Dkt. Slaa: Polisi wamezingira nyumba ya Mwabukusi na Mdude

Dkt. Slaa: Polisi wamezingira nyumba ya Mwabukusi na Mdude

Salaam , Shalom!

Dr. Slaa amesema kuwa amefanikiwa kupata picha ya Police kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi.

Ikumbukwe pia, usiku wa kuamkia leo, Police walivamia Nyumba ya Askofu Mwamakula wakimtafuta bila mafanikio.

Nia ya kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi haijajulikana hadi sasa ikiwa ni kuunga mkono na kushiriki pia maandamano au ni kuyazuia.


Hatimaye harakati za kweli za upinzani zimeanza kuonekana.

Mungu awabariki, sababu HAKI haijawahi kuletwa Bure kwenye sahani, Bali HAKI hupatikana kwa Mapambano ya kuidai.

Source: Za Ndani media Tv, Bongo 24 tv.

Nawasilisha.
Hivi hawa poliCCM ni lini wataacha kuzuia fikra pevu kwa maelekezo ya mashetani wanaofisidi nchi kila kukicha?
 
Hivi hawa poliCCM ni lini wataacha kuzuia fikra pevu kwa maelekezo ya mashetani wanaofisidi nchi kila kukicha?
Tunatakiwa tuwaonyeshe kuwa tunajitambua, na tunazijua HAKI zetu kikatiba.

Leo kagera wameandamana kumpokea kiongozi wa CCM, iweje maandamano ya Amani ya iwe haramu?
 
Asante sana mkuu 'Rabbon', kwa kunikumbuka katika haya mapambano yetu.

Kuhusu "kuanza kuelewa" kwangu, nipe muda nitafakari vizuri haya yanayotokea sasa. Nadhani ni muhimu sana kwetu kuyaelewa vizuri kabla ya kuyajengea hoja humu.

Lakini kwa sasa, inatosha tu kwangu kutoa shukrani nyingi kwa juhudi wanazofanya hawa wazalendo wa nchi yetu.

Natumaini huu utakuwa mwanzo mzuri wa kuendelea mbele na juhudi zaidi.
Ni hatua nzuri Kwa sasa,

Baada ya TATHMINI kufanyika, naamini mikakati itakuwa Bora zaidi hatua zijazo.
 
Bwege wewe unadhani kifo ni kipigo?

Mama zako na Baba zako wapo hai wewe juha!.?

Nani alikudanganya kufa kwa mtu ni adhabu😆
You are idiot like your mother. Kama kifo siyo pigo nenda kachomeke hand grenade kwenye hayo marinda yaliyotatuliwa kwa uchawa halafu ufurahie. Pumbavu kama huyo unayemfanyia uchawa.
 
You are idiot like your mother. Kama kifo siyo pigo nenda kachomeke hand grenade kwenye hayo marinda yaliyotatuliwa kwa uchawa halafu ufurahie. Pumbavu kama huyo unayemfanyia uchawa.

You are idiot like your mother. Kama kifo siyo pigo nenda kachomeke hand grenade kwenye hayo marinda yaliyotatuliwa kwa uchawa halafu ufurahie. Pumbavu kama huyo unayemfanyia uchawa.
Shoga mzoefu huna bahati ndg

Wamekutatua marinda akina Mr 2 unadhani ndio Kila mtu yupo kama wewe?

Umelala sebulen kwa shemj yako mnatumika na dada yako bila aibu

Maqu wewe
 
Heri ya yeye aliye chini ya uvungu, kuliko wewe uliye chini ya rundo la kinyesi cha hao unaowashangila hapa.
😅mkono wako mwepesi kuyaporomosha, 🐒

naaam wew umeiva vuzuri una kila sifa kuwa front line shujaaaaaa

🐒tsaatsaaatsaaaaatsssaaaahh
 
Shoga mzoefu huna bahati ndg

Wamekutatua marinda akina Mr 2 unadhani ndio Kila mtu yupo kama wewe?

Umelala sebulen kwa shemj yako mnatumika na dada yako bila aibu

Maqu wewe
Nenda kwa huyo bwana yako Bashite anayesubiri kifo akakutulize.
 
Nenda kwa huyo bwana yako Bashite anayesubiri kifo akakutulize.
Ushazoea kuliwa unadhani Kila mtu kama wewe

Qumamak

Alafu nyie mashoga Chadema chama chenu wafadhili wenu si ndio michicha mimba

Na wewe jiteke basi na ukaolewe kama wenzio

Hivi unadhani ungekua kidume sio shoga si ungeweka ID orgnal hapa?

Unajificha qumamko
 
Ushazoea kuliwa unadhani Kila mtu kama wewe

Qumamak

Alafu nyie mashoga Chadema chama chenu wafadhili wenu si ndio michicha mimba

Na wewe jiteke basi na ukaolewe kama wenzio

Hivi unadhani ungekua kidume sio shoga si ungeweka ID orgnal hapa?

Unajificha qumamko
Ushazoea kuliwa unadhani Kila mtu kama wewe

Qumamak

Alafu nyie mashoga Chadema chama chenu wafadhili wenu si ndio michicha mimba

Na wewe jiteke basi na ukaolewe kama wenzio

Hivi unadhani ungekua kidume sio shoga si ungeweka ID orgnal hapa?

Unajificha qumamko
Nenda kwa huyo bwana yako Bashite anayesubiri kifo akakutulize.
 
Salaam , Shalom!

Dr. Slaa amesema kuwa amefanikiwa kupata picha ya Police kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi.

Ikumbukwe pia, usiku wa kuamkia leo, Police walivamia Nyumba ya Askofu Mwamakula wakimtafuta bila mafanikio.

Nia ya kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi haijajulikana hadi sasa ikiwa ni kuunga mkono na kushiriki pia maandamano au ni kuyazuia.


Hatimaye harakati za kweli za upinzani zimeanza kuonekana.

Mungu awabariki, sababu HAKI haijawahi kuletwa Bure kwenye sahani, Bali HAKI hupatikana kwa Mapambano ya kuidai.

Source: Za Ndani media Tv, Bongo 24 tv.

Nawasilisha.
Polisi wa Tz wanatumika vibaya kisiasa.
 
😅mkono wako mwepesi kuyaporomosha, 🐒

naaam wew umeiva vuzuri una kila sifa kuwa front line shujaaaaaa

🐒tsaatsaaatsaaaaatsssaaaahh
Kwa hiyo unataka nijibishane kitu gani na mtu wa aina yako, si nitakuwa ninajishushia heshima tu bure humu?
Maandiko yako humu yanajitosheleza kabisa kukujibu mwenyewe.
 
Back
Top Bottom