Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Hakuna anayemtaka..Nataman kumuona huyu mwamba akirudi kwenye siasa za ushindani naamini ni moja ya mwanasiasa anayejua kujenga na kupangua hoja bila kupepesa macho.
Kajinyonge umfuate huyo shetani wenu kuzimuNyie nao tumeshawachoka habari ya risasi za Lissu, kila hoja ikiletwa hapa mnaingiza upupu wenu huo
Hahaha kwanini mlihusika na hiyo dhambi?masikini lengo lenu halijatimia la kuua,fisi nyie.Nyie nao tumeshawachoka habari ya risasi za Lissu, kila hoja ikiletwa hapa mnaingiza upupu wenu huo
Huyu mzee ndiyo maana upadri ulimshinda kwa matamanio yake. Ngoja tumfunze biblia kidogo:Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa akiwa kwenye kongamano la kusheherekea urithi wa falsafa ya hayati Magufuli ameongelea mambo kadhaa ikiwemo serikali kuwanyima taarifa na fursa ya kumuombea Magufuli.
Pia Dkt. Slaa amewapongeza watanzania kwa walivyoonesha upendo wao na kushikamana kama sisimizi na kila aliyemwambia alikuwa na maadui wengi, alimwambia afungue TV yake zilizorekodi umati wa watu katika vituo vyote ambavyo mwili wake ulipita.
========
Dkt. Slaa: Mama Samia tunakupa pole sana lakini hili pia linikumbushe uchungu mkubwa kidogo niliupata na labda Serikali kwenye hili mtusikilize, Serikali mmetunyima watanzania nafasi ya kumuombea baba yetu tunaempenda kwa mwenyezi Mungu katika kipindi kigumu cha maisha yake alipokuwa anaumwa kwa kutuficha taarifa.
Msiogope nikitamka hivi, kama nitakamatwa nitakamatwa mimi. Serikali ni ya kwetu. Wakristo kama kuna wakati tunatakiwa kumuombea mtu ni wakati wa mwisho wa maisha yake.
Tunakuja kuambiwa amefariki lakini tunajua alikuwa anaumwa kabla ya pale na kile ndio kipindi tulitakiwa tujulishwe, huyu ambae alipenda madhehebu ya dini kila siku ya Mungu alienda, kanisani au msikitini.
Kwanini unawanyima watanzania hao fursa na nafasi ya kuwaombea kwa kadiri ya imani zao. Hii iwe ni fundisho limetokea hatuwezi kurudisha nyuma lakini tunaomba Serikali muwe makini, hamuwezi kuhodhi imani ya binadamu.
Dkt. Slaa: Siku hizi ni rahisi hata utafiti hauhitaji kufanya publication, kutafuta hata hela. Chapisha iingie kwenye mtandao online. Haiitaji hata hela siku hizi, mbona mengi ya matusi tunayaingiza kwenye mitandao na yanazunguka bure, kwanini professional article well said ishindwe kuchapishwa iweze kufikia watu kwasababu karibu kila mtu kwa takwimu tulizonazo watanzania takriban milioni 25 wana smartphone.
Ukiwafikia watanzania milioni 25 umefikia critical mass ambao unahitaji kuwapelekea information, hiyo naacha kama challenge.
Huyo Slaa ni mpinga kristo hana utu.Ila wanadam bas tu!! Yaan mtu anakejeli yule alieshambuliwa kwa risas mingi ila MUNGU akamponya na kusema ni kitu cha kawaida kbs. Lkn analalamika kutopewa nafas ya kuombea waliokufa!! Ni vzr tukadili na walio hai. Maana MUNGU wetu ni wa walio hai sio MUNGU wa wafu!!!
Wasomi wa kiafrika sijui wakoje kwenye maslahi yao utu huweka pembeni jaribu kufikiria kuhusu huyu mzee eti alikuwa padre!Dr slaa nilikuwa namatumaini nae sana lakini Leo nimemshusha vibaya unatoa sifa kwa mtu aliovunja katiba
Mfano haki yakuchagua na kuchaguliwa hili moja tu linatosha bwana yule mwendazake kupuuzwa kabisa ushahidi Wa hili nipale alipo sema atamshangaa mtu anaemlipa yeye amtangaze mpinzani ameshinda bado kwa wavuvi kafanya mambo yahovyo kabisa alafu unasifia hovyo kabisa Dr mihogo bana unalipa fadhila?magu hakuoni tena simamia ukweli bado utaonekana unashukurani
Chama kipi hicho? Maana kwa Chadema sasa hawezi, kwa ACT ilivyo na itikadi zake pia hawezi
Cuf? NCCR?
Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa akiwa kwenye kongamano la kusheherekea urithi wa falsafa ya hayati Magufuli ameongelea mambo kadhaa ikiwemo serikali kuwanyima taarifa na fursa ya kumuombea Magufuli.
Pia Dkt. Slaa amewapongeza watanzania kwa walivyoonesha upendo wao na kushikamana kama sisimizi na kila aliyemwambia alikuwa na maadui wengi, alimwambia afungue TV yake zilizorekodi umati wa watu katika vituo vyote ambavyo mwili wake ulipita.
========
Dkt. Slaa: Mama Samia tunakupa pole sana lakini hili pia linikumbushe uchungu mkubwa kidogo niliupata na labda Serikali kwenye hili mtusikilize, Serikali mmetunyima watanzania nafasi ya kumuombea baba yetu tunaempenda kwa mwenyezi Mungu katika kipindi kigumu cha maisha yake alipokuwa anaumwa kwa kutuficha taarifa.
Msiogope nikitamka hivi, kama nitakamatwa nitakamatwa mimi. Serikali ni ya kwetu. Wakristo kama kuna wakati tunatakiwa kumuombea mtu ni wakati wa mwisho wa maisha yake.
Tunakuja kuambiwa amefariki lakini tunajua alikuwa anaumwa kabla ya pale na kile ndio kipindi tulitakiwa tujulishwe, huyu ambae alipenda madhehebu ya dini kila siku ya Mungu alienda, kanisani au msikitini.
Kwanini unawanyima watanzania hao fursa na nafasi ya kuwaombea kwa kadiri ya imani zao. Hii iwe ni fundisho limetokea hatuwezi kurudisha nyuma lakini tunaomba Serikali muwe makini, hamuwezi kuhodhi imani ya binadamu.
Dkt. Slaa: Siku hizi ni rahisi hata utafiti hauhitaji kufanya publication, kutafuta hata hela. Chapisha iingie kwenye mtandao online. Haiitaji hata hela siku hizi, mbona mengi ya matusi tunayaingiza kwenye mitandao na yanazunguka bure, kwanini professional article well said ishindwe kuchapishwa iweze kufikia watu kwasababu karibu kila mtu kwa takwimu tulizonazo watanzania takriban milioni 25 wana smartphone.
Ukiwafikia watanzania milioni 25 umefikia critical mass ambao unahitaji kuwapelekea information, hiyo naacha kama challenge.
Huyu mzee ndiyo maana upadri ulimshinda kwa matamanio yake. Ngoja tumfunze biblia kidogo:
Mathayo 23: 9 Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.
Nini mnatuletea mambo ya "baba", hata kitabu chenu kinawasuta. Mshasikia Bi Samia anaitwa "mama" nanyi mnataka ku force "bwana yule" nae aitwe "baba".
Unachomkemea asikifanye na wewe umekifanya vile vileUnakuaje na chuki kama hivi kwa mtu hata asiyekujua?
Kisa Siasa.
We utakufa mdomo wazi na mavi yako tumboni nyau we.
Nyie ndio baina ya mitoto iliyokuzwa kwa kulishwa panya na kunguru na nyama za mbwa.
Halafu sijui mmeibukia wapi nyie mapopo humu mtandaoni.
Hapo ndipo hayati alipobugi. Propaganda(kuwaaminisha watu vitu ndivyo sivyo)Kwani angeombewa ndio asingekufa?
Marehemu ndio aliongoza kwa kuficha vitu na propaganda nyingi kwenye vyombo vya habari.
Njia pekee ambayo angefanya tumuaminu ni kuona picha akiwa yupo hospitali tu.
