Emanueli misalaba
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,769
- 2,523
Umoja Party kwani kimeshapata usajili?
Kama kimepata kimepata wa kudumu?
Kama kimepata kimepata wa kudumu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa utakipenda vipi chama ambacho hata uwepo wake tu haujulikani, mkuu 'sitagliptin'?Siku umoja party inaanza rasmi ccm kadi zote nachoma
Walai kwa moyo wangu wote hata niwekewe gobole kwa sasa ccm naichukia sana
Nataman chama kianze niwe hata mwenezi bila kulipwa sent tano au katibu wilaya bila sent moja
Naichukia sana kwa sasa ccm
Nipo kwa sababu upinzani waliopo nao hakuna kitu ni maccm pia
Hata wa zambarau wasanii?Sasa hivi hatuna chama cha upinzani ni sanaa tupu zinaendelea
Sijakusoma muda kitambo. Naona hali imekuwa ngumu.Eti anasema ana shida na pesa, kwaiyo alikuja kuchukua 20% baadae atazifuatwa 24% ili zitimie 44%
Hicho chama sasa ndo kitakuwa chama kikuu cha upinzani......Nanunua kadiNdio taarifa za chini kwa chini kwamba Dr Slaa ataibuka na chama kipya cha Umoja ( Umoja Party)
Taarifa zaidi zitawajia kwa kadri zitakavyothibitishwa hasa na watu wa ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa
Mlale unono!
Umoja Party.Sasa hivi hatuna chama cha upinzani ni sanaa tupu zinaendelea
Sio mmoja karibia viongozi wote wa ngazi za juuu wa chadema ni wasalit....Wanachama wa kwanza kabsaa tutawapokea kwenye umoja party ni Halima Mdee na wenzie 19.Nani msaliti kari ya yule anayeenda kufungua mkutano wa siasa mwanza amelewa na aliyechukua rushwa kumkaribisha lowasa?
Watanzania wa machame mliouza chama Monduli au?Atuombe radhi kwanza waTZ Kwa kutusaliti.
Kwani Mbowe ana fanya nini zaidi ya kuongea tu?Kiukweli Dr Slaa ni kama "Bob Junior" (Simba) umri umeshaenda hana Impact yoyote kwenye siasa anabakia kuongea tu, ndio maana jamii ya simba wanakufukuza ukikataa ndio wanakupiga kama Bob Junior
Tena hata huyo mbunge mmoja bado wanasema hawamtambuwi.Bora watuondolee usanii wa Chadema maana wanajiita chama kikuu cha upinzani wakati Wana Mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa Bungeni.
Mbowe simjuiKwani Mbowe ana fanya nini zaidi ya kuongea tu?
Juma Lokole katika ubora wakoNdio taarifa za chini kwa chini kwamba Dr Slaa ataibuka na chama kipya cha Umoja ( Umoja Party)
Taarifa zaidi zitawajia kwa kadri zitakavyothibitishwa hasa na watu wa ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa
Mlale unono!
Sukuma Gang mnajifariji kwa taarifa ya uzushi wa huyu Juma Lokole wa JFHicho chama sasa ndo kitakuwa chama kikuu cha upinzani......Nanunua kadi
Avatar yako ni upinde!Atakuwa amesoma vyema Alama za Nyakati, na atapiga sana hela.... Akiwa serious atifikia Jungu Kuu la Asali.
Azichange vema karata zake.
Watanzania wanakwenda na Dr Slaa!