Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,010
- 4,083
Ngoja tukukamate utatusikia tuPolisi ni mijitu sitaki hata kuisikia.
Makavel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tukukamate utatusikia tuPolisi ni mijitu sitaki hata kuisikia.
Hii Nchi ni ya Amani,Upumbavu huo nyie ndio wale vibaka mnatumia maandamano kupora mali za watu
Pole sana Katiba kama unaijua vyema usingepayuka hovyo
Umkamate Kwa kosa lipi?Ngoja tukukamate utatusikia tu
Makavel
Mtulie tulii nchi inajengwa hiiHii Nchi ni ya Amani,
Police waache kubeba silaha za kivita.
Maandamano ni ya Amani.
Mungu ni MMOJA tu.Manabii wa Mungu yupi? Allah au Jehovah?
Kamata waduwanzi wenzio huko, mna roho mbovu mnoo nyie nyama, pesa mmeweka mbele kuliko utu, mnaweza kuwa washikaji lakini likimfika jambo hata msaada hauumpi sana sana akija kwako unamkimbia😡😠Ngoja tukukamate utatusikia tu
Makavel
Fresh tuKamata waduwanzi wenzio huko, mna roho mbovu mnoo nyie nyama, pesa mmeweka mbele kuliko utu, mnaweza kuwa washikaji lakini likimfika jambo hata msaada hauumpi sana sana akija kwako unamkimbia😡😠
Sio mimi kwa asilimia kubwa jamii haiwapendi.
Ujenzi wa zaidi ya miaka 60 haituhusu.Mtulie tulii nchi inajengwa hii
Serikali inawapenda watu wa Mbeya machafuko sio pahala pale
Askari atuwezi kubali hilo
Hasa baada ya Bashite kurudi kwenye kikosi kazi chake.Nchi sasa itarudi kama enzi za kutekanaTuna polisi wa hovyo sn
We mbona unatumia id feki!?Fresh tu
Makavel kwanini unatumia ID Feki?
Jitambulishe tukufahamu ndg mtanzania makini
Askari ni kazi nzuri sana na yenye manufaa mengi hapa duniani inategemea tu na aina ya mtu unakutana nae
Kwani hakuna wafanyabiashara wenzio Wana roho mbaya na hawanaga msaada ukiwa na shida??
PT NDIO INAKUFANYA UNAAMKA KWAKO KWA AMANI NDG
Pimbi huyo achana nae, akamtishe mkewe nyumbaniUmkamate Kwa kosa lipi?
Au una bangi mfukoni unataka umsingizie?
Police ni kaka na dada zetu.Fresh tu
Makavel kwanini unatumia ID Feki?
Jitambulishe tukufahamu ndg mtanzania makini
Askari ni kazi nzuri sana na yenye manufaa mengi hapa duniani inategemea tu na aina ya mtu unakutana nae
Kwani hakuna wafanyabiashara wenzio Wana roho mbaya na hawanaga msaada ukiwa na shida??
PT NDIO INAKUFANYA UNAAMKA KWAKO KWA AMANI NDG
we ni zaidi ya zuzuHujui kuwa Mwabukusi, Madeleka, Mdude,Lissu, Lema na wanaodai HAKI kutetea wananchi wasio na sauti ni manabii?
andamana basi km unajua ni haki yakoMaandamano ni HAKI ya kikatiba, haipo haja ya kupingana na yeyote.
Msitengeneze HOFU zisizo na msingi wowote.
sijawahi kuona jinga km wewe, askari anaenda kumkamata mwizi bado unamtukana? Kwanza umeandika uwongo ili ujifurahishe we zuzu. Jeshi letu lina vitendea kazi siyo hilo pikipiki lako la kimaskini. Bwege kweli, utakuwa unashirikiana na wezi.Polisi ni mijitu sitaki hata kuisikia.
Juzi kati natoka maeneo fulani, na pikipiki napigwa mkono na mshikaji, nikasimama, akaniuliza unaelekea wapi nikamjibu akasema nae anaenda maeneo hayo nimsogeze, nilivyomcheki nikaona fresh wacha nimsaidie dizaini ni kama mwanachuo aliyemaliza miaka kadhaa mtaani life limempiga.
Nikamruhusu akalie chombo, njiani sikutaka maswali mengi, nikafika sehemu ninapoishia mimi, ye anaendelea na safari, kushuka anaanza kuleta stori, mwisho nikajua ni askari akanionesha na pingu kuna mwizi gani sijui anaenda kumkamata, nikajisikia vibaya sana kwanini nilimpa lifti kenge yule., nikatamani hata nimdai nauli, nikaona sio fresh.
Akaomba tubadilishane namba za simu nikamchomolea.
We kenge uliyepandia maeneo ya mikwambe pale, ukaja shukia mjimwema una bahati hukujitaja mapema nisingekupa lifti.
Tayari kutekana kumeanzaHasa baada ya Bashite kurudi kwenye kikosi kazi chake.Nchi sasa itarudi kama enzi za kutekana
Maandamano tulitamiss sana.andamana basi km unajua ni haki yako
Galagabahaosijawahi kuona jinga km wewe, askari anaenda kumkamata mwizi bado unamtukana? Kwanza umeandika uwongo ili ujifurahishe we zuzu. Jeshi letu lina vitendea kazi siyo hilo pikipiki lako la kimaskini. Bwege kweli, utakuwa unashirikiana na wezi.