Ila hili sakata la bandari kweli nimekosa cha kusema maana naona kila mtu anakuja na story yake tu. Kweli kabisa nakosa wa kumuelewa.. sio wanaounga mkono wala wapingaji. Maana sina nilichoelewa
Hata mimi nimeliona kama ulivyoliona wewe !!Ila hili sakata la bandari kweli nimekosa cha kusema maana naona kila mtu anakuja na story yake tu. Kweli kabisa nakosa wa kumuelewa.. sio wanaounga mkono wala wapingaji. Maana sina nilichoelewa
Una akili ndogo sana. PoleIla hili sakata la bandari kweli nimekosa cha kusema maana naona kila mtu anakuja na story yake tu. Kweli kabisa nakosa wa kumuelewa.. sio wanaounga mkono wala wapingaji. Maana sina nilichoelewa
Mkuu hutaki tu kuelewa. Na hilo unalolifanya la kusikiliza kila mtu bila ya wewe kuutafuta mkataba na ukausoma ili uwe na msimamo wako, ndio ujinga uliokubuhu. Watanzania ni wavivu sana kutafuta ukweli wa mambo.Ila hili sakata la bandari kweli nimekosa cha kusema maana naona kila mtu anakuja na story yake tu. Kweli kabisa nakosa wa kumuelewa.. sio wanaounga mkono wala wapingaji. Maana sina nilichoelewa
Kasome makubaliano/mkataba wenyewe utaelewa. Usiwasikilize watuIla hili sakata la bandari kweli nimekosa cha kusema maana naona kila mtu anakuja na story yake tu. Kweli kabisa nakosa wa kumuelewa.. sio wanaounga mkono wala wapingaji. Maana sina nilichoelewa
Ila hili sakata la bandari kweli nimekosa cha kusema maana naona kila mtu anakuja na story yake tu. Kweli kabisa nakosa wa kumuelewa.. sio wanaounga mkono wala wapingaji. Maana sina nilichoelewa
Usijitowe akili wewe ...Sema nafsi yako iwe huru.Ila hili sakata la bandari kweli nimekosa cha kusema maana naona kila mtu anakuja na story yake tu. Kweli kabisa nakosa wa kumuelewa.. sio wanaounga mkono wala wapingaji. Maana sina nilichoelewa
Ni dubwasha la ajabu lisilokubalika kokote Duniani lakini mama abdul kalikazaniaIla hili sakata la bandari kweli nimekosa cha kusema maana naona kila mtu anakuja na story yake tu. Kweli kabisa nakosa wa kumuelewa.. sio wanaounga mkono wala wapingaji. Maana sina nilichoelewa
Usitoke nje ya mada mambo ya kuwezana au kutokuwezana hayana tija kwa mustakabali wa Bandari za TanganyikaHuyo ameshajiona kuwa jua linamchwea bila heshma yoyote.......apeche alolo sasa anatapatapa. Hakumuweza kikwete, hatomuweza samia.
Tatizo ni alma mater... Wala si kingine!!Ila hili sakata la bandari kweli nimekosa cha kusema maana naona kila mtu anakuja na story yake tu. Kweli kabisa nakosa wa kumuelewa.. sio wanaounga mkono wala wapingaji. Maana sina nilichoelewa
DuuhAkihojiwa na DW amesikika Dkt Slaa:
"Alipokamatwa akishtakiwa kwa uhaini alijiandaa kwa kifungo cha maisha na hata kunyongwa.".
View attachment 2727215
Ameendelea Slaa: "kutamka au kuwaondoa wasiowasikiliza wananchi hakuwezi kuwa uhaini",
Kwamba hilo ni kwa mujibu wa Katiba yenyewe.
Tusiogope waungwana kula na mtu sahani moja ni kwa mujibu wa katiba hii hii.
Sio kwamba huelewi sema tu uko upande wa waovuIla hili sakata la bandari kweli nimekosa cha kusema maana naona kila mtu anakuja na story yake tu. Kweli kabisa nakosa wa kumuelewa.. sio wanaounga mkono wala wapingaji. Maana sina nilichoelewa