Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chige, BAK,
..Tz tunahitaji mwandishi wa habari kama Tim Russet wa kipindi cha " meet the press " cha Wamarekani.
..Tim Russet alikuwa ana tabia ya kuchimba rekodi ya mtu anayemkaribisha ktk studio za " Meet the Press."
..Kwa hiyo wakati wa kipindi anakuwa tayari na rekodi ya matamshi ambayo mhusika aliwahi kuyatoa kabla ya mahojiano kufanyika.
..Kwa mfano, kwenye suala la TL, Tim Russet angemuacha Dr.Slaa apotoshe kama alivyofanya, halafu anakuja kumtolea statement zake za zamani, na kumbana kwanini anabadilisha kauli na misimamo yake ya awali.
“He wants to have his cake and eat it too”Kajichanganya sana kwenye, huku yeye anasema alipotaja List of shame alikua na maadui wengi na aliwaita waandisha akawaambia, huku upande wa pili akisema amekimbilia Canada kwa sababu ni moja ya nchi zinazoheshimu haki za binadam, kwa nini hakukimbilia Polisi..
Kaongea vizuri sana kwenye mambo mengine, ila lilipokuja swala la Lissu hekima aliamua kuiweka pembeni... anaonekana ana hasira sana na Lissu
Tume ya mwakyembe ilidhibitishaYeye ile list of shame alikwenda kutoa taarifa Polisi au TAKUKURU? Au anavyokomaa kuwa Lowasa ni fisadi kuna taarifa yoyote aliyoipeleka TAKUKURU?
Hii mwisho wake ni kuwa nchi yenye wahalifu wasiojulikana.Aliyemnyooshea bastola mr Nape pia hajulikani
Ndio maana kule Arusha mkewe tu ndio alipigwa na Polisi. Yeye hata hakuguswa!
View attachment 691715
Haingia ikulu bado alienda kusalimia tu.sio kiutendajiHajiamini.! ndio maana ni mzushi, na alishatuaminisha hadi leo kua nyumba za serikali ziliuzwa kwa bei ya kutupa, kwamba angeingia ikulu angempeleka muhusika mahakamami!
Kinachoisumbua sana nchi hii ni njaa na unafiki bila kujali umesoma hadi wapi hayo masuala mawili ni balaa maana njaa huingia hata kula ubongo kisha mtu anaongea bila kujitambua.Ikiwa mwanadamu mwenye akili timamu anaweza kuliona tukio lile kuwa ni jambo la kawaida....tumedidimia chini mno.
Aliyemtolea bastola Nape hadharani mbele ya polisi na hajulikani hadi leo naye unamwongeleaje?Ni kweli kabisa na kila siku nimeendelea kusema humu JF ya kuwa hakuna ushahidi wa kutosha unathibitisha mtu aliyemdungua Lissu risasi. Nikaendelea kuwapa member walalamishi wasiotaka kuelewa wakereketwa wa upande wa pili kama wana evidence wapeleke polisi haki itendeke washukiwa wafikishwe kortini.
Note;"huna haki ya kuzungumza pasipo kuwa na ushahidi wa kile unachokizungumza"