- Thread starter
- #41
Wewe ndo una shida.we ni zaidi ya zuzu
Iweje uumie kusikia wengine wanaandamana maandamano ya Amani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndo una shida.we ni zaidi ya zuzu
Wale ni F4 failure, hapo walipo kwanza ni pakubwa mnoPolisi wenyewe wanaishi maisha magumu hatari lkn kuchat kutwa wako na virungu kukandamiza wapigania haki.
Polisi wana vipele mwili mzima kwa kulalia magodoro yaliyochqkaa. Watoto wao wanasoma kayumba.
Na wanaishi kwa mikopo ya kausha damu. Nyqmbafu!!
Hao mnawaonea tu, wewe ungepinga amri ya mkuu wako?Polisi wenyewe wanaishi maisha magumu hatari lkn kuchat kutwa wako na virungu kukandamiza wapigania haki.
Polisi wana vipele mwili mzima kwa kulalia magodoro yaliyochqkaa. Watoto wao wanasoma kayumba.
Na wanaishi kwa mikopo ya kausha damu. Nyqmbafu!!
Ua mmoja basi roho yako isuuzikeKamata waduwanzi wenzio huko, mna roho mbovu mnoo nyie nyama, pesa mmeweka mbele kuliko utu, mnaweza kuwa washikaji lakini likimfika jambo hata msaada hauumpi sana sana akija kwako unamkimbia[emoji35][emoji34]
Sio mimi kwa asilimia kubwa jamii haiwapendi.
Police wameonyesha ujasiri usio na kifani,andamana basi km unajua ni haki yako
Maandamano ni ya Amani,Ua mmoja basi roho yako isuuzike
Hatuna ugomvi na kaka zetu na dada zetu police.Hao mnawaonea tu, wewe ungepinga amri ya mkuu wako?
Kukomesha hayo badilisheni katiba
Kuua ni kosa, siwezi fanya hilo kosa, ila mjue au wajue wengi wao ni waduwanzi na hatuwapendi,Ua mmoja basi roho yako isuuzike
Tusikubali kuuziwa HOFU na WOGA.Tayari kutekana kumeanza
Utakua ni miongoni mwa wachaga maskini uko kwenuMabwege wenzake wako huku Jamii forum wanasema maandamano huku yamelala majumbani
Pigaaa haoo wahuni.
Salaam , Shalom!
Dr. Slaa amesema kuwa amefanikiwa kupata picha ya Police kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi.
Ikumbukwe pia, usiku wa kuamkia leo, Police walivamia Nyumba ya Askofu Mwamakula wakimtafuta bila mafanikio.
Nia ya kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi haijajulikana hadi sasa ikiwa ni kuunga mkono na kushiriki pia maandamano au ni kuyazuia.
Hatimaye harakati za kweli za upinzani zimeanza kuonekana.
Mungu awabariki, sababu HAKI haijawahi kuletwa Bure kwenye sahani, Bali HAKI hupatikana kwa Mapambano ya kuidai.
Source: Za Ndani media Tv, Bongo 24 tv.
Nawasilisha.
Tuna polisi wa hovyo sn
kwakweli Jeshi la Polisi wamefanya kazi kubwa na nzuri kwelikweli kuwathibiti majambazi, wezi, wapaoranji kuvuruga amani na shughuli za wananachi.Salaam , Shalom!
Dr. Slaa amesema kuwa amefanikiwa kupata picha ya Police kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi.
Ikumbukwe pia, usiku wa kuamkia leo, Police walivamia Nyumba ya Askofu Mwamakula wakimtafuta bila mafanikio.
Nia ya kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi haijajulikana hadi sasa ikiwa ni kuunga mkono na kushiriki pia maandamano au ni kuyazuia.
Hatimaye harakati za kweli za upinzani zimeanza kuonekana.
Mungu awabariki, sababu HAKI haijawahi kuletwa Bure kwenye sahani, Bali HAKI hupatikana kwa Mapambano ya kuidai.
Source: Za Ndani media Tv, Bongo 24 tv.
Nawasilisha.
Polisi ndiyo wenye nia ovu!
Wewe ni mrundi Hadi ushindwe kujua nini kinaendelea?Mbona hao akina Mdudu na Mwabakusi walijidai kuwa leo ni siku ya maandamano, sasa yapo wapi?
Tuungane kwakweli kuwapongeza Police kuitikia wito wa maandamano tangu Jana usiku.kwakweli Jeshi la Polisi wamefanya kazi kubwa na nzuri kwelikweli kuwathibiti majambazi, wezi, wapaoranji kuvuruga amani na shughuli za wananachi.
Pongezi kubwa sana kwa Jeshi letu tukufu kwa weledi mkubwa kudhibiti waanadamanaji hawa haramu....
wakabiliwe vizuri sana right, left and center hadi akili ziwakae sawa... ili kusudi waendelee kuskilizia kinachoendelea kama Dr slaa anavyoskilizia akiwa amejificha uvunguni mwa kitanda... 😀 tsaaahtshaaasaaashhhhh
Kuna kifungu kwenye katiba kinachokataza maandamano??Upumbavu huo nyie ndio wale vibaka mnatumia maandamano kupora mali za watu
Pole sana Katiba kama unaijua vyema usingepayuka hovyo
Kibali mnacho?Kuna kifungu kwenye katiba kinachokataza maandamano??