Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Huyu Raisi mjanja sana kawasubiri Wanaharakati mpaka wamejaa wenyewe kama Senene halafu akawanyaka[emoji16]

Tundu Lissu alikuwa anaprovoke bila kuvuka red line[emoji38]

Angekuwa mjanja asingegawa bandari zetu kwa waarabu kwa mikataba ya hovyo ya akina Chief Mangungo
 
WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi

"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"

"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"

"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Yaani nyie mbwa koko kiama chenu kinakuja huyo atabaki kuwa Rais wa mpito apende asipende ni wa mpito tu. Akili zenu matope tupu
 
Mnajua jinsi serikali zinavyopinduliwa? Serikali inapinduliwa kwenye press conference au kwenye group la whatsapp? Unamjua Desire Laurent Kabila? Unajua Mu7 alivyopindua serikali Uganda? Hao walipindua kwenye press conference?
Sasa si waseme tu kuwa walikua wanaitania serikali isichukulie mambo kwa uzito wake basi yaishe au unaonaje King Kong III ?

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Hiyo script uweje iibuke leo baada ya Dr. Slaa kubambikiwa kesi ya uhaini? mbona hatukuwahi kuisikia kabla ya hapo? Msitufanye wajinga.
 
Ilikuwa ni press conference na wamekata sehemu kubwa ya alichokuwa anaelezea ili lengo lao lifanikiwe. Kuna mtu anapanga kupindua serikali kwa kuitisha press?
Wapuuzi kweli hawa jamaa, halafu wanadhani tutadanganyika kwa huu uongo wao.
 
Ingekuwa ni serikali iliyoko madarakani kwa uchaguzi halali ungekuwa na hoja, sio kwa uhayawani ule wa 2020.

Kwa sasa ni bora yatokee machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi maana box la kura linaishia kuingiza wezi madarakani.
Mbona unachanganya mada mzee au umechangayikiwa?

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi

"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"

"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"

"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Aliongea hayo akiwa wapi..,
 
Angekuwa mjanja asingegawa bandari zetu kwa waarabu kwa mikataba ya hovyo ya akina Chief Mangungo

Uwelezaji sio ugawaji na Maraisi wote wameingia mikataba au mikopo yenye walakini hata Raisi mstaafu Kikwete kaliongelea hilo

Sio kupendekeza kuwa apinduliwe.
 
Back
Top Bottom