Dkt. Slaa: CHADEMA walimteka mtu wao, wakamtesa, wakamtupa, mimi nikajua watekaji ni Usalama wa Taifa

Dkt. Slaa: CHADEMA walimteka mtu wao, wakamtesa, wakamtupa, mimi nikajua watekaji ni Usalama wa Taifa

Huyu padre aliyekana kiapo chake na kumnyang'anya Mahimbo mke wake siyo wa kumuamini kabisa. Na sasa kakimbiwa na yule mchumba ndiyo amekuwa mropokaji tu kama Cyprian Musiba vile apuuzwe tu amejiunga na Sukuma Gang .
Munachukia wasema ukweli. Dr Slaa ni mmoja wa viongozi bora Tanzania. Mumezowea opportunists kama Zitto Kabwe na puppets kama Tundu Lissu. Hampendi ukweli. Viongozi njaa bila siasa hawali
 
Mimi kila nikiwaza kuwa ni Kwa Nini Tundu alipigwa risasi nakosa jibu kabisa , alikua na kosa Gani la kustahili kupigwa risasi nyingi vile ? Ni unyama wa Hali ya juu.

Dr. Slaa kumbe ni kati ya watu katili sana sana Duniani . Nimemchukia sana !
.
Kufurahia na kushabikia BINADAM Mwenzake kupigwa risasi na Majambazi( potelea mbali kama sio state mission ) Hata kama alipigwa na Wenzake wa Chadema hakustahili kupigwa na hakuwa na Madhara yoyote Kwa Chadema mpaka apigwe risasi.
Ni kweli kabisa kuwa kama uchaguzi 2020 ungefanyika Kwa uhuru kidogo kama ule wa 2010 alipogombea yeye basi Tundu angemgalagaza sana mgombea wa CCM.

Mihogo na PhD yake amesahau jinsi Lisu alivyokua ananyimea mpaka kutumia Helkopta kwenye kampeni na kutishiwa kuuawa wakati wa kampeni na kuchonwa sindano ya sumu huku akifungiwa asifanye kampeni . Lisu alimuacha mbali sana Slaa kwenye kampeni 2020. Hata Zanzibar alipokelewa Kwa shamrashamra kubwa ukilinganisha na mihogo 2010.

Ingetosha TU Kwa Slaa kusema kuwa suala la Lisu lilikua na utata hivyo uchunguzi huru ufanyike ili ukweli ubainike na wahusika wachukuliwe hatua
Wakati unajiuliza hayo pia jiulize kwaninj Chacha Wangwe aliuawa? Aliuawa na nan? Kwanini katika ile ajari dereva wake hakupatwa na mchubuko? Nia ilikuwa nn? Then kaa chini tafakari kuwa Siasa sio mchezo! Usije ukadhani ata ndani ya chama chako kuna watu wasafi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Slaa ameongelea kuhusu CAG report na kusema kuwa sababu moja ya kutaka kuwa isiwe public mpaka itakapojadiliwa na Bunge ni kuepuka vitu kama risiti iliyohojiwa kupatikana baadae.
Huu ni upotoshaji mkubwa na unaweza kuzungumzwa tu na mtu asiyejua taratibu za pesa za umma. CAG anapokagua hesabu anawaambia wahusika dosari alizoziona katika kikao chake cha mwisho na aliowakagua. Baada ya hapo anaandika formal report ambapo anaainisha mapungufu yote alioyaona. Hizo zinaitwa Audit Queries. Audit queries zinajibiwa na accounting officer, ambae anamuandikia CAG. Kama ana risiti anaziambatanisha. Accounting Officer hata siku moja hajibu Bunge moja kwa moja. Bunge wanachoweza kufanya ni kumtaka Accounting Officer atoe majibu haraka kwa CAG.

Amandla...
Zile kamati za PAC na LAAC zinakuwa zakazi gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa hajielewi na hajiheshimu.Anajidhalilisha.Akiulizwa maswali ya mitego asiwe anajibu.Dokta Mihogo sucks!
 
..Dr hazungumzii tena kuhusu mke wake kujeruhiwa na polisi, ameungana na Ccm waliotuma Polisi kumshambulia.

