Dkt. Slaa: Serikali mmetunyima watanzania nafasi ya kumuombea baba yetu alipokuwa anaumwa

Dkt. Slaa: Serikali mmetunyima watanzania nafasi ya kumuombea baba yetu alipokuwa anaumwa

Nataman kumuona huyu mwamba akirudi kwenye siasa za ushindani naamini ni moja ya mwanasiasa anayejua kujenga na kupangua hoja bila kupepesa macho.
Hakuna anayemtaka..
CCM hii ya akina Samia, Nape na Makamba?
Au Chadema? Hawawezi, hata ACT hawawezi kumchukua
 
Slaa anajua mwenzie anayemlilia alizikwa kitamaduni? means no religion... ajiulize tu why hizo maombi hazikuwepo... Shetwain hatakagi hayo makitu... na ajiulize why njemba ilikuwa inakwapua mic kanisani inasimama madhabahuni mdhambi mkubwa yule alafu apone!
 
Anataka amuombee aliyekataa mwenzie kuombewa?kweli miungu wapo wengi ila aliyemponya Lisu ni MUNGU wa upendo.
 
Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa akiwa kwenye kongamano la kusheherekea urithi wa falsafa ya hayati Magufuli ameongelea mambo kadhaa ikiwemo serikali kuwanyima taarifa na fursa ya kumuombea Magufuli.

Pia Dkt. Slaa amewapongeza watanzania kwa walivyoonesha upendo wao na kushikamana kama sisimizi na kila aliyemwambia alikuwa na maadui wengi, alimwambia afungue TV yake zilizorekodi umati wa watu katika vituo vyote ambavyo mwili wake ulipita.

========

Dkt. Slaa: Mama Samia tunakupa pole sana lakini hili pia linikumbushe uchungu mkubwa kidogo niliupata na labda Serikali kwenye hili mtusikilize, Serikali mmetunyima watanzania nafasi ya kumuombea baba yetu tunaempenda kwa mwenyezi Mungu katika kipindi kigumu cha maisha yake alipokuwa anaumwa kwa kutuficha taarifa.

Msiogope nikitamka hivi, kama nitakamatwa nitakamatwa mimi. Serikali ni ya kwetu. Wakristo kama kuna wakati tunatakiwa kumuombea mtu ni wakati wa mwisho wa maisha yake.

Tunakuja kuambiwa amefariki lakini tunajua alikuwa anaumwa kabla ya pale na kile ndio kipindi tulitakiwa tujulishwe, huyu ambae alipenda madhehebu ya dini kila siku ya Mungu alienda, kanisani au msikitini.

Kwanini unawanyima watanzania hao fursa na nafasi ya kuwaombea kwa kadiri ya imani zao. Hii iwe ni fundisho limetokea hatuwezi kurudisha nyuma lakini tunaomba Serikali muwe makini, hamuwezi kuhodhi imani ya binadamu.

Dkt. Slaa: Siku hizi ni rahisi hata utafiti hauhitaji kufanya publication, kutafuta hata hela. Chapisha iingie kwenye mtandao online. Haiitaji hata hela siku hizi, mbona mengi ya matusi tunayaingiza kwenye mitandao na yanazunguka bure, kwanini professional article well said ishindwe kuchapishwa iweze kufikia watu kwasababu karibu kila mtu kwa takwimu tulizonazo watanzania takriban milioni 25 wana smartphone.

Ukiwafikia watanzania milioni 25 umefikia critical mass ambao unahitaji kuwapelekea information, hiyo naacha kama challenge.
Huyu mzee ndiyo maana upadri ulimshinda kwa matamanio yake. Ngoja tumfunze biblia kidogo:

Mathayo 23: 9 Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.

Nini mnatuletea mambo ya "baba", hata kitabu chenu kinawasuta. Mshasikia Bi Samia anaitwa "mama" nanyi mnataka ku force "bwana yule" nae aitwe "baba".
 
Ila wanadam bas tu!! Yaan mtu anakejeli yule alieshambuliwa kwa risas mingi ila MUNGU akamponya na kusema ni kitu cha kawaida kbs. Lkn analalamika kutopewa nafas ya kuombea waliokufa!! Ni vzr tukadili na walio hai. Maana MUNGU wetu ni wa walio hai sio MUNGU wa wafu!!!
Huyo Slaa ni mpinga kristo hana utu.
 
