johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Sasa kama Dr Slaa kaingia huko ni lazima kisajiliwe hakuna namna!Hicho chama kwanza mngekisajili ndio muanze hizi vurugu zenu bwashee..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama Dr Slaa kaingia huko ni lazima kisajiliwe hakuna namna!Hicho chama kwanza mngekisajili ndio muanze hizi vurugu zenu bwashee..
Ufipa st mmeanza kuweweseka!Ni vyema ili aje stuambie kwanini alikuwa anapigwa na Mushumbusi na kwanini alilazwa nje baada ya kukosa nafasi ya kugombea urais pale Mbowe alipokata kona hewani alipomchukua Lowassa.
Itatakiwa atuhakikishie wana umoja party, Role ya Josephine Mushumbusi ni ipi ndani ya chama kabla hatujamchagua awe mwenyekiti wetu. Je bado anautaka ufirst lady wa nchi au ufirst lady wa umoja party utamtosha?
Mtasema Yote 😄😄😄Sukuma Gang mnajifariji kwa taarifa ya uzushi wa huyu Juma Lokole wa JF
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hii ni kweli.Ufipa st mmeanza kuweweseka!
The Red, Black and Green (Marcus origin) + Yellow , African identity.Avatar yako ni upinde!
Pacha wangu huyo.Chaliifrancisco umefanananae huyu
Huko ndiko kunakomfaa(kama hizo habari ni za kweli) maana hicho kitakuwa ni chama cha waliokuwa chawa wa Mwendakuzimu(chama cha Sukuma gang).Ndio taarifa za chini kwa chini kwamba Dr Slaa ataibuka na chama kipya cha Umoja ( Umoja Party)
Taarifa zaidi zitawajia kwa kadri zitakavyothibitishwa hasa na watu wa ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa
Mlale unono!
Kuwa na heshima kwa jamii ya Rastafarian. Rasta color codes zilikuwepo kabla ya hao LGTBQ[emoji304] hawajaja na hayo marangi yao ya upinde wa mvua.Avatar yako ni upinde!
Identical?Pacha wangu huyo.
Wale ni CUF BHata wa zambarau wasanii?
Alishajichanganya huyo alivotusaliti.2015. Hata CCM Hawana wasiwasi nayeNdio taarifa za chini kwa chini kwamba Dr Slaa ataibuka na chama kipya cha Umoja ( Umoja Party)
Taarifa zaidi zitawajia kwa kadri zitakavyothibitishwa hasa na watu wa ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa
Mlale unono!
Good move for "walinda legacy"!!Ndio taarifa za chini kwa chini kwamba Dr Slaa ataibuka na chama kipya cha Umoja ( Umoja Party)
Taarifa zaidi zitawajia kwa kadri zitakavyothibitishwa hasa na watu wa ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa
Mlale unono!
Ataishia kama Lipumba.Ndio taarifa za chini kwa chini kwamba Dr Slaa ataibuka na chama kipya cha Umoja ( Umoja Party)
Taarifa zaidi zitawajia kwa kadri zitakavyothibitishwa hasa na watu wa ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa
Mlale unono!
mbona mbowe hajaomba radhi kwa kuungana na maccm?wewe umemwona dr slaa pekee na wanaolamba asali je?Atuombe radhi kwanza waTZ Kwa kutusaliti.