Captain 666
JF-Expert Member
- Nov 5, 2021
- 660
- 1,236
Hyo hyo hahaha , mwana ccm . Polisi wa Jimmy Yule kule coart roomcaptain Yule polisi fake au yupi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hyo hyo hahaha , mwana ccm . Polisi wa Jimmy Yule kule coart roomcaptain Yule polisi fake au yupi
Kuna wakati akili Huwa zinamlejea nilimheshimu sana Mzee huyu AKAJA kuniumiza sana alipojichotea chake kutoka CCM sitakuja kumheshimu kamwe
Akipewa mic lazima aharibu mjadalacaptain Yule polisi fake au yupi
[emoji38][emoji38][emoji38] Yule ni commando muuza chupi kariakooAkipewa mic lazima aharibu mjadala
Mbowe na sa100 Kuna jambo hawatwambii.Dr Slaa leo tar 13 Dec 2022 akiwa ktk Mtandao wa Club house kwenye mjadala unaoendelea kuhusu mahitaji na Katiba Mpya, na Demokrasia nchini.
Dr Slaa anasema wanaisemea sana chadema kwa kuwa ndio Chama chenye Nguvu.
Hata hivyo amesema madai ya Katiba Mpya bado yanahitaji maridhiano kati ya vyama vya siasa, wananchi na serikali kwa kuwa serikali na ccm ndio wenye mpini.
Anadai kwa kusema kihistoria hata mafanikio ya kuundwa Tume ya Katiba Mpya chini ya Jaji Joseph Sinde Warioba ilichukua hatua mbali mbali za Dr Salaa pamoja na wenzake kwenda kufanya mazungumzo Ikulu ya Rais miaka ya 2012.
Mkutano huo unaofatiliwa na Maelfu ya Watanzania na kuungwa mkono na wanasiasa nguli kama
Dr. Lwaitama
Dr Slaa
Mh Lema
Na wadau wengi.
Naye Dr Lwaitama amemsifu na kumpongeza Dr Slaa kwa maoni yake mazuri yanayoonesha mwelekeo mzuri ambao unaonesha kweli Katiba Mpya ni hitaji la watanzanua wengi.
Akiongea moderator wa Mjadala ambaye hakufahamika jina lake haraka, alisema inawezekanaje Mh Rais wa Tanzania ameenda Marekani kimya kimya tofauti na ziara zingine?
Hahaha kweli aisee. Ila room ya abihud mi naipenda Sana kusikia mikwala yake[emoji38][emoji38][emoji38] Yule ni commando muuza chupi kariakoo
Jamaa anaweza kuongea masaa 27😆Hahaha kweli aisee. Ila room ya abihud mi naipenda Sana kusikia mikwala yake
Huu ni mjadala ambao huanzishwa na yeyote, aikiwa umemfollow amwanzishaji basi utapata notification nawe utaweza ku join au kuacha.Mkuu mjadala hufanyika mara kwa mara? Muda gani? Room ya club house inaitwaje nifuatilie siku nyingine?
HeheheeeKuna wakati akili Huwa zinamlejea nilimheshimu sana Mzee huyu AKAJA kuniumiza sana alipojichotea chake kutoka CCM sitakuja kumheshimu kamwe
Yeah Room za maana sanaHuu ni mjadala ambao huanzishwa na yeyote, aikiwa umemfollow amwanzishaji basi utapata notification nawe utaweza ku join au kuacha.
Ushauri uwa follow hawa;
Lissu
Binti karume
Binti Sarungi
Lema
Hawa mara nyingi wanashiriki hii mijadala hivyo wakianzisha utapata notification
AmeenSio the state hao!?
Ni kama maandalizi ya Bunge la katiba mpya Mwakani apendapo maulanah!
Wote ni wahanga wa MagufuliMbowe na sa100 Kuna jambo hawatwambii.
Bt kama ni jema, why waruhusu UBADHILIFU aina hii while Kila mmoja akimstahi mwenzie?
Hahahhahaa huo mfupa sasa..amejaribu kuibomoa Cdm ameona haibomoki.
..katiba mpya ni kama mfupa uliokwama kooni.
..kuumeza haiwezekani, kuutema haiwezekani.
Habari za asubuhiHuu ni mjadala ambao huanzishwa na yeyote, aikiwa umemfollow amwanzishaji basi utapata notification nawe utaweza ku join au kuacha.
Ushauri uwa follow hawa;
Lissu
Binti karume
Binti Sarungi
Lema
Hawa mara nyingi wanashiriki hii mijadala hivyo wakianzisha utapata notification
Inawezekana maana Dkt Slaa alishakuwa balozi. YOU must know what it takes some one kuwa balozi kwenye nchi yetu.Ni mkakati maalum unaoratibiwa na manguli wa fitna za kisiasa nchini.
KumekuchaHabari za asubuhi
LABDAMbowe na sa100 Kuna jambo hawatwambii.
Bt kama ni jema, why waruhusu UBADHILIFU aina hii while Kila mmoja akimstahi mwenzie?
Omofangaa naKumekucha
Usharudisha mbojo?😄Habari za asubuhi
Mungu wa Ibrahim Tenda Miujiza Nchi yetu iponeHivyo wameteta kisiri Kila mmoja amsitiri mwenzake katika KIPINDI hiki huku akimuahidi kwamba atawaponya majeraha yale ya kisiasa na kuwalipa haki zao wahanga wote wa regime iliyopita"