapo. ?
Magufuli alikua ni Rais lakini alikua na wasaidizi ambao ndio walioipaka matope serikali yake , wawajibishwe wao sio hayati. Aliwaamini wakamwangusha na kumpa ripoti za uongo.

Tunajua Slaa ni lile kundi lisilomkubali Mama Samia ndio maana anazunguka zunguka TU na vijembe vyake akidhani kuwa mama naye anaipenda hii katiba mbovu. Mama ni Mpenda haki na Demokrasia. Hakuna mpenda haki anayeamini katika katiba inayowafanya watawala kuwa miungu. Rais anakua na mamlaka makubwa kuliko Mungu kwenye nchi iliyoumbwa na Mungu . Haya maisha ni ya kupita TU hakuna haja ya kujisahau kama hao wazee wanavyojisahau wakidhani wataishi milele.
 
Slaa always Yuko free na wala haikumbatii hao mafisadi wenzenu wa fisiemu,Nyinyi ndo mnalazimisha kuwa hivyo na hata yeye kawa muwazi tu na kusema ufisadi umeanza kurudi,KAZI kwenu wafia vyama mlonyang'anywa fikra huru KWA mgongo wa vyama

..Dr.Slaa amesema nini kuhusu ubaguzi, utesaji, utekaji, na mauaji, ktk awamu ya 5 ?

..Umesahau kwamba Dr.Slaa aliwahi kusema kuwa akipata madaraka atamfunga Dr.John Magufuli?

..Dr alitakiwa kuanzisha chama au kujiunga na chama kingine cha upinzani lakini sio kujiegemeza Ccm.
 
Kweli kwenye siasa hamna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu🤗
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…