Dkt. Slaa: Kuwaondoa wasiowasikiliza Wananchi, siyo Uhaini

Dkt. Slaa: Kuwaondoa wasiowasikiliza Wananchi, siyo Uhaini

🥺🥺🥺🥺🤭🤭🤭🤭 Haa haa haa..!!!

Eti hawa waarabu wanalipwa trillion 24..!!????

Maskini huyu, hata mkataba wenyewe sijui hata kama ameuona achilia mbali kuusoma na kuuelewa ibara kwa ibara..!!

Zawadini usikatate wito
 
Akihojiwa na DW amesikika Dkt Slaa:

"Alipokamatwa akishtakiwa kwa uhaini alijiandaa kwa kifungo cha maisha na hata kunyongwa.".

View attachment 2727215

Ameendelea Slaa: "kutamka au kuwaondoa wasiowasikiliza wananchi hakuwezi kuwa uhaini",

Kwamba hilo ni kwa mujibu wa Katiba yenyewe.

Tusiogope waungwana kula na mtu sahani moja ni kwa mujibu wa katiba hii hii.
Huyo mkosa maadili atabwabwaja na kuhororoja sana tu.

Debe tupu...
 
brazaj nimeiona PM yako, tatizo comment inagoma ku send, najaribu mara nyingi niwezavyo but inagoma tu, ila ulichokiandika kwenye PM yako masaa kadhaa yaliyopita ni kweli, hata nami nilishagundua hilo nikasahau tu kukwambia.
 
Wala usishangae ndugu. Ni hivyo hivyo kwenye mambo yote. Ndiyo maana huwepo vipanga na vilaza hata mashuleni. Mtu kushindwa kuelewa jambo, hakuna jipya hapo.
Hakika
 
Mkuu hutaki tu kuelewa. Na hilo unalolifanya la kusikiliza kila mtu bila ya wewe kuutafuta mkataba na ukausoma ili uwe na msimamo wako, ndio ujinga uliokubuhu. Watanzania ni wavivu sana kutafuta ukweli wa mambo.

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Inasikitisha sana
 
Ila hili sakata la bandari kweli nimekosa cha kusema maana naona kila mtu anakuja na story yake tu. Kweli kabisa nakosa wa kumuelewa.. sio wanaounga mkono wala wapingaji. Maana sina nilichoelewa
Wanaopinga wanatoa hoja zipi na wanaotete wanatoa hoja zipi, sasa huellewi nini!
 
brazaj nimeiona PM yako, tatizo comment inagoma ku send, najaribu mara nyingi niwezavyo but inagoma tu, ila ulichokiandika kwenye PM yako masaa kadhaa yaliyopita ni kweli, hata nami nilishagundua hilo nikasahau tu kukwambia.

Noted with thanks
 
Kama hizo hela ziliingilia mdomoni basi zitatokea mahali popote palipo wazi!!!" Magufuli.


Waliojigeuza marketing officers wa kampuni la DP world na madalali wote waliokula hizo hela za kuhongwa ujumbe uwafikie.

Kama mlikuwa mnanunua magari na kuyaandika majina yenu mtakiona cha mtema kuni safari hii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wote wamepiga kimya kabisa
 
Ila hili sakata la bandari kweli nimekosa cha kusema maana naona kila mtu anakuja na story yake tu. Kweli kabisa nakosa wa kumuelewa.. sio wanaounga mkono wala wapingaji. Maana sina nilichoelewa

Plse utafute usome Mkataba. Unaweza kurudia kuusoma tuu, ukishindwa kuelewa dah sasa hapo..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tiba ya afya ya akili inahusika….!!!
 
Au umenifungia huko.. naona bado inagoma tu ku send, hii app ya JF siku hizi imekuwa pasua kichwa sana kuitumia.

Siwezi kufanya hivyo mkuu. Ungali na changamoto zile zile. Japo kutokea jana, avatar yako hatimaye sasa inaonekana tena kama zamani. Ulipokuwa na changamoto ya forums avatar yako ilikuwa imepotea.

Jaribu kupambana kutumia browser badala ya hiyo app ya kibongo bongo. Ni nadra beberu kupiga fyongo.
 
Hivi kanisa haliwezi kumpa kazi huko huko kwenye kusimamia hela za Vatican. Simpendi

Unataka wazungu wa Vatican wampige risasi?
Hawana mchezo kwenye sadaka na fungu la kumi...
Kazi Yao hapa ni kushawishi waumini watoe Kwa wingi na kuikusanya kiuaminifu na kumpelekea Pope..
 
Mkuu hutaki tu kuelewa. Na hilo unalolifanya la kusikiliza kila mtu bila ya wewe kuutafuta mkataba na ukausoma ili uwe na msimamo wako, ndio ujinga uliokubuhu. Watanzania ni wavivu sana kutafuta ukweli wa mambo.

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Hivi unadhani kila mtu anao upeo wa kuusoma mkataba na kuuelewa? Ikiwa Dr. Tulia mwanasheria bado anakinzana na wanasheria wenzie kuhusu vifungu vya huo mkataba vipi mimi niliyesoma food & nutrition?
 
brazaj naona option iliyobaki ni browser tu, nayo inaleta uvivu password nimeisahau, niki request kwao majibu hayaji on time, basi ni vurugu tupu..
 
brazaj naona option iliyobaki ni browser tu, nayo inaleta uvivu password nimeisahau, niki request kwao majibu hayaji on time, basi ni vurugu tupu..

Umejaribu kuwaandikia Moderator?

Kama ndivyo fikiria hata kujaribu ID mpya ukakomaa na browser tu.
 
Umejaribu kuwaandikia Moderator?

Kama ndivyo fikiria hata kujaribu ID mpya ukakomaa na browser tu.
Niliwaandikia email kama siku nne zilizopita haikuwahi kujibiwa, nikaenda kule jukwaa la complaints nako nikawaandikia comment kwenye thread ya mwingine aliyekuwa na tatizo kama langu, nako kimya, no response, ndio maana naona bora niwe mtazamaji tu sehemu nyingine.
 
Niliwaandikia email kama siku nne zilizopita haikuwahi kujibiwa, nikaenda kule jukwaa la complaints nako nikawaandikia comment kwenye thread ya mwingine aliyekuwa na tatizo kama langu, nako kimya, no response, ndio maana naona bora niwe mtazamaji tu sehemu nyingine.

Kwamba JF nao hawajibu requests za wateja wao kama serikali ya CCM tu? Mbona itakuwa shughuli? Kumbe mtu yakimkuta kuwahusu wao akimbilie wapi?

Cc: Moderator, Maxence Melo
 
Back
Top Bottom