Yangekuwa ya "upumbavu" kama unavyo sema polisi wasinge hangaika kiasi kile.Maandamano ya kuongozwa na Mdude ni UPUMBAVU tu!!!!
Lakini najua akili yako haitoshi kujua hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yangekuwa ya "upumbavu" kama unavyo sema polisi wasinge hangaika kiasi kile.Maandamano ya kuongozwa na Mdude ni UPUMBAVU tu!!!!
Pumbavu! Hakika wazazi wako wamepata hasara kubwa kwa kuwa na kijana siyo riziki!Nenda wewe kaharibu kupiga kama hutajiharishia mbele ya mke wako! Usiseme piga sema naenda kupiga ili ukutane na shughuli ya wanaume!
Polisi ndiyo kazi yao, wamefunzwa ku deal na wenye akili na WAPUMBAVU pia. Kuna msemo "ukicheka na nyani utavuna mabua". Polisi hawacheki na nyaniYangekuwa ya "upumbavu" kama unavyo sema polisi wasinge hangaika kiasi kile.
Lakini najua akili yako haitoshi kujua hivyo.
Muda wa kupoteza unao na umekwisha utumia ila haujui kwa vile wewe ni MPUMBAVUSasa unayaita "maandamano ya kipumbavu...", ili u-qualify ujinga ulio andika mwanzo kuhusu "utamaduni wa waTanzania"?
Uchizi wako unajulikana, kwa hiyo sina muda wa kupoteza hapa.
Unajua, hizi bangi za kuvuta kabla ya kubarehe huharibu akili moja kwa moja. Angalia kama wewe hapa ulivyo haribikiwa na akili.Muda wa kupoteza unao na umekwisha utumia ila haujui kwa vile wewe ni MPUMBAVU
Polisi ni kifaa tu kinachotumiwa hata na machizi wa aina yako. Ndiyo maana uamzi ukafanywa kukitumia hicho kifaa kuondoa taharuki mnayojua inasababishwa na hayo maandamano.Polisi ndiyo kazi yao, wamefunzwa ku deal na wenye akili na WAPUMBAVU pia. Kuna msemo "ukicheka na nyani utavuna mabua". Polisi hawacheki na nyani
Maji ukiyavulia nguo huna budi kuyaoga. Walikumbushwa shingo haipiti kichwa sasa vilio vya nini. Waliyataka wenyewe, wamebipu wenzao wamepiga.Salaam , Shalom!
Dr. Slaa amesema kuwa amefanikiwa kupata picha ya Police kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi.
Ikumbukwe pia, usiku wa kuamkia leo, Police walivamia Nyumba ya Askofu Mwamakula wakimtafuta bila mafanikio.
Nia ya kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi haijajulikana hadi sasa ikiwa ni kuunga mkono na kushiriki pia maandamano au ni kuyazuia.
Hatimaye harakati za kweli za upinzani zimeanza kuonekana.
Mungu awabariki, sababu HAKI haijawahi kuletwa Bure kwenye sahani, Bali HAKI hupatikana kwa Mapambano ya kuidai.
Source: Za Ndani media Tv, Bongo 24 tv.
Nawasilisha.
Labda manabii wa nyumbani kwako.Hujui kuwa Mwabukusi, Madeleka, Mdude,Lissu, Lema na wanaodai HAKI kutetea wananchi wasio na sauti ni manabii?
Huyo sio Mchaga kabisa.Utakua ni miongoni mwa wachaga maskini uko kwenu
Kale ka wimbo ka kijana acha kupiga mayowe acha watu waone wenyewe aliyenako akaweke tafadhali.Salaam , Shalom!
Dr. Slaa amesema kuwa amefanikiwa kupata picha ya Police kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi.
Ikumbukwe pia, usiku wa kuamkia leo, Police walivamia Nyumba ya Askofu Mwamakula wakimtafuta bila mafanikio.
Nia ya kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi haijajulikana hadi sasa ikiwa ni kuunga mkono na kushiriki pia maandamano au ni kuyazuia.
Hatimaye harakati za kweli za upinzani zimeanza kuonekana.
Mungu awabariki, sababu HAKI haijawahi kuletwa Bure kwenye sahani, Bali HAKI hupatikana kwa Mapambano ya kuidai.
Source: Za Ndani media Tv, Bongo 24 tv.
Nawasilisha.
Key word Polisi siyo sawa na waimba kwaya. Ukileta za kuleta lazime wakuhenyeshePolisi ni kifaa tu kinachotumiwa hata na machizi wa aina yako. Ndiyo maana uamzi ukafanywa kukitumia hicho kifaa kuondoa taharuki mnayojua inasababishwa na hayo maandamano.
Najua akili yako haiwezi kukufikisha huko kote.
Usipoteze lengo hapa. Zungumzia wanao tumia kifaa.Key word Polisi siyo sawa na waimba kwaya. Ukileta za kuleta lazime wakuhenyeshe
Kama wewe umelelewa kwenye bangi ni wewe tu, endelea nayoUsipoteze lengo hapa. Zungumzia wanao tumia kifaa.
Hicho kifaa siku yoyote kinaweza kutumiwa na hao hao unaowaita wewe "waimba kwaya."
Ndiyo maana nakwambia akili yako iliathiriwa na bange za utotoni, kwa sababu hazina uwezo wa kupambanua mambo.
Ninakwambia hayo ya bangi kutokana na ulivyoingiza ujinga katika majibu yako. Ukiniletea ukichaa, ninakupa ukichaa hivyo hivyo.Kama wewe umelelewa kwenye bangi ni wewe tu, endelea nayo
Kama akina Slaa, Mdude na Mwabukusi ni walevi na wavuta bangi vivyo hivyo na wafuasi wao kama Kalamu watakuwa wavuta bangiNinakwambia hayo ya bangi kutokana na ulivyoingiza ujinga katika majibu yako. Ukiniletea ukichaa, ninakupa ukichaa hivyo hivyo.
Salaam , Shalom!
Dr. Slaa amesema kuwa amefanikiwa kupata picha ya Police kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi.
Ikumbukwe pia, usiku wa kuamkia leo, Police walivamia Nyumba ya Askofu Mwamakula wakimtafuta bila mafanikio.
Nia ya kuizingira Nyumba ya Nabii Mwabukusi haijajulikana hadi sasa ikiwa ni kuunga mkono na kushiriki pia maandamano au ni kuyazuia.
Hatimaye harakati za kweli za upinzani zimeanza kuonekana.
Mungu awabariki, sababu HAKI haijawahi kuletwa Bure kwenye sahani, Bali HAKI hupatikana kwa Mapambano ya kuidai.
Source: Za Ndani media Tv, Bongo 24 tv.
Nawasilisha.
Kama ni wavuta bangi wanaojua maslahi ya nchi hii ni yapi, nami sitasita kuungana nao kama bangi zao hizo zina manufaa.Kama akina Slaa, Mdude na Mwabukusi ni walevi na wavuta bangi vivyo hivyo na wafuasi wao kama Kalamu watakuwa wavuta bangi