Huyo huyo ndio aliwajaza hofu wasaidizi wake hadi wengine wakadanganya watu ni mzima na ana mafile ya kusoma mengi mara wengine wanasema wameongea naye asubuhi na ilhali walijua yu tahabani kitandani.
Hapo ndio na mimi natafakari. Ingawa hii kauli tena kwa wakati huu,sio bure.Anashindwa kwenda na awamu!
Badala ya kuwahimiza Watanzania wamwombe Mungu aibariki Serikali iliyopo madarakani yeye anajikita na mambo yaliyopita
Na wale watu wa S-wing waleeeee🏃🏃🏃🏃🏃Yuko sahihi kabisa....
Wale watu wa Msoga waleeee!
Mungu anawaona sana......
Samia alikuwa Makamu wa Rais, hakuwa msaidizi wa MagufuliKwa hiyo hata msaidizi wake ambaye sasa hivi ndiye rais wa kikatiba alishiriki kikamilifu kuzuia Watanzania wasitaarifiwe hali ya hayati JPM? Kama ndvyo, anadhani atadumu kwenye mamlaka haya ya mpito na ya kibinadamu pasipo kuonja hasira za Watanzania na ndugu zake?
Kwa hiyo ilifanyika kwa makusudi kwa kuwa wasaidizi wake wote walimchukia?
Wasomi wa kiafrika sijui wakoje kwenye maslahi yao utu huweka pembeni jaribu kufikiria kuhusu huyu mzee eti alikuwa padre!
Huyu mzee ni mchochezi anaichonganisha Selikari na wananchi akamatwe awekwe ndaniMwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa akiwa kwenye kongamano la kusheherekea urithi wa falsafa ya hayati Magufuli ameongelea mambo kadhaa ikiwemo serikali kuwanyima taarifa na fursa ya kumuombea Magufuli.
Pia Dkt. Slaa amewapongeza watanzania kwa walivyoonesha upendo wao na kushikamana kama sisimizi na kila aliyemwambia alikuwa na maadui wengi, alimwambia afungue TV yake zilizorekodi umati wa watu katika vituo vyote ambavyo mwili wake ulipita.
========
Dkt. Slaa: Mama Samia tunakupa pole sana lakini hili pia linikumbushe uchungu mkubwa kidogo niliupata na labda Serikali kwenye hili mtusikilize, Serikali mmetunyima watanzania nafasi ya kumuombea baba yetu tunaempenda kwa mwenyezi Mungu katika kipindi kigumu cha maisha yake alipokuwa anaumwa kwa kutuficha taarifa.
Msiogope nikitamka hivi, kama nitakamatwa nitakamatwa mimi. Serikali ni ya kwetu. Wakristo kama kuna wakati tunatakiwa kumuombea mtu ni wakati wa mwisho wa maisha yake.
Tunakuja kuambiwa amefariki lakini tunajua alikuwa anaumwa kabla ya pale na kile ndio kipindi tulitakiwa tujulishwe, huyu ambae alipenda madhehebu ya dini kila siku ya Mungu alienda, kanisani au msikitini.
Kwanini unawanyima watanzania hao fursa na nafasi ya kuwaombea kwa kadiri ya imani zao. Hii iwe ni fundisho limetokea hatuwezi kurudisha nyuma lakini tunaomba Serikali muwe makini, hamuwezi kuhodhi imani ya binadamu.
Dkt. Slaa: Siku hizi ni rahisi hata utafiti hauhitaji kufanya publication, kutafuta hata hela. Chapisha iingie kwenye mtandao online. Haiitaji hata hela siku hizi, mbona mengi ya matusi tunayaingiza kwenye mitandao na yanazunguka bure, kwanini professional article well said ishindwe kuchapishwa iweze kufikia watu kwasababu karibu kila mtu kwa takwimu tulizonazo watanzania takriban milioni 25 wana smartphone.
Ukiwafikia watanzania milioni 25 umefikia critical mass ambao unahitaji kuwapelekea information, hiyo naacha kama challenge.
Msaidizi ni mtu wa aina gani kwa rais? Nini maana ya "Vice president' na 'Deputy president'?Samia alikuwa Makamu wa Rais, hakuwa msaidizi wa Magufuli