Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyemnyooshea bastola mr Nape pia hajulikaniQuite a comedian
Polisi mpaka leo hawajui aliyemuua Mawazo
Polisi hawajui alipo Saanane
Hawajui alipo mwandishi wa mwananchi
Aliyewateka Roma na Ulimboka ni kitendawili hata kama wenyewe wanawafahamu
Nini kina kufanya udhani suala la Lissu litatuliwa?
Ukishakuwa mnufaika unaangalia maslai yako,yeye alishafulia hivo lzm aimbe nyimbo za kusifu na kuabudu,akienda kinyume na uteuzi utenguliwa,ili uchague ukamanda ukashindie Mihogo, au uimbe kusifu na kuabudu ili usogeze siku.Hapa ndipo inaponishinda siasa...
Well said!Ni kweli kabisa na kila siku nimeendelea kusema humu JF ya kuwa hakuna ushahidi wa kutosha unathibitisha mtu aliyemdungua Lissu risasi. Nikaendelea kuwapa member walalamishi wasiotaka kuelewa wakereketwa wa upande wa pili kama wana evidence wapeleke polisi haki itendeke washukiwa wafikishwe kortini.
Note;"huna haki ya kuzungumza pasipo kuwa na ushahidi wa kile unachokizungumza"
Ndio maana nameomba Maulana Mola wangu anitunikie mipesa mingi!nimeamini hakuna mkate mgumu mbele ya chai.
Unataka ushaidi gani zaidi ya kukataa kutoa gharama za matibabu na kungoa cctv.Well said!
na wewe ni grit thinka aaahNi kweli kabisa na kila siku nimeendelea kusema humu JF ya kuwa hakuna ushahidi wa kutosha unathibitisha mtu aliyemdungua Lissu risasi. Nikaendelea kuwapa member walalamishi wasiotaka kuelewa wakereketwa wa upande wa pili kama wana evidence wapeleke polisi haki itendeke washukiwa wafikishwe kortini.
Note;"huna haki ya kuzungumza pasipo kuwa na ushahidi wa kile unachokizungumza"
Hata alipoanguka bafuni akavunjika mkono bado hawakusema ni kawaida. Pia alipowekewa vinasa sauti kitandani kule Dodoma!Eti jambo LA kawaida!Yeye alishapigwa risasi Mara ngapi?
Hapa ndipo inaponishinda siasa...
Hahahaha uwiii umenichekesha sana walahi!Hakuna anayesemaga ukweli kwa tanzania hii,viongozi wanafiki akiwa karibu anasema sahihi akiwa mbali anasema sio sahihi,
maisha bila unafiki hayaendi..
Weka ushaidi hapa tuoneLile tukio la kukatwa korodani mlinzi wa dr.slaa mbona lissu alisema ni jambo la kawaida, babla jamaa zake kagenzi walilipiza?
Mkuu, kwenye criminal case kwa kawaida huwa kunakuwa na Potential suspects ......... sasa kinachozungumziwa humu ni potential suspects. Potential suspects naye huwa anaweza kujisafisha mwenyewe. Dr. Slaa must know better!!Ni kweli kabisa na kila siku nimeendelea kusema humu JF ya kuwa hakuna ushahidi wa kutosha unathibitisha mtu aliyemdungua Lissu risasi. Nikaendelea kuwapa member walalamishi wasiotaka kuelewa wakereketwa wa upande wa pili kama wana evidence wapeleke polisi haki itendeke washukiwa wafikishwe kortini.
Note;"huna haki ya kuzungumza pasipo kuwa na ushahidi wa kile unachokizungumza"