Dkt. Slaa kurejea CHADEMA? Tume ya Warioba ilitugharimu vikao vingi vya ndani


Eti wanasiasa nguli!!huyo lwaitama ni mwanasiasa nguli?mi namwonaga kama mjanja mjanja mmoja hivi,tangu amestaafu chuo pale akawa ana tunga tunga vitabu vyake akawa anajiita mzee hoja huko kwenye siasa kajipa hika juzi juzi juzi tuu hapa usiseme nguli.
 
Not real Mr Mtazamo.

Wakati ambapo tulimhitaji alitugeuka.
Notion ya kugeukwa ni kama shilingi, mimi naona Chadema ilisalitiwa na Dr Slaa akataa kuwa sehemu ya huo uchafu.
 
Notion ya kugeukwa ni kama shilingi, mimi naona Chadema ilisalitiwa na Dr Slaa akataa kuwa sehemu ya huo uchafu.
Hayo maslah aliyoona yanasalitiwa ambayo Watu woote hawakuyaona akina Lipiumba na akina Mama Tanzania yeye ni nani?
 
Ni mzee mwenye ujasili sana. Kwa makundi ya Wazee wastaaf hapa Tz si rahisi kujiunga na Siasa za Upinzani.

He has to be respected. He stands out the Crowdy
 
Wanasiasa huwa hawaelewekagi

Mbona wakati wa yule,alikuwa kimya

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…