Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inaitwa back to Sender.Yeye ile list of shame alikwenda kutoa taarifa Polisi au TAKUKURU? Au anavyokomaa kuwa Lowasa ni fisadi kuna taarifa yoyote aliyoipeleka TAKUKURU?
amekubali kuwa anafanya kazi supermarket ila ni kubwa sana tena sana sio kama mlimani cityWanasiasa wana vipaji vikubwa vya unafiki!
Yy alipomtuhumu Lowassa kwa ufisadi mbona hakwenda kutoa taarifa police Badala yake aliishia kuongea na vyombo vya Habari? Au wakati huo hapakuwa na police?
Ni Mnafiki tu....chezea dhambi ya kuasi.....Yeye ile list of shame alikwenda kutoa taarifa Polisi au TAKUKURU? Au anavyokomaa kuwa Lowasa ni fisadi kuna taarifa yoyote aliyoipeleka TAKUKURU?
Basi sawa, nitapiga kitu cha Luc Belaire hapa manake nipo na BabyBoss mtoto Tunda ambae Luc Belaire zikimuona tu, zinaanza kumwaga machozi... kwahiyo usipige rivas manake manake bill ya 200K inakusubiri!!Chige unatumia kinywaji gani. Agiza nitalipia
Yeye ile list of shame alikwenda kutoa taarifa Polisi au TAKUKURU? Au anavyokomaa kuwa Lowasa ni fisadi kuna taarifa yoyote aliyoipeleka TAKUKURU?
Wakati chadema inamtupa ulitegemea nini, silaha yako ukimuachia adui aichukue ujue haitokuacha salama.Huyu ni msaliti wa Ukatoliki, haaminiki hata kidogo. Achana naye. CCM damu sasa, what else do you expect na ameahidiwa ubalozi, hawezi kulikoroga. Kutoka kuosha vyombo hotelini, leo ni diplomat, hawezi kuuona ubaya wa Lisu kupigwa risasi na huyo anayetuhumiwa.
Una akili sanaYeye ile list of shame alikwenda kutoa taarifa Polisi au TAKUKURU? Au anavyokomaa kuwa Lowasa ni fisadi kuna taarifa yoyote aliyoipeleka TAKUKURU?
Waliomfulisha ninakina nani na Kwa sababu gani? Chama kilimuacha aendelee na ustaarab wake, sasa huo ndio ustaarab alouchukua. Tulishangilia sana kusikia kawa muuza bidhaa supamaket, tulitamani apotelee mbali kisa kamkataa Lowassa chamani. Sasa kaibukia kwingine ndio maana kinatuuma sana. Pole yetu sisiUkishakuwa mnufaika unaangalia maslai yako,yeye alishafulia hivo lzm aimbe nyimbo za kusifu na kuabudu,akienda kinyume na uteuzi utenguliwa,ili uchague ukamanda ukashindie Mihogo, au uimbe kusifu na kuabudu ili usogeze siku.
Mkono ulipopotolewa malalamiko dunia nzima kwa karne yote. Ije kua njugu?Eti jambo LA kawaida!Yeye alishapigwa risasi Mara ngapi?
Kaisha sahau kabisa kua aliapa kumfunga magufuli.Hajiamini.! ndio maana ni mzushi, na alishatuaminisha hadi leo kua nyumba za serikali ziliuzwa kwa bei ya kutupa, kwamba angeingia ikulu angempeleka muhusika mahakamami!
Hiki ni kizazi cha gizaNi kweli kabisa na kila siku nimeendelea kusema humu JF ya kuwa hakuna ushahidi wa kutosha unathibitisha mtu aliyemdungua Lissu risasi. Nikaendelea kuwapa member walalamishi wasiotaka kuelewa wakereketwa wa upande wa pili kama wana evidence wapeleke polisi haki itendeke washukiwa wafikishwe kortini.
Note;"huna haki ya kuzungumza pasipo kuwa na ushahidi wa kile unachokizungumza"