Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM hatujawahi kushindwaKitakuja kuhodhie team jpm na team slaa!!
Yaani neutralization reaction ya ccm na Chadema!!
Ni Chama kipya cha UPINZANI Baada ya kifo cha CHADEMA!
Pole pole, Bashiru usajili mpya huo hapo 2025!
Magufuli alikuwa mwana CCM kipindi cha Mkapa, Kikwete na hata kama asingekuwa Rais angekuwa mtetezi wa CCM ya Samia kindakindakiKatiba Mpyaz namm naitaka, ila Ndani yake Kuna mambo lazima yabaki ivoivo bila kubadilishwa, suala la muungano, kama Katiba ya Slaa ,ni yakuvunja muungano, Hatopata Uungwaji wangu mkono Ng'ooo !!.
Hakusema wanaopinga CCM ni Mabeberu, Bali wanaopinga juhudi anazofanya katika kuleta Maendeleo.
AahahaahNi vyema ili aje stuambie kwanini alikuwa anapigwa na Mushumbusi na kwanini alilazwa nje baada ya kukosa nafasi ya kugombea urais pale Mbowe alipokata kona hewani alipomchukua Lowassa.
Itatakiwa atuhakikishie wana umoja party, Role ya Josephine Mushumbusi ni ipi ndani ya chama kabla hatujamchagua awe mwenyekiti wetu. Je bado anautaka ufirst lady wa nchi au ufirst lady wa umoja party utamtosha?
Miye namba 7,nyuma yakojohnthebaptist na GENTAMYCINE ndio watu makini kwa sasa hapa JF.
Naamini Umoja Party ishapata wasemaji humu ndani.
Mi ni mwanachama namba 6 wa UP.
Haituhusu kwan ulisikia wale mapacha?Slaa anataka katiba mpya wakati Magufuli alipinga vikali katiba mpya
Magufuli pia aliamini katika mfumo wa chama kimoja, ambacho ni CCM, na wanaopinga CCM ni marafiki wa mabeberu
Huoni kuwa huo ni Upumbavu Mkuu?Aahaahaaj
Siku zote tunafuatilia tusivyovipenda,mkuu
Kawasaliti vipi watanzaniaAtuombe radhi kwanza waTZ Kwa kutusaliti.
Sawa Mbeya namba mojaNdio taarifa za chini kwa chini kwamba Dr Slaa ataibuka na chama kipya cha Umoja ( Umoja Party)
Taarifa zaidi zitawajia kwa kadri zitakavyothibitishwa hasa na watu wa ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa
Mlale unono!
Akikujibu nitagNani msaliti kati ya yule anayeenda kufungua mkutano wa siasa mwanza amelewa na aliyechukua rushwa kumkaribisha lowasa?
Ni saikolojia hiyoHuoni kuwa huo ni Upumbavu Mkuu?
Ccm itajiua yenyewe Baada ya Katiba mpya!!CCM hatujawahi kushindwa
Ndio taarifa za chini kwa chini kwamba Dr Slaa ataibuka na chama kipya cha Umoja ( Umoja Party)
Taarifa zaidi zitawajia kwa kadri zitakavyothibitishwa hasa na watu wa ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa
Mlale unono!
mbowe hatafuti bwabwa kutoka sukuma gang wala nguruwe wa uvccm.Kwani Mbowe ana fanya nini zaidi ya kuongea tu?
Mwendakuzimu hakukuwa na alichokuwa akikiamini, he was living by the day. Atakavyoamka siku hiyo mood yake ndiyo humuongoza aamini kitu gani, ile issue ya kwamba ana file Mirembe ilikuwa ikijidhihirisha katika matendo yake. Hata chawa wake walichokuwa wakijua ni kwamba wakimfurahisha kwa namna yoyote ile basi uhakika wa ulaji(ubwiaji asali) kwao unakuwepo, yaani sera ilikuwa ni kumfurahisha Jiwe.Lakini mwendakuzimu alikuwa haamini katika mfumo wa vyama vingi, na msimamo wake kuhusu wanaoipinga CCM ni vibaraka wa mabeberu
its the old technique that CCM has been using... Wagombanishe, wagawanye kisha uwatawale. Kumbuka UKAWA ilivyosambaratika dakika za majerushi kabla ya uchaguzi Mkuu.Yeye ajiunge tu na chama cha upinzani, kipya cha nini? Ni kugawa tu kura.
watanzania wa machame waliowekewa mbunge fake na diwani faki baada ya nduli magufuli kukosa uhalali ikabidi ajidanganye kwa kuita makamera lumumba kulikaribisha li oil chafu.Watanzania wa machame mliouza chama Monduli au?
Ahsante sana mkuu!Ila pamoja na huku Kutuchukia Kwako 24/7 hapa JamiiForums Mimi na johnthebaptist ila huachi Kutusoma na Kutufuatilia. Kwa niaba yake tunakushukuru mno na sana.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!