Dkt. Slaa: Polisi wamezingira nyumba ya Mwabukusi na Mdude

Dkt. Slaa: Polisi wamezingira nyumba ya Mwabukusi na Mdude

Polisi wenyewe wanaishi maisha magumu hatari lkn kuchat kutwa wako na virungu kukandamiza wapigania haki.

Polisi wana vipele mwili mzima kwa kulalia magodoro yaliyochqkaa. Watoto wao wanasoma kayumba.

Na wanaishi kwa mikopo ya kausha damu. Nyqmbafu!!
Hao mnawaonea tu, wewe ungepinga amri ya mkuu wako?

Kukomesha hayo badilisheni katiba
 
Kamata waduwanzi wenzio huko, mna roho mbovu mnoo nyie nyama, pesa mmeweka mbele kuliko utu, mnaweza kuwa washikaji lakini likimfika jambo hata msaada hauumpi sana sana akija kwako unamkimbia[emoji35][emoji34]
Sio mimi kwa asilimia kubwa jamii haiwapendi.
Ua mmoja basi roho yako isuuzike
 
Hao mnawaonea tu, wewe ungepinga amri ya mkuu wako?

Kukomesha hayo badilisheni katiba
Hatuna ugomvi na kaka zetu na dada zetu police.

Maandamano ya kudai tume HURU na Katiba mpya yatawazaidia pia wao Ili ajira zao zilindwe.

Police anaweza kufukuzwa KAZI na mkuu wake wa kituo na asikate Rufaa popote.
 
Siku ingine polisi asipewe silaha za kivita wakati hakuna kitisho Cha USALAMA.

Nimeiona picha police kabeba silaha nzito kana kwamba tuko vitani!!!!

Serikali ya CCM acheni uoga,

Maandamano Si MAPINDUZI!!
 
Salaam , Shalom!

Dr. Slaa amesema kuwa amefanikiwa kupata picha ya Police kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi.

Ikumbukwe pia, usiku wa kuamkia leo, Police walivamia Nyumba ya Askofu Mwamakula wakimtafuta bila mafanikio.

Nia ya kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi haijajulikana hadi sasa ikiwa ni kuunga mkono na kushiriki pia maandamano au ni kuyazuia.


Hatimaye harakati za kweli za upinzani zimeanza kuonekana.

Mungu awabariki, sababu HAKI haijawahi kuletwa Bure kwenye sahani, Bali HAKI hupatikana kwa Mapambano ya kuidai.

Source: Za Ndani media Tv, Bongo 24 tv.

Nawasilisha.

Mbona hao akina Mdudu na Mwabakusi walijidai kuwa leo ni siku ya maandamano, sasa yapo wapi?
 
Salaam , Shalom!

Dr. Slaa amesema kuwa amefanikiwa kupata picha ya Police kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi.

Ikumbukwe pia, usiku wa kuamkia leo, Police walivamia Nyumba ya Askofu Mwamakula wakimtafuta bila mafanikio.

Nia ya kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi haijajulikana hadi sasa ikiwa ni kuunga mkono na kushiriki pia maandamano au ni kuyazuia.


Hatimaye harakati za kweli za upinzani zimeanza kuonekana.

Mungu awabariki, sababu HAKI haijawahi kuletwa Bure kwenye sahani, Bali HAKI hupatikana kwa Mapambano ya kuidai.

Source: Za Ndani media Tv, Bongo 24 tv.

Nawasilisha.
kwakweli Jeshi la Polisi wamefanya kazi kubwa na nzuri kwelikweli kuwathibiti majambazi, wezi, wapaoranji kuvuruga amani na shughuli za wananachi.

Pongezi kubwa sana kwa Jeshi letu tukufu kwa weledi mkubwa kudhibiti waanadamanaji hawa haramu....
wakabiliwe vizuri sana right, left and center hadi akili ziwakae sawa... ili kusudi waendelee kuskilizia kinachoendelea kama Dr slaa anavyoskilizia akiwa amejificha uvunguni mwa kitanda... 😀 tsaaahtshaaasaaashhhhh
 
Mbona hao akina Mdudu na Mwabakusi walijidai kuwa leo ni siku ya maandamano, sasa yapo wapi?
Wewe ni mrundi Hadi ushindwe kujua nini kinaendelea?

Maandamano yanaendelea, na police wameitikia wito wa maandamano tangu Jana usiku.
 
kwakweli Jeshi la Polisi wamefanya kazi kubwa na nzuri kwelikweli kuwathibiti majambazi, wezi, wapaoranji kuvuruga amani na shughuli za wananachi.

Pongezi kubwa sana kwa Jeshi letu tukufu kwa weledi mkubwa kudhibiti waanadamanaji hawa haramu....
wakabiliwe vizuri sana right, left and center hadi akili ziwakae sawa... ili kusudi waendelee kuskilizia kinachoendelea kama Dr slaa anavyoskilizia akiwa amejificha uvunguni mwa kitanda... 😀 tsaaahtshaaasaaashhhhh
Tuungane kwakweli kuwapongeza Police kuitikia wito wa maandamano tangu Jana usiku.

Ajira za police hazina security, RPC anaweza kumtimua police na asikate Rufaa kokote.

Ndani ya Katiba mpya ajira zao zitalindwa hivyo police wapongezwe Kwa kuitikia na kushiriki maandamano.

Message sent, Dunia inajua nini kumejiri Mbeya.

Aluta continua.
 
Back
Top Bottom