Nakukumbusha tu maana umesahau hata juzi juzi tu mwangosi ulikuaje?Dr ulimboka unajua nani alimng'oa kucha?Abson kibanda?Mwakyembe?wafanya biashara wa madini?Mashekhe wa uamsho?,bomu la mkutano wa CDM Arusha?Unajua Ulemavu wa mkono wa Dr.Slaa ameupata wap?Na wengine wengi?Walikua wamejificha?
WaTZ wepesi kusahau sanaaa,Juzi mwezi wa12 tu hapa vijana wa4 hawajaonekana Hadi leo,na wengine wanazidi kupotea lakini Mnaleta hoja nyepesi tu.Nyinyi mmeimbishwa hoja na mafisadi na mmeipokea na kucheza Ngoma msiyo ijua,na Sasa mnaona aibu
..Dr hazungumzii tena kuhusu mke wake kujeruhiwa na polisi, ameungana na Ccm waliotuma Polisi kumshambulia.
..lakini kuna tofauti kati ya awamu ya 4 na ya 5 ktk mambo haya ya ukatili. Hoja yangu ni kwamba awamu ya 5 walikuwa wanafanya waziwazi na ndio maana nasema walivuka mpaka ukiwalinganisha na wenzao huko nyuma.
..kuhusu Mwakyembe kwanini hakufuatilia suala lake la kuwekewa sumu? Mwakyembe si alikuwa waziri wa sheria nini kilimzuia?
..Magufuli naye anadai alilishwa sumu kwanini hakuwakamata wahusika alipokuwa Raisi? Hivi inawezekana Magufuli awashughulikie wapinzani na kuwaacha waliomlisha sumu?
..Ni kweli awamu ya 4 walifanya ukatili, lakini wao walikuwa tofauti na awamu ya 5 kwasababu walifanya kwa kificho. Awamu ya 5 walifanya waziwazi na walihalalisha ukatili wakidai wanashughulikia wasaliti.