..lakini kuna tofauti kati ya awamu ya 4 na ya 5 ktk mambo haya ya ukatili. Hoja yangu ni kwamba awamu ya 5 walikuwa wanafanya waziwazi na ndio maana nasema walivuka mpaka ukiwalinganisha na wenzao huko nyuma.

..kuhusu Mwakyembe kwanini hakufuatilia suala lake la kuwekewa sumu? Mwakyembe si alikuwa waziri wa sheria nini kilimzuia?

..Magufuli naye anadai alilishwa sumu kwanini hakuwakamata wahusika alipokuwa Raisi? Hivi inawezekana Magufuli awashughulikie wapinzani na kuwaacha waliomlisha sumu?

..Ni kweli awamu ya 4 walifanya ukatili, lakini wao walikuwa tofauti na awamu ya 5 kwasababu walifanya kwa kificho. Awamu ya 5 walifanya waziwazi na walihalalisha ukatili wakidai wanashughulikia wasaliti.
Hivi Tukio la Dr Ulimboka lilikuwa Siri? Tukio la Kubenena kumwagiwa tindikali lilikuwa siri? Tukio la Mwangosi pale Iringa kupigwa bomu na mwili wake kukatika vipande lilikuwa siri? Hivi lile tukio lingetokea wakati wa Magufuli ingekuwaje? Tukio la Mjumbe wa Kamati ya Katiba Mpya kupigwa na kitu kizito kichwani baada ya kuchukuliwa na watu wasiojulikana nyumban kwake lilikuwa la siri? Nzungumzia Dkt Mvungi.

Mbona yote yalikuwa ya wazi tu ndugu? Au usiri gani unauzungumzia wewe? Jaman!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Mdini Mimi sio mwanasiasa. Na hua najua kabisa hata maofisini Kuna watu ni wadini. Hata akiingia mtu amevaa kanzu anamchukia bila sababu. Ni aina ya Slaa. Kuna wakati watu walikua wanachukiwa TU Kwa kufuga ndevu. Lakini tunamshukuru Mungu Sasa kufuga ndevu imekua fashion Kwa watu wote Duniani isipokua tu Wachima mana wengi hata ndevu hawana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Slaa kamwe hawezi kumsifia Kiongozi asiye wa dini yake.ndiyo hulka aliyo nayo. Ni watu wanaoamini kuwa uongozi unatokana dini yake bila kujua kuwa uongozi ni kipaji.
Hivi unaamini kabisa kuwa Zito anakosea kuchambua ripoti ya CAG.?

Hivi huoni kuwa Kuna rushwa kubwa sana inatolewa na wale waliokuwa kwenye serikali ya awamu ya 5 ili wasije wakachunguzwa ?
Wanamtumia Marehemu Rais aliyepita kama chambo Cha kutafuta huruma.

Serikali ya Awamu ya Tano ilikua na watendaji ambao mpaka Sasa wapo Sasa Kwa Nini wasichunguzwe kama walioiba au hawakuiba. Magufuli hakuwa anatoa VISA , Magufuli hakuwa anafanya kazi BENKI KUU, MAGUFULI HAKUWA ANAJEMGA BARANARA. Magufu hakuwa anafanya kazi bandarini. Sasa Kwa Nini wanapoteza mada Kwa kusema kuwa hatukubali Magufuli achafuliwe. Waliomchafua ni wale aliowaamini na kiwapa nafasi wakafanya ufisadi. Hawa wajiandae TU kuwajibika sio kujifanya wanalinda legacy ya MAGUFULI huku wakiwa wamefuja Mali za umma.
Tatizo la Zitto anapenda cheap politics! Zitto ananulika sana, Zitto ni mtu ambaye anadandia hoja nyepesi mno! Kipindi cha Magu anaagiza Boeing 787-8 Zitto huyuhuyu ndo alituambia sio 787-8 Serikali inadanganya ila wananunua Terrible Tins naam ni Zitto!

