Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Aliokwambia raisi wa Tanzania anakataliwa kwa kura za wananchi ni nani? Raisi aliyesema kwa kinywa chake kuwa hata msipoichagua CCM ifashinda tu. 🤣🤣🤣Wanachi hata Mbowe walimkataa, alitembea nchi nx8ma kuomba kura, akabwagwa vibaya sana na Kikwete kwa kura 80%, akaja Slaa na yeye akatembea nchi nzima akabwagwa vibaya sana.
Mjitahidi sana kwenda na sheria na kanuni za nchi. 2025 siyo mbali, kama wananchi wameukataa mkataba, si mnambwaga Rais kwenye kura? Tatizo nini?
You must be a DAMNED FOOL