Dkt. Slaa: Tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi na watu ‘wasiojulikana’ ni jambo la kawaida

Well said!
 
na wewe ni grit thinka aaah
 
Lile tukio la kukatwa korodani mlinzi wa dr.slaa mbona lissu alisema ni jambo la kawaida, babla jamaa zake kagenzi walilipiza?
 
Hapa ndipo inaponishinda siasa...


..Dr.Slaa amejibu kama BALOZI wa Tz.

..kwa wadhifa wake huwezi kutarajia atoe jibu tofauti na alilotoa.

..lakini pia kuna mahali Dr ameteleza.

..kama anadai tukio la TL kushambuliwa kwa risasi ni jambo la kawaida hata huko Canada, basi atueleze ni lini MNADHIMU wa kambi ya UPINZANI ya CANADA alishambuliwa kwa risasi wakati wa vikao vya BUNGE.
 
Hakuna anayesemaga ukweli kwa tanzania hii,viongozi wanafiki akiwa karibu anasema sahihi akiwa mbali anasema sio sahihi,
maisha bila unafiki hayaendi..
Hahahaha uwiii umenichekesha sana walahi!
 
Mkuu, kwenye criminal case kwa kawaida huwa kunakuwa na Potential suspects ......... sasa kinachozungumziwa humu ni potential suspects. Potential suspects naye huwa anaweza kujisafisha mwenyewe. Dr. Slaa must know better!!

Hata huko Canada anakokuzungumzia kama kuna potential suspect police huwa wanamfuata na kumhoji .... kama hakuna huwa wanajaribu kuto features au michoro tena hata hadharani ili raia wema wasaidie kuwaidentify wahalifu.

Kwa kawaida watu hawawezi kwenda tu police kutoa ushaidi unless wameombwa ..... kwa nini hawakutangaza number ambayo raia wanaweza kutoa taarifa kwa siri au hata kutoa posho ya million 10 kwa yule atakayesaidia kutoa ushahidi!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…