ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mshaurini huyu Dr.Mihogo,uzee unakompeleka ni kubaya,sijui Kwa umri wake kama ana jipya..Baada ya RC Chalamila kumtisha Dr Slaa kwa "kutoa maoni ya kupotosha" kuhusu bandari, Dr Slaa nae arudisha mawe...
Dr Slaa kasema hajui hata jina la RC wa Dar lakini ni mjinga fulani, hapaswi kuogopwa wala kututoa kwenye reli ya kupinga mkataba wa kuuzwa Bandari
Chalamila, haya mfate Slaa na ma defender ya RPC, kasema yuko nyumbani kwake ka chill hakuogopi, wewe mi mjinga fulani... au kula matapishi ya biti zako ulizochimba...
Si public figure, na mbona mpaka picha zake za kuumizwa mkono zilikuwepo, akavunga kadondoka bafu.Una.fuatilia hadi faragha zake Mzee mwenzio?
Hayo ya Dr Slaa na Mungu wake hayatuhusu, sisi tunapinga mkataba, na wala Slaa hahitaji uangalizi wa chochote, huwezi kum tarnish.Huyuu mzeee baaada ya kuacha KAZI ya mungu, Kwa Sasa anahitaji uangalizi wa Hali ya juuuu
Wakisimama mtu mbili ulingoni RC anavhapwa ko hamna Nguvu mle ni Mkangafu mtupu😄😄Mshaurini huyu Dr.Mihogo,uzee unakompeleka ni kubaya,sijui Kwa umri wake kama ana jipya..
Eti hamuogopi hivi hata Kwa ngumi za live huyo si atakaushwa fasta? Afanye kazi wanazofanya mwenzie kina Mzee Mpili.
utagongwa wewe safari hiiHuyu mzee sasa anachanganyikiwa au anatafuta kiki kwa nguvu.
Hivi yule demu wake aliyemgonga Mwanza mpaka akamvinja mkono bado anae, mashumbusi sijuwi, sikumbuki vizuri jina lake.
We issue za watu zinafata nni hapa kamuulize si ameshakuambia yuko maskn yake ametuliaHuyu mzee sasa anachanganyikiwa au anatafuta kiki kwa nguvu.
Hivi yule demu wake aliyemgonga Mwanza mpaka akamvinja mkono bado anae, mashumbusi sijuwi, sikumbuki vizuri jina lake.
Wazee wana wivu sana ujueUna.fuatilia hadi faragha zake Mzee mwenzio?
🤣🤣🤣🤣🤣 Kazi imeanza!!Baada ya RC Chalamila kumtisha Dkt. Slaa kwa "kutoa maoni ya kupotosha" kuhusu bandari, Dkt. Slaa nae arudisha mawe...
Dkt. Slaa kasema hajui hata jina la RC wa Dar lakini ni mjinga fulani, hapaswi kuogopwa wala kututoa kwenye reli ya kupinga mkataba wa kuuzwa Bandari
Chalamila, haya mfate Slaa na ma defender ya RPC, kasema yuko nyumbani kwake ka chill hakuogopi, wewe mi mjinga fulani... au kula matapishi ya biti zako ulizochimba...
Huyu mzee anazeeka vibaya kwa kuanza kutukana viongozi wa kiserikali.Baada ya RC Chalamila kumtisha Dkt. Slaa kwa "kutoa maoni ya kupotosha" kuhusu bandari, Dkt. Slaa nae arudisha mawe...
Dkt. Slaa kasema hajui hata jina la RC wa Dar lakini ni mjinga fulani, hapaswi kuogopwa wala kututoa kwenye reli ya kupinga mkataba wa kuuzwa Bandari
Chalamila, haya mfate Slaa na ma defender ya RPC, kasema yuko nyumbani kwake ka chill hakuogopi, wewe mi mjinga fulani... au kula matapishi ya biti zako ulizochimba...
Kuna tips kuhusu mkataba alizotoa ambazo zinachangamoto including article no 23! Ni vzr ujikite humo, achana na mamb ya dem wake hata ww anaweza kukutafuna kinyama!!Hivi yule demu wake aliyemgonga Mwanza mpaka akamvinja mkono bado anae, mashumbusi sijuwi, sikumbuki vizuri jina lake.
Tuambie tusi ni lipi hapo au we ndo umezeeka vibaya?Huyu mzee anazeeka vibaya kwa kuanza kutukana viongozi wa kiserikali.
Namuomba RC Albert ampuuze huyu mkimbia upadre kwa maslahi binafsi.
Kumwita kiongozi mkuu wa mkoa aliyeaminiwa na mhe. Rais baada ya kufanyiwa vetting ya kutosha ni tusi kubwa sana. Slaa analazimika kumwomba radhi RC Chalamila.Tuambie tusi ni lipi hapo au we ndo umezeeka vibaya?
Acha ujingaHuyu mzee anazeeka vibaya kwa kuanza kutukana viongozi wa kiserikali.
Namuomba RC Albert ampuuze huyu mkimbia upadre kwa maslahi binafsi.
Taja tusi acha kuorodhesha vyeo hapaKumwita kiongozi mkuu wa mkoa aliyeaminiwa na mhe. Rais baada ya kufanyiwa vetting ya kutosha ni tusi kubwa sana. Slaa analazimika kumwomba radhi RC Chalamila.
Yule ndiye alienda nae Israel mwaka alioweka post namba 1.Unayetafuta kiki ni wewe, au yule mjinga mwenzako aliyemtisha Dr. Slaa.
Demu wa Dr. Slaa wa nini? au unataka ile nafasi? kumbe bibi bado una nguvu!.