Dkt. Slaa: Tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi na watu ‘wasiojulikana’ ni jambo la kawaida

Km wameshindwa marekani na EU wamesema wako tayari kusaidia mbona hawataki kupokea hilo pia?
 
Amesema “ni jambo ambalo ni tukio la kawaida”

Kutaka kuuwawa kwa mwanasiasa wa upinzani mchana kweupe na bila uchunguzi, siyo tukio la kawaida!
Tukio lolote linabaki kuwa la kawaida mpk uchunguzi u prove vinginevyo.
 
Hakuna aliewahi kuacha upadre alioapa madhabahuni akawa salama;
aliacha upadre,
akaacha mke,
akaiacha CDM
laana ile inasonga mbele hadi kiyama chake.
 
Nimerudia kusoma mara kadhaa hii post lakini nashindwa kuona mahali ambapo "Dr. Slaa amemtolea uvivu Tundu Lissu".
Dr. Slaa katoa maoni yake lakini hakuna mahali popote ambapo amefanya kilichoandikwa kwenye kichwa cha hii mada.
 
Baada ya kamanda Barlow aliyekuwa kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza kuuwawa usiku wa manane.
Asubuhi ya siku iliyofuata walikamatwa watuhumiwa katika maeneo mbali mbali ya TANGANYIKA
ni nani alienda kushtaki polisi?
 
Yeye ile list of shame alikwenda kutoa taarifa Polisi au TAKUKURU? Au anavyokomaa kuwa Lowasa ni fisadi kuna taarifa yoyote aliyoipeleka TAKUKURU?
Consigliere, si list of shame Mh.Tindu A. Lissu alisemema ndiye mhusika mkuu
 
Mbona unakua na akili kama za mtoto mdogo, Ulishawai kujiuliza zile CCTV Camera ziliondolewa kwa sababu zipi?
 
Huu uzi bavicha wanatiririka utadhani wana mirembe, dr slaa kasema wazi si lisu tu kapigwa risasi bali na wengne wengi wamepigwa risasi na kuuawa kiaina...so wote hao liachiwe jeshi la polisi (kwa mujibu wa sheria) lifanyie uchunguzi, na ikiwa kuna mtu anao ushahidi zaidi unaoweza kusaidia apeleke dawati la polisi.
 

Ukitaka kuwa rafiki wa mbwa koko, anza kwa kumpa makombo....
 
Yeye ile list of shame alikwenda kutoa taarifa Polisi au TAKUKURU? Au anavyokomaa kuwa Lowasa ni fisadi kuna taarifa yoyote aliyoipeleka TAKUKURU?
List of shame iliandaliwa na Tundu Lissu na ikasomwa na Dr. Slaa hadharani baada ya aliyeiandaa (Lissu) kugwaya kuisoma kwa kuogopa kupelekwa kotini.
 
List of shame iliandaliwa na Tundu Lissu na ikasomwa na Dr. Slaa hadharani baada ya aliyeiandaa (Lissu) kugwaya kuisoma kwa kuogopa kupelekwa kotini.
Kwanini Dr. Slaa aliisoma hadharani kwenye vyombo vya habari badala ya kuipeleka Polisi?
Kuna wakati aliyekua Spika wa bunge wa wakati ule Samweli Sitta aliwahi kumshauri Dr. Slaa kuzipeleka Polisi tuhuma fulani alizokuwa nazo badala ya kuzipeleka bungeni, kwanini Dr. Slaa aliukataa ushauri ule wa Spika?
 

Dr Slaa ni kati ya wasomi wa kiwango cha juu sana Tanzania Eastern Africa na Africa. PhD - zaidi ya shahada nne! inatambulika duniani. Wewe sijui una shahada ngapi and you dare talk ill of him?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…