Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti nchi inapinduliwa kwa maneno! Huyu mama ana inferiority complex mbaya sana.Hivi mnadhania kumpindua Rais ni easy kama kumpindua mke?
Hiyo kauli ni zaidi ya uhaini.WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano...
Nadhani tuiachie MahakamaHizo kauli ama hayo maneno aliyasema akiwa wapi?
Ilikuwa ni press conference na wamekata sehemu kubwa ya alichokuwa anaelezea ili lengo lao lifanikiwe. Kuna mtu anapanga kupindua serikali kwa kuitisha press?Hizo kauli ama hayo maneno aliyasema akiwa wapi?
Kauli ya juu ni ya SlaaDr Mihogo mweke pembeni, hao wengine je?
Kauli hii ni ya MdudeNajua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"
Kauli hii ameitamka wakili MwabukusiUfanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima
tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa...
Mama anakifua haswa kamuacha mpaka kajaa mwenyewe kwenye 18 sasa hiyo ngoma mwenye hamu nae aingie nae akaichezeEti nchi inapinduliwa kwa maneno! Huyu mama ana inferiority complex mbaya sana.
Mwakubusi ameyatimba, kafutwa uwakili, kajieka kwenye matatizo makubwa, hivi angetulia zake maisha yaende kama na hela anayo angepungukiwa nn? 😂😂, Hivi nikifiria jinsi kuwa wakili ilivyokuwa ngumu, Yani upige vizuri advance, chuo uishone kwelikweli, school of law ule mtihani wao mgumu kumeza utoboe, bado uchaguliwe na judge mkuu, uoneshe juhudi uwe wakili, af kisa mambo ya serikali ufutwe uwakili...dooh!!WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi
Huenda kuna vikosi keshaviandaa huyo Mzee aseme vizuri.
Majeshi yetu yana nidhamu ya hali yajuu hayawezi kumsikiliza huyu Mzee aliyechanganyikiwa.
"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"
"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"
"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Iweke wewe kamili hapa, wengine hatujaiona wala kuisikia, isipokuwa vi clip vidogo vinavyosambaa whatsapp.Ilikuwa ni press conference na wamekata sehemu kubwa ya alichokuwa anaelezea ili lengo lao lifanikiwe. Kuna mtu anapanga kupindua serikali kwa kuitisha press?
Kuna clip nimeona amesema “the extreme” ni kupindua nchi.Huenda kuna vikosi keshaviandaa huyo Mzee aseme vizuri.
Majeshi yetu yana nidhamu ya hali yajuu hayawezi kumsikiliza huyu Mzee aliyechanganyikiwa.
Mama huyu huyu wa waarabu?Mama anakifua haswa kamuacha mpaka kajaa mwenyewe kwenye 18 sasa hiyo ngoma mwenye hamu aingie nae akaicheze
Kweli baadhi ya vipengele baina ya serikali na DP World vinachangamoto lakini ni kipi kilichowasukuma mpaka watoe kauli za namna hiyo?Ilikuwa ni press conference na wamekata sehemu kubwa ya alichokuwa anaelezea ili lengo lao lifanikiwe. Kuna mtu anapanga kupindua serikali kwa kuitisha press?
Ile aliyofanya wakati wanatoa tamko la Samia kukabidhi sovereignty yetu kwa magaidi wa kiarabu. Itafute Youtube.Iweke wewe kamili hapa, wengine hatujaiona wala kuisikia, isipokuwa vi clip vidogo vinavyosambaa whatsapp.
Usiwe kama mjinga wewe. Wamekata clip. Hii ni press aliyoitoa hadharani na alikuwa anazungumzia jambi jingine kabisa.Kweli baadhi ya vipengele baina ya serikali na DP World vinachangamoto lakini ni kipi kilichowasukuma mpaka watoe kauli za namna hiyo?
Swali lisiwe kwamba je wana uwezo wa kupindua? Swali liwe Kipi kilochowasukuma wao kutoa kauli za kuchochea kufanya mapinduzi?
Hapo ni kuingilia Mahakama mwenye uchungu na Dr Slaa amuongezee WanasheriaKuna clip nimeona amesema “the extreme” ni kupindua nchi.
Kuna sehemu amesema atapinduwa nchi uweke hapa wengine tuone?
Kwasababu naona upotevu mwingine wa pesa za kodi kwenye kesi ambayo haina mashiko.
Hakuna kesi hapo. Unless uweke clip hapa anayosema atapinduwa nchi.