Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani yupo? Sijamsikia wiki sasa.Aende wapi Jemadari wetu Tundu Lissu?
Weka video yote au link yake. Hicho ki clip kifupi hakioneshi alikuwa kaulizwa swali gani na huyo mwandishi wa habari, wameanzia wapi, alikuwa ana refer nchi gani specifically au ni general statement tu na kadhalika. Kama ni kweli basi adhabu ya kunyongwa hadi kufa inamsubiri unless madaktari wagundue kwamba ana ugonjwa wa akili (schizophrenic mental disorder).
Unakidharau hicho ki clip tu? Uhaini ni kosa ambalo huwepo kabla halijafanyika.Kuna umuhimu wa kutathmini kwa kina muktadha ambao daktari ameshtakiwa kwa uchochezi/uhaini.
Video ya sekunde tisa
inayomshirikisha Dk ikisema hayo aliyoyasema kama ushahidi won't hold in a court of lawa.Hatahivyo, ni muhimu kuzingatia yote kabla ya kudandia mahitimisho ya makuwadi wa DP.W
Ni muhimu kutathmini mashtaka ya uchochezi/uhaini wa DKt Slaa ndani ya muktadha mpana.
Haki zitendeke.
Naona Maridhiano yamempoza.Kwani yupo? Sijamsikia wiki sasa.
Huyo kisha changanyikiwa ni wakuonewa huruma tu.
Hayo mtasaidiana wewe na Dr slaa kueleza majaji huko mahakamani hapa JF siyo mahakama.- unatakiwa kuelewa kiini cha Dr slaa kuongea hayo aliyoongea ni Kupinga mkataba wa Bandari, kiini hapo ni Bandari
Hii video nimeshaitazama toka mwanzo, kwanza ni kipande kilichokatwa toka kwenye statement ambayo alikuwa anaitoa Dr. Slaa, akatolea mfano njia za kuipindua serikali kama ndio extreme, ambapo hakuna popote aliposema ataanzia Dodoma kufanya hivyo kama mleta uzi, muongo mwenzio alivyoandika kule juu kwenye uzi wake.Nilijua tu nyie wakenya mnapata tabu sana kuona Tanzania imetulia.
Nakuwekea video tena kwa mara ingine uone huyo Slaa kasema nini.
Huyu ni wa kunyonga tu.
Tazama hio video halafu nambie. Huyu anatakia mema nchi yetu?
Huyo Wambura ndie aliwatuma mkatengeneze hiyo clip?Sasa unatutuhumu sisi kwa usanii, wakati Wambura alitangaza kabla? Au ulidhani alikuwa anatania?
Kumradhi, hivi una Nia kweli siku moja uje kuwa kiongozi wa Watanzania kwenye ngazi yoyote?Mwakubusi ameyatimba, kafutwa uwakili, kajieka kwenye matatizo makubwa, hivi angetulia zake maisha yaende kama na hela anayo angepungukiwa nn?
Yani wewe hujui hata nini kinajadiliwa hapa! Umeisoma thd lakini?Kupinga kuuzwa kwa bandari ni Uhaini[emoji3][emoji3][emoji3]Black people bhanaa kweli bara la gizaa
Kama kitengo kilisubili slaa aongee hayo ili wamkamate basi kitengo kipo very low standard.Kitengo kilikuwa kinamlia chabo tu mwishowe kajaa mwenyewe kwenye 18 zao[emoji38][emoji38]
Wacha ujinga, wapelekwe mahakamani, hakuna kuanza kujiliza hapa na ushahidi wenu wa kutungia madrassa.Ushauri wangu, watu wafanye kama walivyofanya Mbowe, Lussu na Lema, watume watu kimya kimya waombe radhi kwa mama, atowe amri watolewe. Nje ya hapo? Tutakesha sana.
Labda Dr.mihogo alikuwa kalewa hata sisi tunamshangaa mtu unapinga bandari lakini unahamasisha mapinduzi wapi na wapi? Mbona wapinga bandari wengi tu hawajakamatwa shivji, tibaijuka , mbowe, lissu sijui butiku n.kKupinga kuuzwa kwa bandari ni Uhaini[emoji3][emoji3][emoji3]Black people bhanaa kweli bara la gizaa
Tuwekee original clip tuione.Huyo Wambura ndie aliwatuma mkatengeneze hiyo clip?
Kisha muiongezee na maneno yenu ya uongo yasiyoendana na kile alichozungumza Dr Slaa?
Hamna akili.
Hawa ni kundi la wajinga wanaoongozwa na mihemko ya udini miaka yote.Weka video yote au link yake. Hicho ki clip kifupi hakioneshi alikuwa kaulizwa swali gani na huyo mwandishi wa habari, wameanzia wapi, alikuwa ana refer nchi gani specifically au ni general statement tu na kadhalika. Kama ni kweli basi adhabu ya kunyongwa hadi kufa inamsubiri unless madaktari wagundue kwamba ana ugonjwa wa akili (schizophrenic mental disorder).
Wewe ni mjinga kama wenzako, mmejaza maneno ya uongo yasiyoendana na kile alichosema Dr. Slaa.Tuwekee original clip tuione.
Karibu mkuu baada ya kupotea kipindi chore Cha urais wa JPMWANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi
"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"
"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"
"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"