Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
dah,Kwa hiyo unataka nijibishane kitu gani na mtu wa aina yako, si nitakuwa ninajishushia heshima tu bure humu?
Maandiko yako humu yanajitosheleza kabisa kukujibu mwenyewe.
hapo umevumila sana najua umeyaporomosha yakutosha kimoyomoyo