Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Mwisho wake ni Katiba mpya tu.
Hakuna uwezekano wa kupatikana kwa katiba mpya kwa njia ya maridhiano ya kisanii. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi pekee ndio yataleta katiba ya kweli ya wananchi.
 
Dkt Slaa siyo mpumbavu aongee maneno hayo. Watetezi wa DPw mmetengeneza script ili kuharass watetezi wa watanzania against their resources.

Slaa ni mwanasiasa wa muda mrefu, diplomat na mwanasheria ambaye anajua Sheria ya nchi. Hawezi kuongea namna hiyo. Acheni propaganda. Weka clip tusikie.
Unapima vipi uadilifu wa mtu Kama Slaa ambaye aliuza utu wake kwa kipande Cha mkate kipindi Cha Magufuli na ndiyo huyo huyo alipigilia msumari ugaidi wa mbowe hadi kusema CDM wanatekana alikua anasikilizia mchongo wa teuzi imegoma akapokea mkate wa wapinga BANDARI acha atapik3 alivyokula tangu alipoasi upadri.
 
Hakuna uwezekano wa kupatikana kwa katiba mpya kwa njia ya maridhiano ya kisanii. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi pekee ndio yataleta katiba ya kweli ya wananchi.
Mapinduzi yatageuka vita vya udini ukabila hakuna atakaeshinda
 
Na ndiyo lengo la mama Abdul. Ameogopa hoja walizokuwa wanampiga kuhusu mkataba akaona atumie dola ili kunyamazisha mjadala. Hapa hata ungekuwa kilaza kama mama Abdul unajua kabisa hakuna kesi ila ni kukomoa.
Ile mipango iliyowekwa post namba 1 vipi?
 
Alhamdulillah…
Msililize Dr Slaa.
Hivi kwanini Kikwete alikuwa hamkamati Dr Slaa wakati wa utawala wake na kipindi hicho Dr Slaa alikuwa anavujisha taarifa na document nyeti za nchi!
Siyo kwamba Mama anatengenezewa zengwe na yeye anaingia kichwakichwa?
 
Enough is enough. Hizo mahakama zinazolinda tawala za wezi sasa zinakaribia mwisho wake.
kifungu cha 39, kifungu kidogo cha kwanza kimetaja vitu viwili, mtu yeyote atakayemuua Rais wa nchi atahesabika kama mhaini, mtu yeyote au kikundi chochote kitakachotangaza vita kitahesabika kama ni uhaini.
 
Hivi kwanini Kikwete alikuwa hamkamati Dr Slaa wakati wa utawala wake na kipindi hicho Dr Slaa alikuwa anavujisha taarifa na document nyeti za nchi!
Siyo kwamba Mama anatengenezewa zengwe na yeye anaingia kichwakichwa?
Alikuwa kazini. Usikute hata sasa yupo kazini.
 
Hiyo kauli ni zaidi ya uhaini.

Hiyo kauli ilikuwa inahitaji afinywe hapo hapo walipomkuta, kama ilivyotokea huko Utah USA hivi majuzi.
Ata Mama kwa ule mkataba alipaswa awe amejiuzuru,ule ni uhaini!
 
Hakuna uwezekano wa kupatikana kwa katiba mpya kwa njia ya maridhiano ya kisanii. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi pekee ndio yataleta katiba ya kweli ya wananchi.
Mwenzako Dr mihogo kaongelea kwenye press nia ya kufanya mapinduzi. Wewe unaongelea mapinduzi JF tena kwa fake ID utafanikiwa kweli?

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Huyu Raisi mjanja sana kawasubiri Wanaharakati mpaka wamejaa wenyewe kama Senene halafu akawanyaka[emoji16]

Tundu Lissu alikuwa anaprovoke bila kuvuka red line[emoji38]
Kawanyaka kwa ushahidi gani? hayo maneno matupu aliyotunga huyo Ritz hapo juu yasiyo na ushahidi wowote wa sauti?

Tumia akili, usichezewe kama mtoto mdogo na wajinga.
 
Kweli baadhi ya vipengele baina ya serikali na DP World vinachangamoto lakini ni kipi kilichowasukuma mpaka watoe kauli za namna hiyo?

Swali lisiwe kwamba je wana uwezo wa kupindua? Swali liwe Kipi kilochowasukuma wao kutoa kauli za kuchochea kufanya mapinduzi?
Wapi Dr. Slaa ametamka hayo maneno aliyoandika mleta mada aliyejitungia?
 
Usiwe kama mjinga wewe. Wamekata clip. Hii ni press aliyoitoa hadharani na alikuwa anazungumzia jambi jingine kabisa.
Hao wajinga wamezoea kusema uongo halafu thread zao zikifutwa wanalalamika mods wakristu!

Ni wapuuzi wakutupwa.
 
Back
Top Bottom