Dkt. Slaa: Polisi wamezingira nyumba ya Mwabukusi na Mdude

Dkt. Slaa: Polisi wamezingira nyumba ya Mwabukusi na Mdude

Hivi yale maandamano waliyosema akina Mdude na Mwabakusi kuwa yatafanyika piga ua garagaza hata kwa mtalimbo wa Polisi yaliishia wapi? Na akina Mdudu hao wamepotelea wapi? Tulikuwa tunasubiri akina Mdudu na wake zao waandamane ili sisi tuwe tunapiga vigelegele kila wanamopita wanaandamana lakini cha ajabu hawakuonekana maana walisema piga ua garagaza lazima waandamane na kuwa polisi wasingekuwa na ubavu wa kuwazuia.
Wewe hukuona polisi walivyo andamana kwa niaba yao, au ulikuwa umejificha pangoni?
 
Wewe hukuona polisi walivyo andamana kwa niaba yao, au ulikuwa umejificha pangoni?

Sis tulitaja waandamane wao, hatuna shida ya polisi kwa sababu polisi huandanana kila siku ili kulinda maandamano yasifanyiwe fujo. Wao walijificha kwenye mashimo kama Hanas wakati sisi tulikuwa tunawasubiri pamoja na wake zao ili tuwaoigie vigelegele!
 
Hivi yale maandamano waliyosema akina Mdude na Mwabakusi kuwa yatafanyika piga ua garagaza hata kwa mtalimbo wa Polisi yaliishia wapi? Na akina Mdudu hao wamepotelea wapi? Tulikuwa tunasubiri akina Mdudu na wake zao waandamane ili sisi tuwe tunapiga vigelegele kila wanamopita wanaandamana lakini cha ajabu hawakuonekana maana walisema piga ua garagaza lazima waandamane na kuwa polisi wasingekuwa na ubavu wa kuwazuia.
Maandamano Yako pale pale,

Nabii Lissu pia ametua kuongeza hamasa.
 
Wasmbieni akina Mwabukusi na Mdude na Slaa kama hawana au hawajui wafanye nini basi tutawasaidia. Huu ujinga wa maandamano siyo utamaduni wetu.

Hata wakilazimisha hawatafanikiwa
Ila maandamano ya kuisifia CCM na Raisi Samia hayo hayana shida kabisa au sio, 🤣 failed state.
 
Tunatakiwa tuwaonyeshe kuwa tunajitambua, na tunazijua HAKI zetu kikatiba.

Leo kagera wameandamana kumpokea kiongozi wa CCM, iweje maandamano ya Amani ya iwe haramu?
Maandamano ya kuilaki CCM na viongozi wake hayo hayana haja hata ya kuomba kibali 🤣🤣🤣 ila maandamano ya kudai katiba na maswala yanayohusiana na kutingisha hali ya utawala wa CCM hayo yako kwenye kundi la uvunjifu w Amani hayaitajiki hata kusikika tu.
 
Uharamu wa maandamano ni yakiwa against na akili na utawala wa CCM na kudai katiba mpya.
wanafahamika na ni wazoefu wa ujambazi, wizi na uporaji vibanda na maduka ya wananchi.

Waandamanaji hawa haramu na uharibifu ni chanda na pete Tz.
lazima wakabiliwe vilivyo na bila huruma hata kidogo, maana hakuna namna nyingine sasa ..
 
Maandamano ya kuilaki CCM na viongozi wake hayo hayana haja hata ya kuomba kibali 🤣🤣🤣 ila maandamano ya kudai katiba na maswala yanayohusiana na kutingisha hali ya utawala wa CCM hayo yako kwenye kundi la uvunjifu w Amani hayaitajiki hata kusikika tu.
Sauti za wananchi lazima zisikike maandamano ni muhimu.
 
Shida ya DR hajui kusoma alama za nyakati, udaktari wake wa teologia haumsaidii, Dunia sasa hivi inaendeshwa na mkuu wa anga, muda wake umeisha na anafanya kila jitihada kuwapata wafuasi wa kutosha hayumkini hata yeye asipotuliza akili aachane na msafara ulioijaa mamba wakati yeye ni kenge.
 
Maandamano ya kuilaki CCM na viongozi wake hayo hayana haja hata ya kuomba kibali 🤣🤣🤣 ila maandamano ya kudai katiba na maswala yanayohusiana na kutingisha hali ya utawala wa CCM hayo yako kwenye kundi la uvunjifu w Amani hayaitajiki hata kusikika tu.
Mwabukusi mlevi mbwa, Mdude bangi kwake ni kama mboga na Slaa ni mwasherati. Kikundi cha wahuni tu hicho kinataka kutuletea vurugu
 
Hivi yale maandamano waliyosema akina Mdude na Mwabakusi kuwa yatafanyika piga ua garagaza hata kwa mtalimbo wa Polisi yaliishia wapi? Na akina Mdudu hao wamepotelea wapi? Tulikuwa tunasubiri akina Mdudu na wake zao waandamane ili sisi tuwe tunapiga vigelegele kila wanamopita wanaandamana lakini cha ajabu hawakuonekana maana walisema piga ua garagaza lazima waandamane na kuwa polisi wasingekuwa na ubavu wa kuwazuia.
Wameyeyuka.
 
Back
Top Bottom