Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,077
- 8,828
Ukiona huelewi sakata la bandari linaendaji na hauko kulia wala kushoto ni dhahiri wewe kilaza wa hali ya juu hata jf humu ufutwe hata uanachama unashindwa mtu mpaka sasa kupitia mkataba na vifungu tata vilivyomo kweli hii dunia ina mazuzu na ndio yake fata mkumbo ndiooo na kupiga piga meza kama mabunge yetu.