Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Wanyongwe hata kesho mchana hapo uwanja wa Mkapa. Hakuna mtu anayejitambua atakubaliana na uuzaji wa bandari. Tunataka wanyongwe mapema ili ushujaa na majina yao yabaki kuwa walipigania nchi hii hadi kuuwawa na majizi ya kura.
We taahira mbona mmeulizwa mtoe ushahidi wa Bandari iliyouzwa mmembwera mbwera tu
 
WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi

"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"

"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"

"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Hayo ni maneno ya Dk Slaa pekee kweli.
Kwa matamko hayo mkuu wa polisi bila kupata amri ya raisi alipaswa achukue hatua.Naasingefanya hivyo angejifukuzisha kazi na angekuwa adui wa ummaj yeye kwanza.
 
Tatizo la huyu Slaa ni Roho mbaya. Ana roho mbaya sana. Mungu hapendi wenye roho mbaya. Kizuizini huku abebe ndoo za vima.
 
Mimi ni Chadema damu lakini simsapoti huyu Mzee "pinga pinga".
Weye ni Haramia tu. Ni mamluki wa waporaji wa maliasili tu na ni mmoja wale wenye itikadi za Kiutenganishi.Ni CHADEMA feki tu wa kuchanganya watu.
 
Hatujawahi kupata Raisi mpole na mstaarabu kama Samia Suluhu Hassan halafu huyu Babu analeta za kuleta.

Ona sasa anaenda kubeba mtondoo
 
Hii video nimeshaitazama toka mwanzo, kwanza ni kipande kilichokatwa toka kwenye statement ambayo alikuwa anaitoa Dr. Slaa, akatolea mfano njia za kuipindua serikali kama ndio extreme, ambapo hakuna popote aliposema ataanzia Dodoma kufanya hivyo kama mleta uzi, muongo mwenzio alivyoandika kule juu kwenye uzi wake.

Nyie ni kundi la wafia dini, wenye chuki binafsi, msio na maana yoyote, miaka yote mmejipambanua kwa huu ujinga wenu.
Inaonekana hivyo kwa kweli. Sina mda mrefu hapa JF lakini naona kana kuna kikundi cha kuchafua critics wa Mh.Samia Suluhu na wanaonekana,again ni wenye muonekano wa wafiadini. This is dangerous kama wanatumiwa na watu wa Serikalini.
 
Weye ni Haramia tu. Ni mamluki wa waporaji wa maliasili tu na ni mmoja wale wenye itikadi za Kiutenganishi.Ni CHADEMA feki tu wa kuchanganya watu.
Mdomo mali yako bwana kuwa CHADEMA haina maana ya kusapoti Uhaini dhidi ya Nchi yangu Tanzania au kuunga mkono Mapinduzi.

Kuwa CHADEMA hakunifanyi nipinge uwekezaji kwenye Nchi yangu

Kwangu mimi always always TANZANIA kwanza Vyama baadae
 
Mdomo mali yako bwana kuwa CHADEMA haina maana ya kusapoti Uhaini dhidi ya Nchi yangu Tanzania au kuunga mkono Mapinduzi.

Kuwa CHADEMA hakunifanyi nipinge uwekezaji kwenye Nchi yangu

Kwangu mimi always always TANZANIA kwanza Vyama baadae
Umeongea jambo la maana sana.

Chadema isitumiwe kuwa chanzo cha machafuko nchini.
Huyu Slaa anatakiwa kunyongwa haraka sana ili wengine wajifunze adabu.
 
Umeongea jambo la maana sana.

Chadema isitumiwe kuwa chanzo cha machafuko nchini.
Huyu Slaa anatakiwa kunyongwa haraka sana ili wengine wajifunze adabu.
Napendekeza huyo Babu atafutiwe Basha huko Gerezani ili akitoka atoke na Bawasiri ashindwe hata kukaa kitako na kupanga Mapinduzi mengine.
 
Hayo mtasaidiana wewe na Dr slaa kueleza majaji huko mahakamani hapa JF siyo mahakama.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
- halafu kesi haisikilzwi na majaji ni jaji mmoja tu, except kesi za kikatiba tu
Ulishamsikia Rais katia lake?

Mmepakaza wenyewe mkayazowe sasa, mama wala hana habari, anapewa briefing tu.
- tumia akili kidogo, kesi ya uhaini anayetaka kupinduliwa ni Rais, na huyo impliedly ndio mlalamikaji,
 
Back
Top Bottom