Dkt. Slaa: Nchi yetu inaongozwa kishamba, pamoja na IGA sasa tutadai pia Katiba Mpya ya wananchi

Dkt. Slaa: Nchi yetu inaongozwa kishamba, pamoja na IGA sasa tutadai pia Katiba Mpya ya wananchi

Hawa wapumbavu wanahangaika Sana, serikali haiwezi kutishiwa nyau na vibaraka wa majizi ya bandari zetu, DP world lazima waje kuchapa kazi
 
Hawa watu wana HOJA, wasikilizwe
Nawasikiliza sasa hivi, sijaiona hoja yoyote ya maana ambayo haijajibiwa kwa vitendo na serikali.

Mzee meno ya kubandika yatamndondoka anvyofoka foka kijinga.
 
Naona kuna mapambio tu ya kidini.

Mdudu anasema wakifungwa wao maaskofu wataendeleza maandamano, anafikiri maasakofu hawafungiki?
 
Huyu kigeu geu mpaka shetani anajifunza kitu kutoka kwake
Lakini si wapo vigeugeu wengineo wengi tu akiwemo mwenyekiti wa CCM na mwenyekiti wa CDM pia.

Ikiwa kuna vigeugeu wengi si haki kumhukumu father Slaa eti ni kigeugeu.
 
Etiu "maandamano yatashirikisha dini zote".

Wewe mdudu na hao wanaokuweka mjini, hamna cha kutueleza.

Huyu poyoyo haelewe hata namna ya kuongea, kweli sikio la kufa halisikii dawa.
Sa100 tunamuweka sisi mjini bila hela zetu ni maskini wa kutupwa
 
CCM wameshashindwa kuongoza.

Sasa wanatumia bunduki kuongoza nchi
 
Back
Top Bottom