Dr slaa nilikuwa namatumaini nae sana lakini Leo nimemshusha vibaya unatoa sifa kwa mtu aliovunja katiba
Mfano haki yakuchagua na kuchaguliwa hili moja tu linatosha bwana yule mwendazake kupuuzwa kabisa ushahidi Wa hili nipale alipo sema atamshangaa mtu anaemlipa yeye amtangaze mpinzani ameshinda bado kwa wavuvi kafanya mambo yahovyo kabisa alafu unasifia hovyo kabisa Dr mihogo bana unalipa fadhila?magu hakuoni tena simamia ukweli bado utaonekana unashukurani
Wasomi wa kiafrika sijui wakoje kwenye maslahi yao utu huweka pembeni jaribu kufikiria kuhusu huyu mzee eti alikuwa padre!
 
Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa akiwa kwenye kongamano la kusheherekea urithi wa falsafa ya hayati Magufuli ameongelea mambo kadhaa ikiwemo serikali kuwanyima taarifa na fursa ya kumuombea Magufuli.

Pia Dkt. Slaa amewapongeza watanzania kwa walivyoonesha upendo wao na kushikamana kama sisimizi na kila aliyemwambia alikuwa na maadui wengi, alimwambia afungue TV yake zilizorekodi umati wa watu katika vituo vyote ambavyo mwili wake ulipita.

========

Dkt. Slaa: Mama Samia tunakupa pole sana lakini hili pia linikumbushe uchungu mkubwa kidogo niliupata na labda Serikali kwenye hili mtusikilize, Serikali mmetunyima watanzania nafasi ya kumuombea baba yetu tunaempenda kwa mwenyezi Mungu katika kipindi kigumu cha maisha yake alipokuwa anaumwa kwa kutuficha taarifa.

Msiogope nikitamka hivi, kama nitakamatwa nitakamatwa mimi. Serikali ni ya kwetu. Wakristo kama kuna wakati tunatakiwa kumuombea mtu ni wakati wa mwisho wa maisha yake.

Tunakuja kuambiwa amefariki lakini tunajua alikuwa anaumwa kabla ya pale na kile ndio kipindi tulitakiwa tujulishwe, huyu ambae alipenda madhehebu ya dini kila siku ya Mungu alienda, kanisani au msikitini.

Kwanini unawanyima watanzania hao fursa na nafasi ya kuwaombea kwa kadiri ya imani zao. Hii iwe ni fundisho limetokea hatuwezi kurudisha nyuma lakini tunaomba Serikali muwe makini, hamuwezi kuhodhi imani ya binadamu.

Dkt. Slaa: Siku hizi ni rahisi hata utafiti hauhitaji kufanya publication, kutafuta hata hela. Chapisha iingie kwenye mtandao online. Haiitaji hata hela siku hizi, mbona mengi ya matusi tunayaingiza kwenye mitandao na yanazunguka bure, kwanini professional article well said ishindwe kuchapishwa iweze kufikia watu kwasababu karibu kila mtu kwa takwimu tulizonazo watanzania takriban milioni 25 wana smartphone.

Ukiwafikia watanzania milioni 25 umefikia critical mass ambao unahitaji kuwapelekea information, hiyo naacha kama challenge.


Mungu RIP tuacheni kiki wa watu waliofariki. Slaa hii sio nzuri wala dini hairuhusu hili🙏
 
Huyu mzee ndiyo maana upadri ulimshinda kwa matamanio yake. Ngoja tumfunze biblia kidogo:

Mathayo 23: 9 Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.

Nini mnatuletea mambo ya "baba", hata kitabu chenu kinawasuta. Mshasikia Bi Samia anaitwa "mama" nanyi mnataka ku force "bwana yule" nae aitwe "baba".

..kuna watu walimlinganisha na mitume.

..afadhali sasa hivi wanamuita baba.
 
Unakuaje na chuki kama hivi kwa mtu hata asiyekujua?
Kisa Siasa.
We utakufa mdomo wazi na mavi yako tumboni nyau we.
Nyie ndio baina ya mitoto iliyokuzwa kwa kulishwa panya na kunguru na nyama za mbwa.
Halafu sijui mmeibukia wapi nyie mapopo humu mtandaoni.
Unachomkemea asikifanye na wewe umekifanya vile vile

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Ugonjwa siri ya mtu, sidhani kama Late JPM angeruhusu itangazwe kuwa ni mgonjwa na aombewe.
 
Kwani angeombewa ndio asingekufa?

