Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Anasikitisha sana.Anafanya vijana waogope kuzeeka.Vijana watadhani mtu akizeeka akili nazo zinamtoroka.Such a very hopeless old man!Hahaha hahaha nimechka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasikitisha sana.Anafanya vijana waogope kuzeeka.Vijana watadhani mtu akizeeka akili nazo zinamtoroka.Such a very hopeless old man!Hahaha hahaha nimechka sana
Shikamoo Kaka JokaKuu! Nilisahau kwamba Daktari hivi sasa sio mwenzetu!!..Dr.Slaa amejibu kama BALOZI wa Tz.
..kwa wadhifa wake huwezi kutarajia atoe jibu tofauti na alilotoa.
..lakini pia kuna mahali Dr ameteleza.
..kama anadai tukio la TL kushambuliwa kwa risasi ni jambo la kawaida hata huko Canada, basi atueleze ni lini MNADHIMU wa kambi ya UPINZANI ya CANADA alishambuliwa kwa risasi wakati wa vikao vya BUNGE.
Ahsante sana Mkuu haji humu siku hizi maana anajua atachapwa za uso za kufa mtu labda kama ana ID nyingine tofauti na hii.
Good liar!!Alikatwa pumbu ?Hebu weka habari ya ushahidi au picha niamini ulichoandika.Lile tukio la kukatwa korodani mlinzi wa dr.slaa mbona lissu alisema ni jambo la kawaida, babla jamaa zake kagenzi walilipiza?
Joshua nadhani Kova alisema ndiye aliyemteka Ulimboka kama kumbukumbu zangu zipo sahihiShikamoo Kaka JokaKuu! Nilisahau kwamba Daktari hivi sasa sio mwenzetu!!
Halafu unadhani mimi nina tatzo basi kwenye hili suala la polisi!!! Tatizo langu ni pale, ninapoona sina kukumbukumbu ya kupatikana kwa watuhumiwa wa tukio lolote linalofanana na la TL. Lau kama tungekuwa na historia ya kuwanasa watuhumiwa, wala nisingekuwa na tatizo... ninge-assume it's a matter of time!
Kinyume chake, nakumbuka matukio kama...
-Saed Kubenea kumwagiwa tindikali
-Dr. Ulimboka kusagwa hadi palipoandikwa basi
-Tukio sawa na la Ulimboka likamkuta Absolom Kibanda
-Ben Saanane
Sasa hapo unajiuliza... ni muujiza gani utatokea kwa TL manake sina kumbukumbu kabisa kama kuna mtu amewahi kufikishwa mahakamani kwa tukio lolote hapo juu; japo kwa kuzuga kama ambavyo walifanya kwa yule chizi wa Kenya Joshua kwamba eti ndie karipua kule Arusha!!!!

Mkuu mbona unajitoa ufahamu,,,, nani alitoa zile camera za securityNi kweli kabisa na kila siku nimeendelea kusema humu JF ya kuwa hakuna ushahidi wa kutosha unathibitisha mtu aliyemdungua Lissu risasi. Nikaendelea kuwapa member walalamishi wasiotaka kuelewa wakereketwa wa upande wa pili kama wana evidence wapeleke polisi haki itendeke washukiwa wafikishwe kortini.
Note;"huna haki ya kuzungumza pasipo kuwa na ushahidi wa kile unachokizungumza"
Hahaaa!! Wallah Kova hakuwa mzima kichwani yule!!! Nime-confirm, you're right! Joshua ndo alimteka Ulimboka.... hahaaa! Sasa huyu Sele nae hata kudanganya hajui!!! Ni nani angeamini Joshua angekuwa na ubavu wa kumteka Ulimboka na kumsaga namna ile?!Joshua nadhani Kova alisema ndiye aliyemteka Ulimboka kama kumbukumbu zangu zipo sahihi
Duh!! Posho 10mil? Kufa kufaanaMkuu, kwenye criminal case kwa kawaida huwa kunakuwa na Potential suspects ......... sasa kinachozungumziwa humu ni potential suspects. Potential suspects naye huwa anaweza kujisafisha mwenyewe. Dr. Slaa must know better!!
Hata huko Canada anakokuzungumzia kama kuna potential suspect police huwa wanamfuata na kumhoji .... kama hakuna huwa wanajaribu kuto features au michoro tena hata hadharani ili raia wema wasaidie kuwaidentify wahalifu.
Kwa kawaida watu hawawezi kwenda tu police kutoa ushaidi unless wameombwa ..... kwa nini hawakutangaza number ambayo raia wanaweza kutoa taarifa kwa siri au hata kutoa posho ya million 10 kwa yule atakayesaidia kutoa ushahidi!!?
Chige unatumia kinywaji gani. Agiza nitalipiaHapa ndipo inaponishinda siasa...