Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Yaani na wewe unaingizwa king na AIGIPI Wambura? Unajua kumpindua Rais ilivyo? Hivi kwa akili yako Mdude,Mwabukusi na Slaa wanaweza kupanga kumpindua Rais hata akiwa nyuma ya huyo Mtu?
Tusipinge kwa vile tunaichukia CCM. Kama ni watu tunaopenda ukweli tusimamie ukweli.

Kauli walizozitoa kwa serikali iliyo madarakani iwe tunaipenda au laa ni kauli za kiuchochezi! Hatukatai kuna changamoto kwenye mkataba lakini kauli walizozitoa ni za gharama sana!

Vipi kama Chadema ingelishika madaraka halafu mwana CCM atamka maneno hayo serikali iliyomo madarakani ingelichukua hatua gani?
 
WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi

"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"

"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"

"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Kumpindua Rais siyo kitu rahisi kama kupindua Sahani iliyojaa Makange ya Kitimoto. Kuweni serious sometimes
 
WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi

"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"

"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"

"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Hizo kauli zinaonesha wamejipanga Tanzania nzima.

Wasakwe na wawekwe ndani wote, Tanzaania Rais anaondoka kwenye sanduku la kura au awe "impeached" au amalize muda wake.

Hatutaki kabisa kuishi roho mkononi, Watanzaniamsifikiri waala msidhani hata kidogo Rais akitolewa kwa kupinduliwa ndiyo nchi inakuwa kwenye maani, hapo mnaongelea miaka na miaka ya machafuko.

Huu uppuuzi wao ni lazima watafutwe walio nyuma yao, pembeni yao na kwengine popote wakajibu tuhuma mahakani.


Kuna wengine washaikimbia nchi.
 
Tusipinge kwa vile tunaichukia CCM. Kama ni watu tunaopenda ukweli tusimamie ukweli.

Kauli walizozitoa kwa serikali iliyo madarakani iwe tunaipenda au laa ni kauli za kiuchochezi! Hatukatai kuna changamoto kwenye mkataba lakini kauli walizozitoa ni za gharama sana!

Vipi kama Chadema ingelishika madaraka halafu mwana CCM atamka maneno hayo serikali iliyomo madarakani ingelichukua hatua gani?

Hizo ni kauli tu za wanasiasa hazina impact yeyote,wanasiasa wanatoa kauli nyingi za uchochezi lakini hawajafikia hatua ya kuitwa wahaini....Kumpa mtu kesi ya uhaini aua uhujumu uchumi ni uoga tu wa serikali wa kutaka kumyamazisha.
 
Tutolee akili finyu za funza.... Mmetembea Nchi nzima kuupigia debe Mkataba wananchi tumewakataa... Maviii nyie
Wanachi hata Mbowe walimkataa, alitembea nchi nx8ma kuomba kura, akabwagwa vibaya sana na Kikwete kwa kura 80%, akaja Slaa na yeye akatembea nchi nzima akabwagwa vibaya sana.

Mjitahidi sana kwenda na sheria na kanuni za nchi. 2025 siyo mbali, kama wananchi wameukataa mkataba, si mnambwaga Rais kwenye kura? Tatizo nini?
 
Weka link. Kama huwezi wachana nayo, yaliyowekwa haoa yanatosha kabisa, wakili yoyote kuamuwa wana kesi ya kujibu.

Watadunda nenda rdi mahabusu na mahakamani mpaka uchunguzi ukamilike.
Na ndiyo lengo la mama Abdul. Ameogopa hoja walizokuwa wanampiga kuhusu mkataba akaona atumie dola ili kunyamazisha mjadala. Hapa hata ungekuwa kilaza kama mama Abdul unajua kabisa hakuna kesi ila ni kukomoa.
 
Hizo ni kauli tu za wanasiasa hazina impact yeyote,wanasiasa wanatoa kauli nyingi za uchochezi lakini hawajafikia hatua ya kuitwa wahaini....Kumpa mtu kesi ya uhaini aua uhujumu uchumi ni uoga tu wa serikali wa kutaka kumyamazisha.
Tuoneshe lini na wapi kuna kauli zingine za kisiasa kama hizo.
 
Hata kama mimi siyo mwanasheria, maneno aliyozungumza Dk.Slaa hayatoshi kumtia hatiani kwa kosa la uhaini, ilikuwa lazima Polisi wawe wameona viashiria au kuna njama kweli za kuipindua serikali.
Ni afadhari hata angeshitakiwa kwa kosa la uchochezi hapo kidogo kesi hiyo ingekuwa na maana.
Nafikiria mfano mtu akisema nitakuua! Sidhani kama anaweza kushitakiwa kwa kosa la mauaji kama hajatekeleza mauaji hayo au hakuna mazingira yanayothibitisha kwamba kweli anaweza kuua.
Labda wanasheria watusaidie katika hili.
Kawe wakili wake dada
 
Hizo ni kauli tu za wanasiasa hazina impact yeyote,wanasiasa wanatoa kauli nyingi za uchochezi lakini hawajafikia hatua ya kuitwa wahaini....Kumpa mtu kesi ya uhaini aua uhujumu uchumi ni uoga tu wa serikali wa kutaka kumyamazisha.
Sasa Mkuu unatishia kuiondoa madarakani serikali ya mwenzako imma uwe na nguvu au usiwe na nguvu unategemea atakufanya nini? Tutumie logic tu unafikiri atakufanya nini?

Kwa sababu hapo haitaangaliwa tofauti isipokuwa ni uzito wa kauli.
 
Back
Top Bottom