Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Rudi juu post #6 utamuona Dr.slaa anavoropoka kwa jazba.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Nimeiona hiyo post #6, ni video fupi ambayo haithibitishi kila neno aliloandika mleta mada pale juu, akidai ndio maneno yaliyotamkwa na Dr. Slaa..

Mna akili ndogo, mnashangilia vitu visivyo na ushahidi kama watoto..
 
Huu ushahidi hautoshi kuthibitisha madai ya mleta mada, huyo Dr. Slaa amezungumza maneno machache ambayo hata sekunde kumi hazijafika, halafu mmekata maneno ili kutimiza malengo yenu ovu dhidi yake.

Mlichofanya hapo ni utoto.
Inasemekana wamenaswa kwenye maongezi ya simu zilizodukuliwa.
 
WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi

"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"

"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"

"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Kwa kesi ya uchochezi labda wangeweza kumpata. Lakini kosa la uhaini hata mimi ningekuwa ndio wakili mzee anashinda mapema sana. Kuipindua serikali ya nyumbani kwake, haijawahi kuwa uhaini. Hapa mwendesha mashtaka atakuwa na wajibu wa kuthibitisha Slaa alitaka kuipindua serikali ya jamhuriya muungano wa Tanzania.
Lengo kubwa la mashtaka haya ni kuwatesa wahusika ili kuwatia woga watu wengine wenye nia ya kuipinga serikali ktk suala la uwekezaji ktk bandari.
 
Hatupo mahakamani hapa.

Jiulize kwanini Slaa kabadilishiwa shtaka baada ya kufanyiwa upekuzi nyumbani kwake? Na kwanini katolewa na kupelekwa Mbeya?

Haya mambo si madogo.

Tunangoja sasa na wa mikoa mengine. Hao naona itakuwa kimya kimya, tunawastukia mahakamani tu.
Kubadilishiwa mashtaka sio justification ya huu usanii mlioleta hapa, msijidanganye kama watoto wadogo kwa mihemko yenu ya kidini.
 
watu weusi tunashida sana..

Hoja zao juu ya mkataba wa dp world zijibiwe kwa hoja sio mabavu na mkono wa chuma. Nchi ni yetu wote, nia yao IPO clear kabisa ni kujaribu kulinda rasilimali za nchi.
Hoja za DP World zinahusisha kupindua Serikali?

Mkataba wa Bandari sio kichaka cha kuleta agenda za kishenzi …wangapi wamejadili na kupinga mkataba na bado wanaendelea kupinga na hawajaguswa ?

Marekani waasisi wa Demokrasia wana deal na Trump kwa jaribio kama hilo akiwa Rais sembuse sie Nchi ya Dunia ya elf 3
 
Inasemekana wamenaswa kwenye maongezi ya simu zilizodukuliwa.
Mbona hujielewi, kwa hiyo ushahidi ni video uliyotuwekea pale juu, au ni hiyo simu iliyodukuliwa?

Kubanwa kidogo tu, unaanza kuhamisha magoli, nyie ni wajinga.
 
Nimeiona hiyo post #6, ni video fupi ambayo haithibitishi kila neno aliloandika mleta mada pale juu, akidai ndio maneno yaliyotamkwa na Dr. Slaa..

Mna akili ndogo, mnashangilia vitu visivyo na ushahidi kama watoto..
Aise umetaka nimekuonesha bado unalalamika ni fupi unataka ndefu wewe mbona unapenda ndefu sana?

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Afadhali hata Mdude kazoea jela huyo Mzee anaweza kufia huko
 
WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi

"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"

"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"

"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Aya zote nne ni maneno kutoka kwa Dr. Slaa?

Kasheshe duh
 
WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi

"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"

"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"

"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Mkuu Ritz mbona unavuka mipaka kwa kuweka maneno ambayo watanzania hawajayasikia yakitamkwa na huyo mtu kwenye vyombo vya habari recently? Nia ni nini hasa?!🤔
Je kutetea mirija ambayo mlishajijengea kwa njia zenu?
Je nia ni kuona damu ya wanaowapigania watanzania walio wengi ikimwagika kwa maslahi ya wachache?
Hii nchi ni ya wote, kila mtu ana haki ya kuongea kile kinachomjia kichwani na akivuka mipaka arekebishwe as long as kuna tatizo linalotakiwa kupatiwa muafaka.
Mbona mmefika huko kabla ya kujibu hoja za wenye maswali?
Laana itawatafuna, Kama sio nyinyi bhasi watoto wenu hakika nawaambia. It's just a matter of time
 
Mwakubusi ameyatimba, kafutwa uwakili, kajieka kwenye matatizo makubwa, hivi angetulia zake maisha yaende kama na hela anayo angepungukiwa nn? 😂😂, Hivi nikifiria jinsi kuwa wakili ilivyokuwa ngumu, Yani upige vizuri advance, chuo uishone kwelikweli, school of law ule mtihani wao mgumu kumeza utoboe, bado uchaguliwe na judge mkuu, uoneshe juhudi uwe wakili, af kisa mambo ya serikali ufutwe uwakili...dooh!!
Umesahau Nyerere aliacha kazi yake, Madela alifungwa gerezani, Kenyatta alifungwa gerezani. Hawa hawakuwa na shida ya pesa, wala njaa, bali walisukumwa na uzalendo.
 
Kweli baadhi ya vipengele baina ya serikali na DP World vinachangamoto lakini ni kipi kilichowasukuma mpaka watoe kauli za namna hiyo?

Swali lisiwe kwamba je wana uwezo wa kupindua? Swali liwe Kipi kilochowasukuma wao kutoa kauli za kuchochea kufanya mapinduzi?
Mbele ya sheria kosa lao ni uhaini au ni uchochezi?
 
Back
Top Bottom