Dkt. Slaa kurejea CHADEMA? Tume ya Warioba ilitugharimu vikao vingi vya ndani

Dkt. Slaa kurejea CHADEMA? Tume ya Warioba ilitugharimu vikao vingi vya ndani

LABDA

Mama ana muda mfupi wa kufurahia kiti chake,na anajua katiba mpya lazima ipatikane na haoni Namna ccm itasimama katika chaguzi za katiba mpya!!!

Hivyo wameteta kisiri Kila mmoja amsitiri mwenzake katika KIPINDI hiki huku akimuahidi kwamba atawaponya majeraha yale ya kisiasa na kuwalipa haki zao wahanga wote wa regime iliyopita"

Na akamuomba Mwamba asitishe harakati zake za maandamano na mikutano ambayo itamharibia ulambaji asali na kujiweka sawa KWA muda mfupi wa utawala Wake! kwani wapinzani ni wengi Sana Hadi ndani ya CHAMA Hivyo mikutano ya CHADEMA ita destabilize uongozi wake KWA wasaliti kutoa Siri za Serikali na kuwapa CHADEMA Kisha Hali iwe mbaya kwake kisiasa!!

LABDA !

Najaribu kufikiria hivi

"Mawazo HURU HAYA ya mlipa kodi"
🤣🤣🤣sawa mkuu. Labda tuseme hivyo
 
"Serikali na CCM ndio wenye mpini"

Hapa ndipo penye chanzo cha tatizo, na ndio maana Katiba Mpya inachelewa kupatikana, panahitajika jitihada za dhati kujinasua kutoka kwenye huo mkwamo.
 
Dr Slaa leo tar 13 Dec 2022 akiwa ktk Mtandao wa Club house kwenye mjadala unaoendelea kuhusu mahitaji na Katiba Mpya, na Demokrasia nchini.

Dr Slaa anasema wanaisemea sana chadema kwa kuwa ndio Chama chenye Nguvu.

Hata hivyo amesema madai ya Katiba Mpya bado yanahitaji maridhiano kati ya vyama vya siasa, wananchi na serikali kwa kuwa serikali na ccm ndio wenye mpini.

Anadai kwa kusema kihistoria hata mafanikio ya kuundwa Tume ya Katiba Mpya chini ya Jaji Joseph Sinde Warioba ilichukua hatua mbali mbali za Dr Salaa pamoja na wenzake kwenda kufanya mazungumzo Ikulu ya Rais miaka ya 2012.

Mkutano huo unaofatiliwa na Maelfu ya Watanzania na kuungwa mkono na wanasiasa nguli kama
Dr. Lwaitama
Dr Slaa
Mh Lema
Na wadau wengi.

Naye Dr Lwaitama amemsifu na kumpongeza Dr Slaa kwa maoni yake mazuri yanayoonesha mwelekeo mzuri ambao unaonesha kweli Katiba Mpya ni hitaji la watanzanua wengi.

Akiongea moderator wa Mjadala ambaye hakufahamika jina lake haraka, alisema inawezekanaje Mh Rais wa Tanzania ameenda Marekani kimya kimya tofauti na ziara zingine?


Mzee ana haha sana ameona wakina Mbowe wakiongea na Raisi sasa ana tafuta njia za yeye naye kujaliwa kama Mbowe.
 
Kuna tesisi anaandaliwa kumrithi Mbowe ingawa Chadema Kindakindaki na Chadema Wakuja wanavutana wakati Chadema Kindakindaki wanadai ni wakati sasa Mwenyekiti Taifa kutoka Mkoa wa Mara na chapuo anapigiwa Heche. Kundi la Chadema Wakuja wao wanapinga nafasi ya Mwenyekiti wa chama kutoka nje ya Kaskazini na ndio wanapambana kumrejesha Rais wa Mioyo ya Wadanganyika Daktari Slaa.
Yaani nyie watu huwa mnapenda makorokoro kama wendawazimu. Yaani mkiona mahali pako safi ni lazima mpageuze jalala!!
 
Mzee ana haha sana ameona wakina Mbowe wakiongea na Raisi sasa ana tafuta njia za yeye naye kujaliwa kama Mbowe.
Awamu hii Mbowe ataongea na Rais wakiwa mbele ya Biden.

Kumbe Chadema wako very strategic sana.

Tuliosoma Uganda Makerere tunaelewana
 
"Serikali na CCM ndio wenye mpini"

Hapa ndipo penye chanzo cha tatizo, na ndio maana Katiba Mpya inachelewa kupatikana, panahitajika jitihada za dhati kujinasua kutoka kwenye huo mkwamo.
Dkt Slaaa amesema hii katiba iliyopo inainufaisha CCM na wakiendelea kuishikilia ipo siku italeta maafa kwa taifa. Na yeye ameahidi hata acga kuishauri serikali maana tayari madhara ya Katiba Mbovu yako wazi na yanalitafuna Taifa.
 
Ila Dr Slaa bado yupo na kadi yq CCM watu kama hawa ata kama wakiwa positive kupita kiasi bado sio wa kuwaamin maana hujipenda wenyewe na ni wabinafsi sana..Uyu akirudi Chadema kura yangu naipiga chin
 
Ila Dr Slaa bado yupo na kadi yq CCM watu kama hawa ata kama wakiwa positive kupita kiasi bado sio wa kuwaamin maana hujipenda wenyewe na ni wabinafsi sana..Uyu akirudi Chadema kura yangu naipiga chin
Hahaha Chadema hawezi kupewa daraja la juu tena.
 
Kuna tesisi anaandaliwa kumrithi Mbowe ingawa Chadema Kindakindaki na Chadema Wakuja wanavutana wakati Chadema Kindakindaki wanadai ni wakati sasa Mwenyekiti Taifa kutoka Mkoa wa Mara na chapuo anapigiwa Heche. Kundi la Chadema Wakuja wao wanapinga nafasi ya Mwenyekiti wa chama kutoka nje ya Kaskazini na ndio wanapambana kumrejesha Rais wa Mioyo ya Wadanganyika Daktari Slaa.
Slaa huyu huyu arudi Chadema ?
JokaKuu Allen Kilewella
 
Back
Top Bottom