Dkt. Slaa: Niliudhika kwa maneno ‘Mbowe si gaidi’, nyie ni nani mpaka kusema siyo gaidi? Ataka wananchi wanyamaze Mahakama ifanye kazi yake

Ila mzee Slaa amekuja haribu sana huku mbele mbele ... yaani kwa ufupi mzee amezeeka vibaya sana, ee Mungu nisaidie nimalize mwendo salama
Mjadala wetu mzuri wa kujadili vipengele vya mkataba wa Bandari sasa umekuwa mjadala wa kutafuta Mabush lawyers kwenda kumchomoa Mzee.
 
Nne ni Kampuni hiyo kuahidi ujenzi wa msikiti mkubwa mbeya kabla ya KAZI kuanza!!

Bado tu hujasikia harufu ya RUSHWA? Au hujui RUSHWA ni upendeleo, kupata usichostahili, kutokula Kwa JASHO?

Niendelee?!!
Mkuu acha udini kabisa kwani mojawapo ya madharti wanayopewa Ni kusaidia Jamii je kujenga misikiti,kuchimba visima,shule, hospital Ni dhambi? Mbona haya Mambo yapo tangu na tangu hao wamechimba Sana visima vya maji katika Taasisi za Elimu maeneo tofauti tofauti Tanzania sikuwahi kusikia malalamiko,Slaa arejee hii kauli yake kwa Mbowe.
 
Na mimi sitaki kusikia kuwa Slaa siyo mhaini wacha Mahakama ifanye kazi yake
 
Huyo Jamaa na hoja zake za udini ana chuki tu na Bibie Tausi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…