Dkt. Slaa kuwataja walio nyuma ya uuzwaji wa Bandari kama 2007 alivyowataja Mkapa na Kikwete kwenye ‘List of Shame’ Mwembeyanga

Dkt. Slaa kuwataja walio nyuma ya uuzwaji wa Bandari kama 2007 alivyowataja Mkapa na Kikwete kwenye ‘List of Shame’ Mwembeyanga

Kabla ya kuwataja hao anaodai wamehongwa kwenye Bandari...yeye sasa atuambie alihongwa nini mpakabakawa na uwezo wa kwenda kula bata na aliyekuwa Mkewe Bi Josephine Mshumbuzi kule Canada na baadae alifanya miujiza gani ya kiutumishi mpaka kuzawadiwa Ubalozi tena Ulaya. Asipotaja sisi tutamkumbusha
Mkuu, jielekeze kwenye mambo yenye infect kwa nchi, sio kuleta umbeaumbea na mambo binafsi ya mtu.
 
Pumba tupu
Hana moral authority huyo Mzee wenu ya kunyooshea wenzake vidole kama wamehongwa. Kifupi alikuwa anatafuta kiki ya kutokea baada ya kupoteza mvuto.
Sasa atuambie hela za kwenda Canada na Josephine alipata wapi? Na alifanya nini mpaka akapewa Ubalozi. Asipofanya tutaweka wazi kila kitu ndio muone alivyo mnafiki.
 
Kumbe Kikwete alikuwepo kwenye list of shame..!!
 
Tarehe 24/10/2007 Balozi Dr. W.P. Slaa, akiwa viwanja vya Mwembeyanga Temeke alitaja majina 11 akiwemo Rais mstaafu Mkapa na Rais aliyekuwa madarakani Mh Kikwete kuwa ni miongoni mwa Mafisadi wa nchi.

Akiongea na waandishi wa habari kwenye hotel ya Regency 13 June, Slaa alisema,

“Waliohudhuria maonesho ya Dubai Expo 2022 ni viongozi wa Serikali, wamesafiri, wamelala hoteli, wamekula chakula kwa kodi ya watanzania.”

“Naomba pia kuwakumbusha kuwa Serikali ya Tanzania iliwakilishwa na Rais mwenyewe na kulisainiwa mikataba 17.”

Tutarajie makubwa tena kwenye mkutano wake unaotarajiwa kufanyika Jumapili ya tarehe 23/7 mwaka huu. Je atawataja wahusika wote walio nyuma ya uuzwaji wa Bandari zetu? Na je, majina ya baadhi ya walio kwenye Listi of Shame kama kina Rostam Azizi yatajirudia? Tutege masikio.

Mwembeyanga List of Shame.

1. Dr. Daudi T.S. Balali X
2. Gray Mgonja
3. Basil P. Mramba X
4. Patrick W.R. Rutabanzibwa
5. Nimrod E. Mkono X
6. Benjamin W. Mkapa X
7. Andrew J. Chenge
8. Edward N. Lowassa
9. Rostam Aziz
10.Nazir Karamagi
11. Jakaya Mrisho Kikwete.

Dr Slaa 😎🤔
 
Kabla ya kuwataja hao anaodai wamehongwa kwenye Bandari...yeye sasa atuambie alihongwa nini mpakabakawa na uwezo wa kwenda kula bata na aliyekuwa Mkewe Bi Josephine Mshumbuzi kule Canada na baadae alifanya miujiza gani ya kiutumishi mpaka kuzawadiwa Ubalozi tena Ulaya. Asipotaja sisi tutamkumbusha
Hiyo zilipendwa we bwege Acha watu wapiganie nchi Yao Kwa faida ya wajukuu wako
 
Picha yake clip yake akiwa anatembea kitaa au na wewe umepigwa na taarifa za uongo?
Uthbitisho wa issue kama ya Balali ni beyond hizo clips unazozitaka ndio maana ninakuambia sio mimi tu na wengine wengi tuliojua igizo hilo na hata watekelezaji wake kamwe hawatokuwekea hizo clips it is done and dusted kwanini iko hivyo sababu uwepo au kupatikana mtu huyu ingehatarisha au kuhatarisha maslahi ya wengi ambao hawakufanya kwa nia njema na kwa maslahi mapana ya taifa.

Kwahiyo mkuu kwa ufupi ndio hivyo na kumbuka popote uwapo duniani marekani iko concerned sana na raia wake popote alipo kwa anachokifanya ili mradi tu iwe kwa maslahi yake. END
 
Kabla ya kuwataja hao anaodai wamehongwa kwenye Bandari...yeye sasa atuambie alihongwa nini mpakabakawa na uwezo wa kwenda kula bata na aliyekuwa Mkewe Bi Josephine Mshumbuzi kule Canada na baadae alifanya miujiza gani ya kiutumishi mpaka kuzawadiwa Ubalozi tena Ulaya. Asipotaja sisi tutamkumbusha
Sawa atatuambia. Kalale sasa mama
 
Dr Slaa ni heavyweight kwenye siasa za Bongo. Ni muda sahihi wa CHADEMA kumpigia magoti Dr Slaa na hawara wake Josephine Mushumbusi ili warudi kundini.
 
