King Nkondo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2023
- 1,399
- 2,110
Hawa wapumbavu wanahangaika Sana, serikali haiwezi kutishiwa nyau na vibaraka wa majizi ya bandari zetu, DP world lazima waje kuchapa kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawasikiliza sasa hivi, sijaiona hoja yoyote ya maana ambayo haijajibiwa kwa vitendo na serikali.Hawa watu wana HOJA, wasikilizwe
Hivi ndio mnavyojibu hoja?🤔Mzee meno ya kubandika yatamndondoka anvyofoka foka kijinga.
Mdude hapana haweziTatizo akihongwa anaitosa movement, kama alivyoiitosa UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI (UKAWA)
Sasa si muwafungeNaona kuna mapambio tu ya kidini.
Mdudu anasema wakifungwa wao maaskofu wataendeleza maandamano, anafikiri maasakofu hawafungiki?
Namuongela Dokta Chipsi dume.Mdude hapana hawezi
OkNamuongela Dokta Chipsi dume.
Lakini si wapo vigeugeu wengineo wengi tu akiwemo mwenyekiti wa CCM na mwenyekiti wa CDM pia.Huyu kigeu geu mpaka shetani anajifunza kitu kutoka kwake
Sa100 tunamuweka sisi mjini bila hela zetu ni maskini wa kutupwaEtiu "maandamano yatashirikisha dini zote".
Wewe mdudu na hao wanaokuweka mjini, hamna cha kutueleza.
Huyu poyoyo haelewe hata namna ya kuongea, kweli sikio la kufa halisikii dawa.
Ardhi ya amani au ardhi ya majoga?Ivi vikosi maalum kwann hawa mbwa koko amuwapigi risasi ,wanaleta taaruki kwenye ardhi ya amani