Dkt. Slaa: Tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi na watu ‘wasiojulikana’ ni jambo la kawaida

Dkt. Slaa: Tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi na watu ‘wasiojulikana’ ni jambo la kawaida

Ukishapukizia bng ya ccm laxm uanze dalili zake na hz ndzo dalili za slaa baada ya kupuliza bng ccm
 
Dr Slaa kasema ni tukio la kawaida? Kama ni kweli ameongea haya maneno nitamtoa maanani moja kwa moja!

Nadhani anataka kutumika kuendesha propaganda kuwa Lissu hakushambuliwa kwasababu za kisiasa!

Ukisoma btn the lines, kusema ni tukio la kawaida, ni kudownplay tukio zima!

Ubalozi aliopewa, naona mojawapo ya masharti, ni “ubalozi wa propaganda dhidi ya Lissu”

Naona sasa karata ya serikali ya ccm dhidi ya Lissu ni Slaa!
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai!!, Dkt. Slaa choka mbayaaa!!, Mnafiki mzuri tu!
 
Mimi niko Canada mauaji yapo kila siku na watu wanapotea, wanapigwa risasi wakiulizwa polisi wanakwambia suala hilo liko kwenye upelelezi tukifikia hatua nzuri tutatoa taarifa”.
Yan huyu eti kwake Canada imekuwa kama Mbingu...kila kitu Canada Canada...

Na pumbavu zake kabisa, kwamba kwa kuwa Canada watu wanauawa ndo iweje sasa, tukae kimya tusimseme Magufuli?
 
Haki aendelee kuishi ili aione kesho yake ilivyo.. Alilisaliti kanisa, akaisaliti ndoa yake naona sasa anajisaliti mwenyewe..
 
1. Kwanini wameficha cctv camera za nyumba ya jirani.
2. Walinzi wa getini walikuwa wapi wakati wa tukio ndani ya lindo lao.
3. Kwanini hawataki uchunguzi huru wa kushirikisha vyombo huru
4. Kwanini walikataza Lissu asiombewe na Watanzania.
5. Kwanini Bunge linagoma kumpatia haki yake ya matibabu

Kuna kitu kinaitwa ushahidi wa mazingira na mtiririko wa vitendo vya mtuhumiwa. Huyo mzee Slaa ameshakula vya watu, ni lazima alipe kwa propaganda mfu.
 
Dhambi ya usaliti inamtafuna sijui hata kama anaelewa akisemacho dah sukutegemea kama siku moja atakuwa mtu wa hovyo kiasi hiki! sidhani hata anachokisema anakiamini!!!
 
Ni kweli kabisa na kila siku nimeendelea kusema humu JF ya kuwa hakuna ushahidi wa kutosha unathibitisha mtu aliyemdungua Lissu risasi. Nikaendelea kuwapa member walalamishi wasiotaka kuelewa wakereketwa wa upande wa pili kama wana evidence wapeleke polisi haki itendeke washukiwa wafikishwe kortini.

Note;"huna haki ya kuzungumza pasipo kuwa na ushahidi wa kile unachokizungumza"
 
Back
Top Bottom