kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Silaa kigeugeu! hajui anachotaka wala kesho ataamkia wapi mwenyewe hajui.
alipewa kazi ya upadri ukamshinda, mke kashindwa akapora nawawatu naye amemshindwa, cdm akashindwa akaingia ccm nako ameshindwa!!
Watu wahivi huishia maisha ya kutangatanga bila ya heshma wala legacy yoyote.
Hajui kuwa na subira na kujenga kitu kikasimama anataka arukie chawatu kisha akiharibu na kukimbilia kwingine huku akijinasibu kuwa yeye ni mtu smart sana hawezi kuvumilia makosa...
Huyu poor slaa mkumbuke role model wake ni maremu aliyetutaabisha wengi kwa ubabe wa kidikteta naye alidumu kumpigia makofi na kumsaidia kazi. Good for nothing...
alipewa kazi ya upadri ukamshinda, mke kashindwa akapora nawawatu naye amemshindwa, cdm akashindwa akaingia ccm nako ameshindwa!!
Watu wahivi huishia maisha ya kutangatanga bila ya heshma wala legacy yoyote.
Hajui kuwa na subira na kujenga kitu kikasimama anataka arukie chawatu kisha akiharibu na kukimbilia kwingine huku akijinasibu kuwa yeye ni mtu smart sana hawezi kuvumilia makosa...
Huyu poor slaa mkumbuke role model wake ni maremu aliyetutaabisha wengi kwa ubabe wa kidikteta naye alidumu kumpigia makofi na kumsaidia kazi. Good for nothing...