Ni Zitto mdiyo aliyeanza kutuaminisha kuwa Magufuli amefariki siku ile pale Ruangwa ambapo moshi wa ajabu utoka mbele ya JPM! ZITTO alifikia hatua ya kumpost moaka Samia na kumuambia sasa Zamu yako ila baada akashangaa JPM anakuja kiwaapisha watu akageuka kuomba radhi!

Ni Zitto ndiyo anaemini katika Demokrasia lakini ndani ya Chama chake ile nafasi haigombewi! Kwaiyo Zitto ni Amoeba! Ye anabadilika tu kulingana na mazingira na Zitto huyohuyo ukimuuliza vizuri amenusulika matukio ya kuawa ndani ya Chadema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna aliyejua hili ! maandishi na matamshi yake yanaondoa shaka kuhusu uadilifu wake

D Slaa bado anashaka kama kweli TL alipigwa risasi! Slaa kapatwa na nini?

Mwangosi (pumzika kwa amani) alipigwa risasi mbele ya Dr Slaa na Polisi.
Hadi leo haki haijatendeka kwa aliyefanya unyama ule
Mkewe Dr Slaa alipigwa na Polisi na kuvuja damu.

Leo Padre Slaa ana shaka kama kweli TL alipigwa risasi na kama alipigwa pengine ni chama chake.

Bila haya hata kidogo anadiriki kutoka mfano wa kipuuzi!! mfano wa kitoto na kijinga sana alioutengeneza ili kuhalalisha mauaji au maumivu anayopitia TL.

Slaa hana chembe ya Utu anatafuta mkate kwa kushabikia uvujaji damu, ana push agenda kwamba TL hakushambuliwa na 'wasiojulikana''. Huyu aliyelalamika kuwekewa vinasa sauti Dodoma leo haamini mwenzake anayetembea kwa kuchechemea kwamba kadhulumiwa!

Dr Slaa kapoteza utu, ubinadamu , integrity and credibility yake, anaonekana msema hovyo

Acha kushabikia mauaji , kusukuma agenda uteuliwa katika bodi! Teuzi na vyeo ni mapito tu.

Wewe na mwendazake nani wa kumsaidia mwenzake?
Slaa hajapinga Lissu kupigwa risasi ila kapigwa na nani?
Ndugu nakuambia katika siasa kuna mambo mengi! Si CCM wala si Chadema, kuna watu humo ndani ni mamafia kwelikweli na wanashirikiana kwenye mambo yao ya mauaji vzri tu! Usicheze ata kdg na hawa watu ukiteleza unaenda na maji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna aliyejua hili ! maandishi na matamshi yake yanaondoa shaka kuhusu uadilifu wake

D Slaa bado anashaka kama kweli TL alipigwa risasi! Slaa kapatwa na nini?

Mwangosi (pumzika kwa amani) alipigwa risasi mbele ya Dr Slaa na Polisi.
Hadi leo haki haijatendeka kwa aliyefanya unyama ule
Mkewe Dr Slaa alipigwa na Polisi na kuvuja damu.

Leo Padre Slaa ana shaka kama kweli TL alipigwa risasi na kama alipigwa pengine ni chama chake.

Bila haya hata kidogo anadiriki kutoka mfano wa kipuuzi!! mfano wa kitoto na kijinga sana alioutengeneza ili kuhalalisha mauaji au maumivu anayopitia TL.

Slaa hana chembe ya Utu anatafuta mkate kwa kushabikia uvujaji damu, ana push agenda kwamba TL hakushambuliwa na 'wasiojulikana''. Huyu aliyelalamika kuwekewa vinasa sauti Dodoma leo haamini mwenzake anayetembea kwa kuchechemea kwamba kadhulumiwa!

Dr Slaa kapoteza utu, ubinadamu , integrity and credibility yake, anaonekana msema hovyo

Acha kushabikia mauaji , kusukuma agenda uteuliwa katika bodi! Teuzi na vyeo ni mapito tu.

Wewe na mwendazake nani wa kumsaidia mwenzake?
Kwa kukusaidia tu nakupa picha ya tukio la ajari lililoondoa uhai wa Mchungaji Christopher Mtikila mwaka 2015 tukielekea kwenye uchaguzi mkuu!