Hana moral authority huyo Mzee wenu ya kunyooshea wenzake vidole kama wamehongwa. Kifupi alikuwa anatafuta kiki ya kutokea baada ya kupoteza mvuto.
Sasa atuambie hela za kwenda Canada na Josephine alipata wapi? Na alifanya nini mpaka akapewa Ubalozi. Asipofanya tutaweka wazi kila kitu ndio muone alivyo mnafiki.
Tuambieni kwanza hela za kwenda kupigia misele Dubai na wasanii kibao mlipata wapi.
Msipo fanya hivyo tutaweka wazi
 
Tarehe 24/10/2007 Balozi Dr. W.P. Slaa, akiwa viwanja vya Mwembeyanga Temeke alitaja majina 11 akiwemo Rais mstaafu Mkapa na Rais aliyekuwa madarakani Mh Kikwete kuwa ni miongoni mwa Mafisadi wa nchi.

Akiongea na waandishi wa habari kwenye hotel ya Regency 13 June, Slaa alisema,

“Waliohudhuria maonesho ya Dubai Expo 2022 ni viongozi wa Serikali, wamesafiri, wamelala hoteli, wamekula chakula kwa kodi ya watanzania.”

“Naomba pia kuwakumbusha kuwa Serikali ya Tanzania iliwakilishwa na Rais mwenyewe na kulisainiwa mikataba 17.”

Tutarajie makubwa tena kwenye mkutano wake unaotarajiwa kufanyika Jumapili ya tarehe 23/7 mwaka huu. Je atawataja wahusika wote walio nyuma ya uuzwaji wa Bandari zetu? Na je, majina ya baadhi ya walio kwenye Listi of Shame kama kina Rostam Azizi yatajirudia? Tutege masikio.

Mwembeyanga List of Shame.

1. Dr. Daudi T.S. Balali X
2. Gray Mgonja
3. Basil P. Mramba X
4. Patrick W.R. Rutabanzibwa
5. Nimrod E. Mkono X
6. Benjamin W. Mkapa X
7. Andrew J. Chenge
8. Edward N. Lowassa
9. Rostam Aziz
10.Nazir Karamagi
11. Jakaya Mrisho Kikwete.
Hivi baada Dk. Slaa kuwataja hao kwenye List of Shame ikawaje? Maana ninachokumbuka kwamba baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2015 aloenda kufanya nao kazi eti akiwa kama Balozi! Ahahahahaha!!!
 
Hivi baada Dk. Slaa kuwataja hao kwenye List of Shame ikawaje? Maana ninachokumbuka kwamba baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2015 aloenda kufanya nao kazi eti akiwa kama Balozi! Ahahahahaha!!!
Hujui kilichowakuta Lowasa, Chenge na Rostam kwenye operation vua gamba.
 
Tarehe 24/10/2007 Balozi Dr. W.P. Slaa, akiwa viwanja vya Mwembeyanga Temeke alitaja majina 11 akiwemo Rais mstaafu Mkapa na Rais aliyekuwa madarakani Mh Kikwete kuwa ni miongoni mwa Mafisadi wa nchi.

Akiongea na waandishi wa habari kwenye hotel ya Regency 13 June, Slaa alisema,

“Waliohudhuria maonesho ya Dubai Expo 2022 ni viongozi wa Serikali, wamesafiri, wamelala hoteli, wamekula chakula kwa kodi ya watanzania.”

“Naomba pia kuwakumbusha kuwa Serikali ya Tanzania iliwakilishwa na Rais mwenyewe na kulisainiwa mikataba 17.”

Tutarajie makubwa tena kwenye mkutano wake unaotarajiwa kufanyika Jumapili ya tarehe 23/7 mwaka huu. Je atawataja wahusika wote walio nyuma ya uuzwaji wa Bandari zetu? Na je, majina ya baadhi ya walio kwenye Listi of Shame kama kina Rostam Azizi yatajirudia? Tutege masikio.

Mwembeyanga List of Shame.

1. Dr. Daudi T.S. Balali X
2. Gray Mgonja
3. Basil P. Mramba X
4. Patrick W.R. Rutabanzibwa
5. Nimrod E. Mkono X
6. Benjamin W. Mkapa X
7. Andrew J. Chenge
8. Edward N. Lowassa
9. Rostam Aziz
10.Nazir Karamagi
11. Jakaya Mrisho Kikwete.
Kwenye hii list mtu ambaye siamini hadi kesho ni fisadi ni Rutabanzibwa.
 
Back
Top Bottom