Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Mnahangaika bure kama vile hamuijui Tanzania hamna kesi hapo
Subirini muarabu anze kazi hizo kesi zote zitaisha
 

@Farolito


Lugha nyengine zinakuweka mahali pabaya , kwa hiyo suggestion yako hata aje ajikwamuwe hasara yake ni kubwa , ya wakati na afya yake. Mzee kama huyo kusekwa lupango ni noma
 
Hizo kauli zinatisha, zinaonesha na kuashiria ntandao ni mkubwa.

Raia wote wapenda amani tuwe macho sana.
 

@Farolito


Lugha nyengine zinakuweka mahali pabaya , kwa hiyo suggestion yako hata aje ajikwamuwe hasara yake ni kubwa , ya wakati na afya yake. Mzee kama huyo kusekwa lupango ni noma
Hizo ni gharama ambazo hata yeye anazijua na alikuwa yupo tayari kuzibeba,hata wakati anapekuliwa na polisi aliongea,kwahio sioni cha ajabu,hata mtaani unaweza kusingiziwa chochote lakini baadae ukweli utashinda tu,
 
Mwakubusi ameyatimba, kafutwa uwakili, kajieka kwenye matatizo makubwa, hivi angetulia zake maisha yaende kama na hela anayo angepungukiwa nn? 😂😂, Hivi nikifiria jinsi kuwa wakili ilivyokuwa ngumu, Yani upige vizuri advance, chuo uishone kwelikweli, school of law ule mtihani wao mgumu kumeza utoboe, bado uchaguliwe na judge mkuu, uoneshe juhudi uwe wakili, af kisa mambo ya serikali ufutwe uwakili...dooh!!
Fua nguo za shemeji yako wewe
 
Kweli baadhi ya vipengele baina ya serikali na DP World vinachangamoto
Hata Kikwete kasema kama kuna vipengele vina changamoto dawa ni kuvirekebisha.

Sasa huyu Babu anakimbilia kwenye MEDIA na kupendekeza Mapinduzi.
 
Dkt Slaa siyo mpumbavu aongee maneno hayo. Watetezi wa DPw mmetengeneza script ili kuharass watetezi wa watanzania against their resources.
Slaa ni mwanasiasa wa mda mrefu, diplomat na mwanasheria ambaye anajua Sheria ya nchi. Hawezi kuongea namna hiyo. Acheni propaganda. Weka clip tusikie.
alitamka hayo na video ipo
 
WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi

"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"

"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"

"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Nchi ngumu sana hii;ni sawa na Job alivyotumwa na kambi fulani ku-test mitambo Ili wajue kama Mama atagombea,naye Mama akaingia kichwakichwa,atimaye wakajua kuwa Mama ana Mpango wa kuendelea 2025,sasa wanamchezesha Segere ili ikifika wakati amwagwe.
Hivi hamjiulizi kwanini mikataba yoote serikali imeshawai kuingia pamoja na ubovu wake lakini haijawai kuvuja!
Lakini pia Dr Slaa ni Mzee wa Spinning mzuri sana kama alivyotaka kubadilisha upepo mwaka 2015 uchaguzi Mkuu.
Kwaiyo ata hili la Bandari atakuwa katumwa;hivi Afrika hii ya mtu mweusi,wapi uliona Raia wa kawaida wanapindua serikali,tumezoea kuona Majeshi yakifanya hiyo kazi.Kwanza Mtanzania gani anaweza kuandamana
Hapo hamna kesi,ni usanii tu!
 
Kuna clip nimeona amesema “the extreme” ni kupindua nchi.

Kuna sehemu amesema atapinduwa nchi uweke hapa wengine tuone?

Kwasababu naona upotevu mwingine wa pesa za kodi kwenye kesi ambayo haina mashiko.

Hakuna kesi hapo. Unless uweke clip hapa anayosema atapinduwa nchi.
Bendable basi kamtetee mahakamani. Muonee huruma, umri mkubwa.
 
Sasa Mkuu unatishia kuiondoa madarakani serikali ya mwenzako imma uwe na nguvu au usiwe na nguvu unategemea atakufanya nini? Tutumie logic tu unafikiri atakufanya nini?

Kwa sababu hapo haitaangaliwa tofauti isipokuwa ni uzito wa kauli.

Mnajua jinsi serikali zinavyopinduliwa? Serikali inapinduliwa kwenye press conference au kwenye group la whatsapp? Unamjua Desire Laurent Kabila? Unajua Mu7 alivyopindua serikali Uganda? Hao walipindua kwenye press conference?
 
Ishu iliobaki ni moja tu, kama mkataba wa dp world una manufaa yanayosemwa, na hauwezi kurekebishika, kwahiyo fuatia madai ya msingi ya wahaini mkataba urekebishwe, basi na bandari za Zanzibar zijumuishwe kwny mkataba ili tunufaike wote
 
Ingekuwa ni serikali iliyoko madarakani kwa uchaguzi halali ungekuwa na hoja, sio kwa uhayawani ule wa 2020.

Kwa sasa ni bora yatokee machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi maana box la kura linaishia kuingiza wezi madarakani.
 
Dr slaa
Kapelekwa mbeya inasemekana Kwa kosa la uhaini

Uhaini ,aliupangiaje mbeya alihali anaishi dar
 
Back
Top Bottom