Marehemu ndio aliongoza kwa kuficha vitu na propaganda nyingi kwenye vyombo vya habari.

Njia pekee ambayo angefanya tumuaminu ni kuona picha akiwa yupo hospitali tu.

Huyo huyo ndio aliwajaza hofu wasaidizi wake hadi wengine wakadanganya watu ni mzima na ana mafile ya kusoma mengi mara wengine wanasema wameongea naye asubuhi na ilhali walijua yu tahabani kitandani.
Hapo ndipo hayati alipobugi. Propaganda(kuwaaminisha watu vitu ndivyo sivyo)

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo hata msaidizi wake ambaye sasa hivi ndiye rais wa kikatiba alishiriki kikamilifu kuzuia Watanzania wasitaarifiwe hali ya hayati JPM? Kama ndvyo, anadhani atadumu kwenye mamlaka haya ya mpito na ya kibinadamu pasipo kuonja hasira za Watanzania na ndugu zake?

Kwa hiyo ilifanyika kwa makusudi kwa kuwa wasaidizi wake wote walimchukia?
Samia alikuwa Makamu wa Rais, hakuwa msaidizi wa Magufuli
 
Mwanasiasa mkongwe, Dkt. Wilbroad Slaa akiwa kwenye kongamano la kusheherekea urithi wa falsafa ya hayati Magufuli ameongelea mambo kadhaa ikiwemo serikali kuwanyima taarifa na fursa ya kumuombea Magufuli.

Pia Dkt. Slaa amewapongeza watanzania kwa walivyoonesha upendo wao na kushikamana kama sisimizi na kila aliyemwambia alikuwa na maadui wengi, alimwambia afungue TV yake zilizorekodi umati wa watu katika vituo vyote ambavyo mwili wake ulipita.

========

Dkt. Slaa: Mama Samia tunakupa pole sana lakini hili pia linikumbushe uchungu mkubwa kidogo niliupata na labda Serikali kwenye hili mtusikilize, Serikali mmetunyima watanzania nafasi ya kumuombea baba yetu tunaempenda kwa mwenyezi Mungu katika kipindi kigumu cha maisha yake alipokuwa anaumwa kwa kutuficha taarifa.

Msiogope nikitamka hivi, kama nitakamatwa nitakamatwa mimi. Serikali ni ya kwetu. Wakristo kama kuna wakati tunatakiwa kumuombea mtu ni wakati wa mwisho wa maisha yake.

Tunakuja kuambiwa amefariki lakini tunajua alikuwa anaumwa kabla ya pale na kile ndio kipindi tulitakiwa tujulishwe, huyu ambae alipenda madhehebu ya dini kila siku ya Mungu alienda, kanisani au msikitini.

Kwanini unawanyima watanzania hao fursa na nafasi ya kuwaombea kwa kadiri ya imani zao. Hii iwe ni fundisho limetokea hatuwezi kurudisha nyuma lakini tunaomba Serikali muwe makini, hamuwezi kuhodhi imani ya binadamu.

Dkt. Slaa: Siku hizi ni rahisi hata utafiti hauhitaji kufanya publication, kutafuta hata hela. Chapisha iingie kwenye mtandao online. Haiitaji hata hela siku hizi, mbona mengi ya matusi tunayaingiza kwenye mitandao na yanazunguka bure, kwanini professional article well said ishindwe kuchapishwa iweze kufikia watu kwasababu karibu kila mtu kwa takwimu tulizonazo watanzania takriban milioni 25 wana smartphone.

Ukiwafikia watanzania milioni 25 umefikia critical mass ambao unahitaji kuwapelekea information, hiyo naacha kama challenge.
Huyu mzee ni mchochezi anaichonganisha Selikari na wananchi akamatwe awekwe ndani

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Samia alikuwa Makamu wa Rais, hakuwa msaidizi wa Magufuli
Msaidizi ni mtu wa aina gani kwa rais? Nini maana ya "Vice president' na 'Deputy president'?

1. Vice President- i) an officer next in rank to a president and usually empowered to serve as president in that officer's absence or disability. ii) any of several officers serving as a president's deputies in charge of particular locations or functions
2. Deputy President- an officer ranking immediately below a president and serving as his or her deputy. A deputy president takes the president's place during his or her absence or incapacity, after his or her death, and in certain other circumstances

Wewe ulipinga hebu tutofautishie kati ya maana hizo hapo juu
 
Back
Top Bottom