Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajaribu kutwist kwani mimi nilisema uliandika kuhusu utetezi ??Aliyesema juu ya utetezi ni nani? Si wewe? Na kwani nimesema tusisubiri mawakili? Onyesha popote niliposema tusisubiri mawakili lasivyo wewe ni just another idiot!
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaSerikali ipi sasa?,maana haijatajwa hapo kama ni serikali ya instagramu?hio kesi haina mashiko
Kwa namna alivyokuwa akiongea , usiku mchana yuko kwenye clubhouse , nilianza kutilia mashaka , mzee kadata 😛 😛Huyu Babu kukurupuka koote kule hatimae kajiingiza kwenye kitanzi gereza la Uyui Tabora😆
Haloo tambaa huko. Usizoee wewe idiot!Unajaribu kutwist kwani mimi nilisema uliandika kuhusu utetezi ??
SikizaDkt Slaa siyo mpumbavu aongee maneno hayo. Watetezi wa DPw mmetengeneza script ili kuharass watetezi wa watanzania against their resources.
Slaa ni mwanasiasa wa mda mrefu, diplomat na mwanasheria ambaye anajua Sheria ya nchi. Hawezi kuongea namna hiyo. Acheni propaganda. Weka clip tusikie.
hizo lugha ndio zimemfikisha boss wenu pabayaHaloo tambaa huko. Usizoee wewe idiot!
Kitengo kilikuwa kinamlia chabo tu mwishowe kajaa mwenyewe kwenye 18 zao😆😆Kwa namna alivyokuwa akiongea , usiku mchana yuko kwenye clubhouse , nilianza kutilia mashaka , mzee kadata 😛 😛
Kwenye swala la bandari, umeamua kujitoa ufahamu. Na umeingiza ushabiki usioisaidia nchi.Wanachi hata Mbowe walimkataa alitembea nchi kuomba kura, akabwagwa vibaya sana na Kikwete, akaja Slaa na yeye akatembea nchi nzima akabwagwa vibaya sana.
Mjitahidi sana kwenda na sheria na kanuni za nchi. 2025 siyo mbali, kama wananchi wameukataa mkataba, si mnambwaga Rais kwenye kura? Tatizo nini?
Bora wanyongwe tu huko huko wasirudi uraiana kwasababu hawaioni thamani ya Amani tulio nayo, yeye kapata nguvu ya kurudi nchin kwasababu kuna amani, hakuna mapinduzi bila damu kumwaga ni bora imwagwe yake yeye na hao wapuuzi wenzake kwaajili ya amani ya nchi na watu wake, huyo ni Mhaini.View attachment 2718158
Mzee mtondoo ataubeba sana
"Akiendelea hivi", umemaanisha akiendelea vipi?Kuna jambo litafanyika kama Samia akiendelea hivi.
Nyuma ya keyboard?Samia must go!!!
Sisi kama Raia wema wa Taifa hili bila kujali vyama wala itikadi zetu tuwakemee wahaini wote au wale wenye nia ya uhaini katika roho zaoBora wanyongwe tu huko huko wasirudi uraiana kwasababu hawaioni thamani ya Amani tulio nayo, yeye kapata nguvu ya kurudi nchin kwasababu kuna amani, hakuna mapinduzi bila damu kumwaga ni bora imwagwe yake yeye na hao wapuuzi wenzake kwaajili ya amani ya nchi na watu wake, huyo ni Mhaini.
Jela ndio nyumbani kwake , asubuhi , mchana , usiku ni muhogo 😛Wasisahau kumpelekea chakula chake pendwa huko Jela huyu Babu kwa Mihogo ni noma.
Mengine nadhani ni ya Mahakamani.Hayo maneno mbona umeongeza wewe sio Dr.Slaa?,yeye kasema serikali tu kaishia hapo,serikali kali ipi hapo ndio kesi inaishia hapo,ni kama Lissu wakati fulani alishtakiwa kwa kusemaJPM ni dikteta uchwara,shida ilikuwa kuthibitsha alimaanisha JPM yupi au ni kitu gani,maana polisi walijua ni Magufuli,wakaambiwa kamleteni huyo JPM mnayemsema,kesi ikawashinda,Maana JMP inaweza kuwa hata John Pombe Maharage nk
Tatizo siyo alikuwa wapi, tatizo kayasema au hakuyasema?Hizo kauli ama hayo maneno aliyasema akiwa wapi?