Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Ni ccm dpwUsijitowe akili wewe ...Sema nafsi yako iwe huru.
Wewe kwa muonekano wa comment yako...ni "muunga mkataba"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ccm dpwUsijitowe akili wewe ...Sema nafsi yako iwe huru.
Wewe kwa muonekano wa comment yako...ni "muunga mkataba"
Wewe yako ndo negative kabisa.Una akili ndogo sana. Pole
HeheheMafisadi wakisikia hivyo wanachanganyikiwa
Neutrality kwenye maovu hakunaga ukiona hivyo wewe ni sehemu ya uporaji huoHata mimi nimeliona kama ulivyoliona wewe !!
Ni kama vile ukikuta watu wanabishana kuhusu Simba na Yanga 😅😅
Ukiwasikiliza utaambulia patupu maana huwezi kujua nani yupo sahihi!
Kila mtu anavutia upande wa timu yake !
Habari hii imfikie huyuKama hizo hela ziliingilia mdomoni basi zitatokea mahali popote palipo wazi!!!" Magufuli.
Waliojigeuza marketing officers wa kampuni la DP world na madalali wote waliokula hizo hela za kuhongwa ujumbe uwafikie.
Kama mlikuwa mnanunua magari na kuyaandika majina yenu mtakiona cha mtema kuni safari hii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani umesikia anatafuta mwanamke wa kuoa?Hivi kanisa haliwezi kumpa kazi huko huko kwenye kusimamia hela za Vatican. Simpendi
Hii sio Simba na Yanga yaani ni Pumba na Mchele.....Hata mimi nimeliona kama ulivyoliona wewe !!
Ni kama vile ukikuta watu wanabishana kuhusu Simba na Yanga 😅😅
Ukiwasikiliza utaambulia patupu maana huwezi kujua nani yupo sahihi!
Kila mtu anavutia upande wa timu yake !
Akihojiwa na DW amesikika Dkt Slaa:
"Alipokamatwa akishtakiwa kwa uhaini alijiandaa kwa kifungo cha maisha na hata kunyongwa.".
View attachment 2727215
Ameendelea Slaa: "kutamka au kuwaondoa wasiowasikiliza wananchi hakuwezi kuwa uhaini",
Kwamba hilo ni kwa mujibu wa Katiba yenyewe.
Tusiogope waungwana kula na mtu sahani moja ni kwa mujibu wa katiba hii hii.
Duh 🙄 hiyo ni kali !!Neutrality kwenye maovu hakunaga ukiona hivyo wewe ni sehemu ya uporaji huo
Huko sisiemu 99% ni matahiraIko kizee inatakiwa kipigwe shaba haraka,gaidi na muhaini huyo
Kitachakazwa soonHuko sisiemu 99% ni matahira
This is very ridiculous statement..!Ila hili sakata la bandari kweli nimekosa cha kusema maana naona kila mtu anakuja na story yake tu. Kweli kabisa nakosa wa kumuelewa.. sio wanaounga mkono wala wapingaji. Maana sina nilichoelewa
Hivi kanisa haliwezi kumpa kazi huko huko kwenye kusimamia hela za Vatican. Simpendi
Kaa kimya kama Dr.Joseph Kusheku,kwani naye aliamua kukaa kimya baada ya kuona mkanganyiko.Acha wanaoweza kuuchambua mkataba,waongee.Ila hili sakata la bandari kweli nimekosa cha kusema maana naona kila mtu anakuja na story yake tu. Kweli kabisa nakosa wa kumuelewa.. sio wanaounga mkono wala wapingaji. Maana sina nilichoelewa
Bahati mbaya sana ni kuwa wao (viongozi) wanaitambua hiyo katiba kwenye sehemu inazowanufaisha wao, sehemu zisizowanufaisha hawaitambui katiba hiyo hiyo.Akihojiwa na DW amesikika Dkt Slaa:
"Alipokamatwa akishtakiwa kwa uhaini alijiandaa kwa kifungo cha maisha na hata kunyongwa.".
View attachment 2727215
Ameendelea Slaa: "kutamka au kuwaondoa wasiowasikiliza wananchi hakuwezi kuwa uhaini",
Kwamba hilo ni kwa mujibu wa Katiba yenyewe.
Tusiogope waungwana kula na mtu sahani moja ni kwa mujibu wa katiba hii hii.
Bahati mbaya sana ni kuwa wao (viongozi) wanaitambua hiyo katiba kwenye sehemu inazowanufaisha wao, sehemu zisizowanufaisha hawaitambui katiba hiyo hiyo.
Kwa mfano: Kesi za maswala kama haya ya kikatiba hata yakipelekwa mahakamani yanatupiliwa mbali, kama ile kesi ya Bandari huko Mbeya.
Kwa hiyo; ukweli uliopo ni kwamba kuna serikali inayoendeshwa na wahalifu, wasioamini katika utawala wa sheria..
Katika hali ya namna hii, kuwaondoa hawa madarakani ni kutumia njia za nguvu ulizo nazo umma wa waTanzania.
🥺🥺🥺🥺🤭🤭🤭🤭 Haa haa haa..!!!