Dkt. Slaa: Tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi na watu ‘wasiojulikana’ ni jambo la kawaida

Dkt. Slaa: Tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi na watu ‘wasiojulikana’ ni jambo la kawaida

Hapo ndipo ninapochoka na hizi siasa zetu za ki-shithole....
 
Wanasiasa wana vipaji vikubwa vya unafiki!

Yy alipomtuhumu Lowassa kwa ufisadi mbona hakwenda kutoa taarifa police Badala yake aliishia kuongea na vyombo vya Habari? Au wakati huo hapakuwa na police?
amekubali kuwa anafanya kazi supermarket ila ni kubwa sana tena sana sio kama mlimani city
 
Yeye ile list of shame alikwenda kutoa taarifa Polisi au TAKUKURU? Au anavyokomaa kuwa Lowasa ni fisadi kuna taarifa yoyote aliyoipeleka TAKUKURU?
Ni Mnafiki tu....chezea dhambi ya kuasi.....
 
Siwezi kushangaa maana Slaa amekuwa mwanasiasa "mjinga"
 
Chige unatumia kinywaji gani. Agiza nitalipia
Basi sawa, nitapiga kitu cha Luc Belaire hapa manake nipo na BabyBoss mtoto Tunda ambae Luc Belaire zikimuona tu, zinaanza kumwaga machozi... kwahiyo usipige rivas manake manake bill ya 200K inakusubiri!!
 
From supermarket straight hadi kuwa balozi anaachaje kupayuka kwa maslahi ya tumbo lako. Njaa mbaya sana jamani usiombe ikukute

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Huyu ni msaliti wa Ukatoliki, haaminiki hata kidogo. Achana naye. CCM damu sasa, what else do you expect na ameahidiwa ubalozi, hawezi kulikoroga. Kutoka kuosha vyombo hotelini, leo ni diplomat, hawezi kuuona ubaya wa Lisu kupigwa risasi na huyo anayetuhumiwa.
Wakati chadema inamtupa ulitegemea nini, silaha yako ukimuachia adui aichukue ujue haitokuacha salama.
 
chige, BAK,

..Tz tunahitaji mwandishi wa habari kama Tim Russet wa kipindi cha " meet the press " cha Wamarekani.

..Tim Russet alikuwa ana tabia ya kuchimba rekodi ya mtu anayemkaribisha ktk studio za " Meet the Press."

..Kwa hiyo wakati wa kipindi anakuwa tayari na rekodi ya matamshi ambayo mhusika aliwahi kuyatoa kabla ya mahojiano kufanyika.

..Kwa mfano, kwenye suala la TL, Tim Russet angemuacha Dr.Slaa apotoshe kama alivyofanya, halafu anakuja kumtolea statement zake za zamani, na kumbana kwanini anabadilisha kauli na misimamo yake ya awali.
 
Ukishakuwa mnufaika unaangalia maslai yako,yeye alishafulia hivo lzm aimbe nyimbo za kusifu na kuabudu,akienda kinyume na uteuzi utenguliwa,ili uchague ukamanda ukashindie Mihogo, au uimbe kusifu na kuabudu ili usogeze siku.
Waliomfulisha ninakina nani na Kwa sababu gani? Chama kilimuacha aendelee na ustaarab wake, sasa huo ndio ustaarab alouchukua. Tulishangilia sana kusikia kawa muuza bidhaa supamaket, tulitamani apotelee mbali kisa kamkataa Lowassa chamani. Sasa kaibukia kwingine ndio maana kinatuuma sana. Pole yetu sisi
 
Haishangazi kwa mtu wa khaliba yake kusema hivyo.Haya ni maneno ya kawaida kwa mtu kama yeye lkn unyama alotendewa Lissu hauwezi kuchukuliwa kawaida...kama kanada kuuana ni kawaida basi asituletee huku
 
Inakuwaje Leo Dr. Slaa amegeuka kuwa shujaa kwa CCM. Huyu huyu Slaa alidai kuwa lori ya silaha imeingizwa na CCM toka mpaka wa Zambia ili kuwathibiti CHADEMA 2010 wakati wà uchaguzi.

CCM walisema Silaa ni mzushi. Leo amekuwa msema kweli?
 
Duuh na Mimi nikiteuliwa nitakuwa hivyo hivyo chezea vyeo wewe.jamaa unashangaa huyu ndio yule dokta slaa au mwingine
 
Ni kweli kabisa na kila siku nimeendelea kusema humu JF ya kuwa hakuna ushahidi wa kutosha unathibitisha mtu aliyemdungua Lissu risasi. Nikaendelea kuwapa member walalamishi wasiotaka kuelewa wakereketwa wa upande wa pili kama wana evidence wapeleke polisi haki itendeke washukiwa wafikishwe kortini.

Note;"huna haki ya kuzungumza pasipo kuwa na ushahidi wa kile unachokizungumza"
Hiki ni kizazi cha giza
 
Slaa ni wa kupuuza tu hana maana kabisa, anatoa shukrani kwa rushwa waliyompa aisambaratishe chadema. Kisiasa aliishajiishia kitambo na ni sawa na garasha.

Swala la Lissu ngoma bado mbichi.

No stone will be left unturned, it's just a matter of time. The potential culprits will one day be brought before justice to account for their crime, regardless of their social status.
 
Back
Top Bottom