Tafakari vyema kwenye hiyo picha
mtikira%20ajari.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Tukio la Dr Ulimboka lilikuwa Siri? Tukio la Kubenena kumwagiwa tindikali lilikuwa siri? Tukio la Mwangosi pale Iringa kupigwa bomu na mwili wake kukatika vipande lilikuwa siri? Hivi lile tukio lingetokea wakati wa Magufuli ingekuwaje? Tukio la Mjumbe wa Kamati ya Katiba Mpya kupigwa na kitu kizito kichwani baada ya kuchukuliwa na watu wasiojulikana nyumban kwake lilikuwa la siri? Nzungumzia Dkt Mvungi.

Mbona yote yalikuwa ya wazi tu ndugu? Au usiri gani unauzungumzia wewe? Jaman!

Sent using Jamii Forums mobile app

..ukatili ulikuwepo awamu ya 4, lakini ufisadi ndio ulikuwa sifa kuu ya awamu hiyo.

..ufisadi ulikuwepo awamu ya 5, lakini ukatili ndio ulikiwa sifa kuu ya awamu hiyo.

..kwa mtizamo wangu hizo ndizo tofauti baina ya awamu hizo za utawala wa Ccm.
 
..ukatili ulikuwepo awamu ya 4, lakini ufisadi ndio ulikuwa sifa kuu ya awamu hiyo.

..ufisadi ulikuwepo awamu ya 5, lakini ukatili ndio ulikiwa sifa kuu ya awamu hiyo.

..kwa mtizamo wangu hizo ndizo tofauti baina ya awamu hizo za utawala wa Ccm.
Sawa mtizamo wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HEBU TUJADILI HII STATEMENT YA @drslaa

[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]

SIZUNGUMZII SUALA LA LISSU KUPIGWA RISASI SABABU UTEKAJI ULIKUWEPOA CHADEMA
“Kuna watu wananiuliza kuhusu Tundu Lissu kupigwa risasi, kuwa sipendi kulizungumzia hilo kwa kuwa sita taarifa zake za uhakika.

“Nitoe mfano iliwahi kutokea huko nyuma nikiwa Katibu Mkuu CHADEMA, nililetewa taarifa za mtu wangu anaitwa Joseph, huyu alikuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Temeke, alitekwa saa sita usiku. Kesho yake saa sita mchana nikahitisha mkutano na waandishi wa habari nikaisema sana Serikali na Usalama wa Taifa.

“Saa nane mchana siku hiyohiyo Joseph akapatikana, alikutwa ametupwa maeneo ya Ununio ameumia sana usoni.

“Mwezi mmoja baadaye kijana wangu wa Red Brigade anakuja kwangu kuniambia yeye ndiye aliongoza kukosi cha kwenda kumteka nyara huyo mwenyekiti huyo.

“Nikauliza kwa nini hakuja kwangu akasema ‘wapo viongozi wanaojua’, nikaamua kunyamaza, ndiyo maana ninapoulizwa suala la Lissu ninasema hapana, CHADEMA kwanza wajiangalie wao ndani.

“Huyo kijana (Joseph) walivyomtupa ufukweni walijua amekufa, kumbe alikuwa hajafa labda upepo ulimpiga akaamka. Miaka kadhaa baadaye tukaanza kusikia watu wanaokotwa wamekufa ufukweni, unadhani inatoa pcha gani!

“Ukiwa kiongozi lazima uwe kunasema ukweli hata kama unaona watu wako wanakosea.
Chadema wanauwana wao kwa wao
 
Hizi ndio hoja za kumuuliza atoe maoni. Walau wewe umeibuka na hoja ya msingi. Dr Slaa kwa principles zake za kusimamia ukweli, hili la Lissu hajalisemea kwa viwango tunavyotegemea kwa levels zake.
Hana uwezo huo....mtesiwa Lissu anajilikana....muda hiini chakula ya funza!
 
Mzee kabaki bechula Mshumbu tunamgonga huku mtaani kama hakuwahi kuwolewa!
 
Back
Top Bottom